Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.....nikae chini niliePajero pajero
Mama kapika ugali
Na kifaranga cha kuku
Tia hapa tia hapa....
Kama hautaki niambie..........
Jirani.....nikae chini nilie
ng'aaa ng'aaaa
aiseeemtoto mimba imepatikana kwenye vigodoro, baba konda mama chakaramu wa kitaa
naam Jirani [emoji1]Jirani
Dah mkuu unanikumbusha mtoni mtongani enzi inzo...Hao watoto wenu wa ushuani wanaosoma st anne maria sijui mary....huku kwetu uswazi kama kawa, juzi nimewasikia wanaimba ukuti ukuti saa mbili usiku umeme ulikuwa umekatika.....hawakuacha mpaka uliporudi nikasikia HUOOOOOOOOOOOOOOOO!
Nataka kuzi-document kwa ajili ya watoto wa ndugu zangu walioko nje
Hivi ni kwanini ushuani watoto hukawia sana kuongea kuliko uswazi??Ushuani watoto pia wanachelewa kuongea, Huku kwetu Kwamtogole msuto unaanza ukiwa na mwaka mmoja. Ukifisha miaka miwili wewe ni mtaalamu hata matusi unayajua.
Hahah mkuu hii chaikuna katoto nilikua nacheza Nako kwa kukarusha juu Na kukadaka. Nakarusha tena Na kukadaka. Nilipo acha kakaniambia "acha us*nge nirushe tena" nikabaki hoi
Ziwa tupu hilo hamna chaiHahah mkuu hii chai
uswahilini watoto wanatukanwa sana, wanatukanwa Na wazazi, house girl, majirani yaani Kila MTU.Hivi ni kwanini ushuani watoto hukawia sana kuongea kuliko uswazi??
[emoji2] [emoji2] [emoji2] umenichekesha sana kwa hbr ya msuto.Ushuani watoto pia wanachelewa kuongea, Huku kwetu Kwamtogole msuto unaanza ukiwa na mwaka mmoja. Ukifisha miaka miwili wewe ni mtaalamu hata matusi unayajua.
Sio kunisusa hukonaam Jirani [emoji1]