Fibs
JF-Expert Member
- Dec 2, 2017
- 528
- 649
Na ila mstari kati sijuiHahahahaaa sheki rede mpira ukienda mbali unazunguka kwenye vyumba na kuhesabu. Pia kulikuwa na rede ya chupa. Aahahahahahahhahahahaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ila mstari kati sijuiHahahahaaa sheki rede mpira ukienda mbali unazunguka kwenye vyumba na kuhesabu. Pia kulikuwa na rede ya chupa. Aahahahahahahhahahahaaaa
Huu sio ule wa mgeni siku ya kwanza mpe mchele na panzi mtiliie kifuuni mkaribishe mgeni?
Mgeni siku ya pili mpe maziwa na samli mahaba yakizidi mkaribishe mgeni,
Mgeni siku ya tatu muonyeshe (nimesahau)
mgeni siku ya nne mpe jembe akalime akikataa muagane aende zake mgeni
mgeni siku ya tano si mgeni ana baa hata ------- katia yeye mgeni
mgeni siku ya sita---
mgeni siku ya kenda enenda e bwana nendaa akitaka tuagane aende zake mgeni
Mgeni siku ya kumi kwa mateke na magumi hapana afukuzwaye, afukuzwa yeye mgeni.
Chanuo kampa nani chanuo kampa nani?Saka mke wangu sqka mke wangu....,
Hapa hayupo hapa hayupo....,
Ameenda wapi ×2,
Ameenda kusuka ×2......
Hivi mtunzi na mwandishi wa huo wimbo ni nani maana ulikiki sana mtaani kwetu. Huyi aliyetunga atakuwa ni starNamtafuta mke wangu X2
Hapa hayupo X2
Kaenda wapi X2
Kaenda kusuka X2
Chanuo kampa nani X2
Kampa msusi X2
Pesa kampa naniX2
Kampa msusi X2
Nina ndoo yangu
Eeeeh
Yakuteka maji
Eeeeh
Maji ya dhahabu
Eeeeh
Watoto msitizame nyuma X2
Yai bovu linapita X2
Mabata madogodogoNimesoma karibu page zote sijaona wimbo wa
"mabata makubwa makubwa yanaogelea, yanaogelea katika mto
Yanapokuwa yanaoga kwa kwa kwa kwa kwa,
Kwa kwa kwa kwa kwa,
Kwa kwa kwa kwa kwa"
Hahahahaaaaaa huyo dogo hatari[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]kuna katoto nilikua nacheza Nako kwa kukarusha juu Na kukadaka. Nakarusha tena Na kukadaka. Nilipo acha kakaniambia "acha us*nge nirushe tena" nikabaki hoi
umeona eehHahahahaaaaaa huyo dogo hatari[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
hahaha [emoji23][emoji28][emoji23] Buji acha bwana ya kweli hayookuna katoto nilikua nacheza Nako kwa kukarusha juu Na kukadaka. Nakarusha tena Na kukadaka. Nilipo acha kakaniambia "acha us*nge nirushe tena" nikabaki hoi
mtoto mimba imepatikana kwenye vigodoro, baba konda mama chakaramu wa kitaahahaha [emoji23][emoji28][emoji23] Buji acha bwana ya kweli hayoo
aisee! enzi za viduduu hizoo, hapo muda wa uji umefika ndo mwalimu anaanda vikombee [emoji28][emoji23][emoji28]Nzu nzu nzu eeh mama nyuki lia weee
Nzu nzu nzu we mama nyuki lia weee
Toka mbali kutafuta UA zuri kwa chakula nzu nzu nzu we mama nyukil lia wee..!