Nyimbo Za zamani zilikuwa na ujumbe wenye kuelimisha,zitumike kufundishia hawa vijana,mfano hii hapa INACHOMA ya 20%.

Nyimbo Za zamani zilikuwa na ujumbe wenye kuelimisha,zitumike kufundishia hawa vijana,mfano hii hapa INACHOMA ya 20%.

TheForgotten Genious

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2014
Posts
2,087
Reaction score
3,156
Oh na na naaaaa! Eyaaaah INACHOMA

1.
Nimeajiriwa kwenye Ajira niliyojiajiriii,
Na ninasifiwa utendaji Wangu wa kazi ni nzuri,
Navumilia huenda nitapata kivuli,
Nitapata kivuli imeshakata miaka miwiliii,

Ndimu na ugali,maisha Makali,elimu iko mbaliii,
Lile jasho la halali,mpaka kabaliiii,
Bosi katili ,Naghairi na meza mate akili,

Mbona sina kivuli mi narumba najua kali,
Alfajiri,alasiri na adhuhuri,
Mwendo wa kufunga kandambili,ndio yangu stailiiii,
Jero nauli,baki mia Mbili,kazi na ugali,

Si ubahili mama sina pesa kweliii,
Mara dalali ,mara tapeli,sina habariii
Mi sina zari,sisaki mali nasala ugali.

KIITIKIO.
Ukiangaliaaaaaah inaumaaaa
Ukifikiriaaaaaaaah inachomaaaa. x 2

2.
Nimemkumbuka Nyerere,na muuliza Mandelaaa,
Angekuwepo mwalimu,Nani angeiba helaaa?
Mara RICHMOND,mara EPA
Wanaiba,wanatoka vitambi,kulipa wanakwepa,
Nchi inasifaa,ila wananchi maafaaa,
Ardhini kuna mafuta mengi,wanachonga mapipa.

KIITIKIO.
Ukiangaliaaaa inaumaaa,
Ukifikiriaaaaaa inachoma x 2

3.
Utengano dhaifu ,Jema alivuna Yusufu,
Mbona Kazini mabifu uchafu ,
Ubunifu hafifu?,

Wamachinga na hofu,wanakimbia siafu,
Wale na misahafu,hawa wanavunja Madafu
Bora kujisogeza sababu naweza,Shida zinafunza.
Staki kujilegeza,We utanikonyeza,mi sijapendeza,

Wanabadiri madini,
Wanavaa shingoni,
Mimi nayatamani,
Wananipita njiani, wanawahi kazini,
Nasubiri nini?

KIBWAGIZO
Ukiangaliaaaa inaumaaaa,
Ukifikiriaaaaaa INACHOMA x 2

3.
Vália valia magwanda kuongoza taifa,
Natabiri tutakuja kuzima nyufaa,
Nakuhisia,usije kubweteka sifa,
Si unachekishia,Raia tunavyotesekaaa,

KIBWAGIZO
UKiangaliaaa inaumaaaa,
Ukifikiriaaaah inachomaaa,

20% asilimia Chache sanaaa.
 
Oh na na naaaaa! Eyaaaah INACHOMA

1.
Nimeajiriwa kwenye Ajira niliyojiajiriii,
Na ninasifiwa utendaji Wangu wa kazi ni nzuri,
Navumilia huenda nitapata kibali,
Nitapata kibali imeshakata miaka miwiliii,

Ndimu na ugali,maisha Makala,elimu iko mbaliii,
Lile jeshi la halali,mpaka kabaliiii,
Bosi katili naghairi ,
Naghairi na meza mate akili,

Mbona sina kivuli mi natumia najua kali,
Alfajiri,alasiri na adhuhuri,
Mwendo wa kuingia kandambili,ndio yangu stailiiii,
Jero nauli,baki mia Mbili,kazi na ugali,

Si ubahili mama sina pesa kweliii,
Mara dalali ,mara tapeli,sina habariii
Mi sina zari,sisaki mali nasala ugali.

KIITIKIO.
Ukiangaliaaaaaah inaumaaaa
Ukifikiriaaaaaaaah inachomaaaa. x 2

2.
Nimemkumbuka Nyerere,namuuliza Mandelaaa,
Angekuwepo mwalimu,Nani angeiba helaaa?
Mara RICHMOND,mar EPA
Wanaiba,wanataka vitambi,kulioa wanakwepa,

Nchi inasifaa,ila wananchi maafaaa,
Ardhini kuna mafuta mengi,wanachonga mapipa.

KIITIKIO.
Ukiangaliaaaa inaumaaa,
Ukifikiriaaaaaa inachoma x 2

3.
Utengano dhaifu ,Jena alivuna Yusufu,
Mbona Kazini mabifu uchafu ,
Ubunifu hafifu?,

Wamachinga na hofu,wanakimbia siafu,
Wale na misahafu,hawa wanavunja Madafu
Bora kujisogeza,sababu naweza,

Shida zinafunza,staki kujilegeza,
We utanikonyeza,mi sijapendeza,

Wanabadiri madini,
Wanavaa shingoni,
Mimi nayatamani,
Wananipita njiani, wanawahi kazini,
Nasubiri nini?

KIBWAGIZO
Ukiangaliaaaa inaumaaaa,
Ukifikiriaaaaaa INACHOMA x 2

3.
Vália valia magwanda kuongoza taifa,
Natabiri tutakuja kuzima nyufaa,
Nakuhisia,usije kubweteka sifa,
Si unachekishia,Raia tunavyotesekaaa,

KIBWAGIZO
UKiangaliaaa inaumaaaa,
Ukifikiriaaaah inachomaaa,

20% asilimia Chache sanaaa.
Kumbe humu tuna watoto wa 2000 !
Wimbo hata siujui. Ni wa mwaka gani huo kijana na umetungwa na nani?
Mimi niulize nyimbo za kuanzia late 1960's
 
Kumbe humu tuna watoto wa 2000 !
Wimbo hata siujui. Ni wa mwaka gani huo kijana na umetungwa na nani?
Mimi niulize nyimbo za kuanzia late 1960's
Kati ya 1960 na 2000,ipi ilitangulia?, ama ulianza kufa kisha kuzaliwa na kuishi?,wewe Mzee ulikuwa Back bencher ina mzoom ticha Ambangile kwa Ruler ili uone komwe lake vizuri ,sio bure,imagine unaniuliza swali ambalo lipo kwenye andiko tena title,Subannalah!
 
Kati ya 1960 na 2000,ipi ilitangulia?, ama ulianza kufa kisha kuzaliwa na kuishi?,wewe Mzee ulikuwa Back bencher ina mzoom ticha Ambangile kwa Ruler ili uone komwe lake vizuri ,sio bure,imagine unaniuliza swali ambalo lipo kwenye andiko tena title,Subannalah!
Late 1960's laweza kuwa ni tatizo kwako kwasababu ni Kiingereza.
Late 1960's maana yake ni mwishoni mwa miaka ya 1960.
Nisamehe bure kwa msamiati huo.
 
Inachomaaa....🎶
Late 1960's laweza kuwa ni tatizo kwako kwasababu ni Kiingereza.
Late 1960's maana yake ni mwishoni mwa miaka ya 1960.
Nisamehe bure kwa msamiati huo.
Fakeni kabisa una ulivo tuntufye,mwishoni wa 1960’s kama iko mbele ya miaka ya 2000,mpaka ushindwe kuelewa?,ama wewe hujaishi na huishi miaka ya 2000,?whether it’s either early or late 1960’s,the logic of a question remain stagnant,filho da puta.
 
Fakeni kabisa una ulivo tuntufye,mwishoni wa 1960’s kama iko mbele ya miaka ya 2000,mpaka ushindwe kuelewa?,ama wewe hujaishi na huishi miaka ya 2000,?whether it’s either early or late 1960’s,the logic of a question remain stagnant,filho da puta.
Tatizo la kuzaliwa miaka ya 2000. Hakuna kinachosomeka hapo. Ni utumbo wa nguruwe tu unaning'inia nje nje
 
Tatizo la kuzaliwa la kuzaliwa miaka ya 2000. Hakuna kinachosomeka hapo. Ni utumbo wa nguruwe tu unaning'inia nje nje
Sasa kizee wewe utatoa wapi uwezo wakufikiri kwa kina,wewe una kichwa na ubongo kutimiza kusudi la uumbaji tu,utumbo huo kwiooo,paka wa Sinza wewe.
 
Fakeni kabisa una ulivo tuntufye,mwishoni wa 1960’s kama iko mbele ya miaka ya 2000,mpaka ushindwe kuelewa?,ama wewe hujaishi na huishi miaka ya 2000,?whether it’s either early or late 1960’s,the logic of a question remain stagnant,filho da puta.
Mkuu kiufupi hujaeleweka kabisa, rahisisha maneno hayo...?!
 
Nadhani inabidi to define zamani kwanza..., Baada ya hapo all I can say ni kwamba kwa melody vijana wa sasa wanajitahidi sana..., hadi mtu unaweza ukawa na playlist yote from Bongo sio enzi fulani either ughaibuni au Zaire au nyimbo ya dakika nne shairi beti mbili na instrumental ileile kwa nyimbo kadhaa...
 
Nadhani inabidi to define zamani kwanza..., Baada ya hapo all I can say ni kwamba kwa melody vijana wa sasa wanajitahidi sana..., hadi mtu unaweza ukawa na playlist yote from Bongo sio enzi fulani either ughaibuni au Zaire au nyimbo ya dakika nne shairi beti mbili na instrumental ileile kwa nyimbo kadhaa...
Kuna zamani na zamani Za kale
 
Sasa kizee wewe utatoa wapi uwezo wakufikiri kwa kina,wewe una kichwa na ubongo kutimiza kusudi la uumbaji tu,utumbo huo kwiooo,paka wa Sinza wewe.
Uzee lazima uupate ukiendelea kuwa hai, hauombwi. Lakini kwa kauli kama hii yako unaweza usiupate uzee.
 
Uzee lazima uupate ukiendelea kuwa hai, hauombwi. Lakini kwa kauli kama hii yako unaweza usiupate uzee.
Hakuna shido, kabisa vyovyote Mimi poa tu mbona,wala hainipi shida,kuishi umri mrefu probability ni ndogo sana Chini ya 0.6,kufa probability ni 1 ama 100%; kifo sio kitu chakuogopa mimi mkuu.
 
Back
Top Bottom