The Tomorrow People
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 2,675
- 2,807
Iddi Amini akifa, mimi siwezi kulia, nitamtupa kagera awe chakula cha mamba....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ana Ana Ana do,
Kachanika basto,
ispiringi matingo,
kajamba, ushuzi unanuka, tena sana, sana kabisa.
Nadhani huu wimbo ulikuwa wa kizungu ukaswahilishwa, kama kuna mtu anaujua asili yake anaweza kutuhabarisha.
Hizi zitakuwa nyimbo za JKTAmina panda mlima
Siwezi kupanda
Kwann huwezi kupanda?
Naumwa na tumbo
Tumbo hilo kakupa nani?
Kijana hassan
Kwann usikatae ?
Naona utamu
Siku ya kwanza Utamu yes yes utamu
Siku ya pili utamu yes yes utamu
Siku ya tatu utamu yes yes utamu
Siku ya nne ng'aa ng'aa
Hivi akiyetunga nyimbo hii alifilia nn? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lol sikuiona hii miaka arobaini!!! Shikamooo R...Inavutia sana kuona nyimbo tulizoimba miaka karibu 40 iliopita hadi leo watoto wanaimba.
Kuna kabinti kalikuwa kabayaaaaa kwa sura Na umbo. Kalikuwa kananipenda sana, Basi kakawa kananiita mchumba. Mara ya Kwanza nilikuwa nakasirika sana, nikawa nakapiga, hakakukata tamaa, kaliendelea hivyo hivyo hadi nikazoea, Na Mimi nikaanza kukapenda, nikaendelea kukapenda Na kukapenda zaidi. Tukafika darasa la tano kakaanza kubadilika Na kung'aa. Akapendeza zaidi. Akazidi kunipenda Na kupendana. Kwenye party ya darasa la saba nikafungua nako muziki kwa kucheza blues.
Kama nakuona unavyokimbia mchaka mchaka huku umebeba vijiti vya kufanyia hesabu vilivyoko kwenye upinde [emoji12] [emoji12] [emoji12]Iddi Amini akifa, mimi siwezi kulia, nitamtupa kagera awe chakula cha mamba....
Nyimbo za mchakamchaka hizi [emoji23][emoji23][emoji23]Amina panda mlima
Siwezi kupanda
Kwann huwezi kupanda?
Naumwa na tumbo
Tumbo hilo kakupa nani?
Kijana hassan
Kwann usikatae ?
Naona utamu
Siku ya kwanza Utamu yes yes utamu
Siku ya pili utamu yes yes utamu
Siku ya tatu utamu yes yes utamu
Siku ya nne ng'aa ng'aa
Hivi akiyetunga nyimbo hii alifilia nn? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna kabinti kalikuwa kabayaaaaa kwa sura Na umbo. Kalikuwa kananipenda sana, Basi kakawa kananiita mchumba. Mara ya Kwanza nilikuwa nakasirika sana, nikawa nakapiga, hakakukata tamaa, kaliendelea hivyo hivyo hadi nikazoea, Na Mimi nikaanza kukapenda, nikaendelea kukapenda Na kukapenda zaidi. Tukafika darasa la tano kakaanza kubadilika Na kung'aa. Akapendeza zaidi. Akazidi kunipenda Na kupendana. Kwenye party ya darasa la saba nikafungua nako muziki kwa kucheza blues.
Kwangu ilikuwa faraja kubwa, maungo yetu yalipogusana tulisisimka sana Na joto la balehe . Ile siku sitaisau kwani haikuacha bikira ya MTU salama.
Hah hah tumeongea lugha mojaKhaaaa aahahahahahahhahaaaa hiyo sentensi ya mwisho ndo imenisisimua haya wacha nigaukie kwa dadiiiiii.
Hah hah tumeongea lugha moja
Unamuamsha akiyelala ujueHehehehehehe kamchezo katamu banaa asikwambie mtu. Kila ukimaliza unafikiria utamu uwe lini tena....
Unamuamsha akiyelala ujue
Iliiishia miaka ya tisini 96 hivi Kama sikosei pamoja na Joyce wowowo. Ule mdoli una wowowo unawekewa mzki unakata mayenuHivi ule utamaduni wa mangongoti(mtaalam anayevaa kama dude la kutisha huku akitembea juu ya miti miwili kumfanya aonekanae mrefu kama giant) imepotelea wapi these days?, i relly miss it
Hahahahha....Bora RRONDO(sijui kumention name) kaniimbia isije ikashindwa kubaki salama bure!! Ila watu hubadilika kamchumba kangu ka utotoni kalikuwa kahb kweli mpka tunamaliza la saba.Sec akaenda boarding kurudi nikakataa kabisa ktk akili Kama yeye!!! Ila mi aliniacha salama lol!!!Kuna kabinti kalikuwa kabayaaaaa kwa sura Na umbo. Kalikuwa kananipenda sana, Basi kakawa kananiita mchumba. Mara ya Kwanza nilikuwa nakasirika sana, nikawa nakapiga, hakakukata tamaa, kaliendelea hivyo hivyo hadi nikazoea, Na Mimi nikaanza kukapenda, nikaendelea kukapenda Na kukapenda zaidi. Tukafika darasa la tano kakaanza kubadilika Na kung'aa. Akapendeza zaidi. Akazidi kunipenda Na kupendana. Kwenye party ya darasa la saba nikafungua nako muziki kwa kucheza blues.
Kwangu ilikuwa faraja kubwa, maungo yetu yalipogusana tulisisimka sana Na joto la balehe . Ile siku sitaisau kwani haikuacha bikira ya MTU salama.
Hahahah mkuu nimecheka sana,hahah hata mapenzi tutoto twa uswazi tunayajua mapema sana sijui ni chabo za usikiu na hiyo michezo ya kamfichamoUshuani watoto pia wanachelewa kuongea, Huku kwetu Kwamtogole msuto unaanza ukiwa na mwaka mmoja. Ukifisha miaka miwili wewe ni mtaalamu hata matusi unayajua.