Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,730
- 9,088
Miss Natafuta leta nyimbo za uchaggani mlizokuwa mkiimba kabla hamjajua utamu wa dudu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya kuchora mstari Kati?ikoje hiyo? istilahi ya rede sheki ni mpya nidadavulie
Huku kwetu masaki hatujuagi ayo....wa uswahili peaneni
Kuna ule wa amina dumpempeeeee amina magerezaaaaaaaaaaaaa amina dish dish nmeimba kama ambavyo nilikuwa naimba huo mwimbo
Hizi zitakuwa nyimbo za JKT
Hivi ule utamaduni wa mangongoti(mtaalam anayevaa kama dude la kutisha huku akitembea juu ya miti miwili kumfanya aonekanae mrefu kama giant) imepotelea wapi these days?, i relly miss it
Nimesoma karibu page zote sijaona wimbo wa
"mabata makubwa makubwa yanaogelea, yanaogelea katika mto
Yanapokuwa yanaoga kwa kwa kwa kwa kwa,
Kwa kwa kwa kwa kwa,
Kwa kwa kwa kwa kwa"
Nilikua siupendii huu mchezo eti mtu anaingia kati anakata viuno yaan ilikua wakianza nasepa, bora nikacheze goroli tu.
Hii ilinipita ila rede ya chupa
Naipata
Hahahahaaa sheki rede mpira ukienda mbali unazunguka kwenye vyumba na kuhesabu. Pia kulikuwa na rede ya chupa. Aahahahahahahhahahahaaaa
Wekeni audio basi
..hapo kwenye namtafuta mke wangu...mwisho ipo..huu mti gan..wa mchoma..ukiukataaa..haukatiki..hata kwa shoka haukatiki hata kwa panga haukatik..wakat mkeo yupo ndan kazingwa kwa kushikana mikono..ww inakata mikono iliyoshikana ukikatika unamkimbiza mkeo huyoooooo kwenye matuta ya viaz...sasa kitakachofuata huko n za kinguo nguo...n aaaashiiiiii aaashiiii...Namtafuta mkewanguu namtafuta mkewaguu...hapa hayupo hapa hayupo
Kaenda wapi kaenda wapiiii..kaenda kusuka kaenda kusuka
~Dada yangu ni rehema malaya anapenda kula chps na vijana,asbh na mapema sitendi kununu lile basi mologia...
~Ukuti ukuti wa nazi wana nziiii,mwenzetu kagongwa na nn na garii tumpeleke mnazi mmjoa asije kusema kwa baba yake piiiii piii pi mambo bado.
Zingine za kilugha