Nyimbo za utotoni za zamani ambazo watoto wa leo hawazijui

Hahahahaaa sheki rede mpira ukienda mbali unazunguka kwenye vyumba na kuhesabu. Pia kulikuwa na rede ya chupa. Aahahahahahahhahahahaaaa
Na ila mstari kati sijui
 
Natafuta Mashairi na Ikiwezekana Audio kabisa itapendeza zaidi ya wimbo
Tanzania Tanzania, Nakupenda Kwa Moyo Wote.
 

Hapana huu wako wa mchele na panza,
Siku ya tatu nyumbani hamna kitu , ni kutoka katika kitabu cha Bulicheka.
 
Nimesoma karibu page zote sijaona wimbo wa

"mabata makubwa makubwa yanaogelea, yanaogelea katika mto

Yanapokuwa yanaoga kwa kwa kwa kwa kwa,
Kwa kwa kwa kwa kwa,

Kwa kwa kwa kwa kwa"
 
Waliocheza Chidea gonga like hapa. "Fidodiido mama fidodido hana ugoko" "Chidea chide chide i love you nakupenda"

"Kideede zunguluka ukitaka inama inuka"

"Ooh mista kalumbe kalumbe kakumbe ooh"
 
Hivi mtunzi na mwandishi wa huo wimbo ni nani maana ulikiki sana mtaani kwetu. Huyi aliyetunga atakuwa ni star
 
Nimesoma karibu page zote sijaona wimbo wa

"mabata makubwa makubwa yanaogelea, yanaogelea katika mto

Yanapokuwa yanaoga kwa kwa kwa kwa kwa,
Kwa kwa kwa kwa kwa,

Kwa kwa kwa kwa kwa"
Mabata madogodogo
Yanaogeleaa yanaogelea
Katika shamba zuri na bustanii (isn't it?)
Yanapenda kutembea bila viatu bila viatu
Katika shamba zuri na bustanii
Yanapenda kulia kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwakwaa
 
Kipepeo anaruka anaruka anaruka
Anatafuta chakula chakula chakula
Chakula chake maua maua maua
 
kuna katoto nilikua nacheza Nako kwa kukarusha juu Na kukadaka. Nakarusha tena Na kukadaka. Nilipo acha kakaniambia "acha us*nge nirushe tena" nikabaki hoi
Hahahahaaaaaa huyo dogo hatari[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nzu nzu nzu eeh mama nyuki lia weee
Nzu nzu nzu we mama nyuki lia weee
Toka mbali kutafuta UA zuri kwa chakula nzu nzu nzu we mama nyukil lia wee..!
aisee! enzi za viduduu hizoo, hapo muda wa uji umefika ndo mwalimu anaanda vikombee [emoji28][emoji23][emoji28]
 
Ila tungeipata kwa audio hata vioce note ingependeza zaid maana kupata saut Yale ni majanga
 
Banchikicha,banchikicha nchikicha nchikicha
Nalikwenda,kwa mzungu
Nikalala siku Tatu,
Ya nne!,nikasikia ngongongo
Wewe nani?mimi juma, wataka nini?nataka mke,mke nani?mke wangu,......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…