Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaendelea....
Dadaaaa Kasinde kuchomachoma kubaya utamchoma mkweo alikuzalia mumeo ti kamnyanga ti kamnyanga ti stelingi midabwada....
nikae chini nilie shi shi shiPajero pajero
Mama kapika ugali
Na kifaranga cha kuku
Tia hapa tia hapa....
Kama hautaki niambie..........
nazimiss those ol' days
Ha ha ha kuna ile rede sheki unaikumbuka? Hii wavulana tulikuwa tunashiriki.
Ndege wengi wamekimbia, Dar wamejenga hadi mabondeni ambako wale ndege walikuwa wanakaa, unakumbuka mbayuwayu ikifika jioni wanakatiza mtaani kimo cha mbuzi!Hahahaha hiyo tuliimbaa... Sijui huwa kuna muunganiko gani hapoo...afuu hivyo viyange yange sivioni tena!!!
Vipi zile ndege(plane) zilizokuwa zinaachia moshi mweupe angani zikipita unaimba ndege ya urusi hyooooo
tulikuwa tunawaita vinegaNdege wengi wamekimbia, Dar wamejenga hadi mabondeni ambako wale ndege walikuwa wanakaa, unakumbuka mbayuwayu ikifika jioni wanakatiza mtaani kimo cha mbuzi!
Zile ndege angani tulikuwa tunadanganyana ni roketi kumbe ndege za kawaida zinapita anga la kimataifa(halina mwenyewe) mfano ndege za SA zamani zilikuwa haziruhusiwi kupita anga la Tz hivyo inabidi ziruke juuu sana kwenye anga la kimataifa, ule moshi ni hewa ya moto kutoka kwenye engine ikikutana,na hewa ya baridi angani. Mfano ukienda Makambako watu wakiongea asubuhi utaona ule 'moshi'
Utandawazinazimiss those ol' days
hii leo tumekutana na mikulumundu ukubwani inatupa stress tu😀
Hivi vindege vilikuwa vinanirusha roho maanake nilikuwa naamini naweza kumkamata!tulikuwa tunawaita vinega
Wewe kweli ulikuwepoKinyuli nyulika mwanangwa wa Jumbe, kavaa nguo mbili, ya tatu kajifunika.Aliye juu aondoke.
Hapo mmefinyana nyumba ya viganja
Aah umeruka mstari...Nasakaa mke wangu....nasaka mke wangu,haaapa hayupo haaapa hayupo...kaeeenda wapi?...kaeenda wapi?,kaeenda kusuka..kaeenda kasuka,kachukuaa... nini? na nini?,kachukuaa chanuuuo na mafutaa
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Kinyuunyu kinyuunyu
Dah!!nimekumbuka mbali sana aiseeMimi mama yenu,ee, ninanguvu tele,ee,zakumua simba ,ee,simbanimkali,ee, du utoto raha sana hapo walishashiba menu ya sambili hahahaha