Nyinyi mnaokula mchana kipindi hiki ni akina nani? Mnatukera bwana

Nyinyi mnaokula mchana kipindi hiki ni akina nani? Mnatukera bwana

Hivi nyie hamna aibu? Mwaka mzima nyie mnakula tu bila kupumzika? Hamajisikii ganzi kuona watu wote wamefunga nyie kula tu barabarani hata hamuoni haya huu ni ujinga na uchizi wa kiwango cha lami

Nyie ambao mnakula lazima tuwashitaki kwa sababu mnatumanisha na sisi tupate na mzuka na hamu ya kula wakati tupo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwezi ambao dunia imatikisika baada ya kuingia kwa mwezi huu dunia mzima ipo kwenye swaumu ila kuna watu wajinga kutwa kula hovyo hovyo tu

Kama mnataka kula kaeni huko chemba au mjifungie vyumbani kwetu au kwenye mapagala yenu huku mkila na mkisaza sio kula tu hadharani mnatukera sana
Kufunga kwako kusiwe kero kwetu
Wewe funga upate thawabu. sisi tulioamua kuishi maisha yetu bila kelele usitufanye kama watumwa wako bana.

Kama vipi hamia Zanzibar ambapo kila mtu analazimishwa kufunga hata kama siyo wa imani hiyo
 
Itakuwa makafiri tu hao lengo ni kuharibiana swaumu tu
images (13).jpeg
 
Hivi nyie hamna aibu? Mwaka mzima nyie mnakula tu bila kupumzika? Hamajisikii ganzi kuona watu wote wamefunga nyie kula tu barabarani hata hamuoni haya huu ni ujinga na uchizi wa kiwango cha lami

Nyie ambao mnakula lazima tuwashitaki kwa sababu mnatumanisha na sisi tupate na mzuka na hamu ya kula wakati tupo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwezi ambao dunia imatikisika baada ya kuingia kwa mwezi huu dunia mzima ipo kwenye swaumu ila kuna watu wajinga kutwa kula hovyo hovyo tu

Kama mnataka kula kaeni huko chemba au mjifungie vyumbani kwetu au kwenye mapagala yenu huku mkila na mkisaza sio kula tu hadharani mnatukera sana
Kupatwa kwa afya ya akili.
 
Hivi nyie hamna aibu? Mwaka mzima nyie mnakula tu bila kupumzika? Hamajisikii ganzi kuona watu wote wamefunga nyie kula tu barabarani hata hamuoni haya huu ni ujinga na uchizi wa kiwango cha lami

Nyie ambao mnakula lazima tuwashitaki kwa sababu mnatumanisha na sisi tupate na mzuka na hamu ya kula wakati tupo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwezi ambao dunia imatikisika baada ya kuingia kwa mwezi huu dunia mzima ipo kwenye swaumu ila kuna watu wajinga kutwa kula hovyo hovyo tu

Kama mnataka kula kaeni huko chemba au mjifungie vyumbani kwetu au kwenye mapagala yenu huku mkila na mkisaza sio kula tu hadharani mnatukera sana
NAKAZIA
Depal
 
Hivi nyie hamna aibu? Mwaka mzima nyie mnakula tu bila kupumzika? Hamajisikii ganzi kuona watu wote wamefunga nyie kula tu barabarani hata hamuoni haya huu ni ujinga na uchizi wa kiwango cha lami

Nyie ambao mnakula lazima tuwashitaki kwa sababu mnatumanisha na sisi tupate na mzuka na hamu ya kula wakati tupo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwezi ambao dunia imatikisika baada ya kuingia kwa mwezi huu dunia mzima ipo kwenye swaumu ila kuna watu wajinga kutwa kula hovyo hovyo tu

Kama mnataka kula kaeni huko chemba au mjifungie vyumbani kwetu au kwenye mapagala yenu huku mkila na mkisaza sio kula tu hadharani mnatukera sana
Funga ni Ibada,

Aliyefunga ndiye akae faraghani, tena asiache kupaka mafuta Wala kuchana nywele kujionyesha amefunga.

Angalizo, kuamka usiku Ili kula chakula, kunaongeza njaa na kuongeza kunyon'gonyea wakati wa mchana.

Amen
 
Hivi nyie hamna aibu? Mwaka mzima nyie mnakula tu bila kupumzika? Hamajisikii ganzi kuona watu wote wamefunga nyie kula tu barabarani hata hamuoni haya huu ni ujinga na uchizi wa kiwango cha lami

Nyie ambao mnakula lazima tuwashitaki kwa sababu mnatumanisha na sisi tupate na mzuka na hamu ya kula wakati tupo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwezi ambao dunia imatikisika baada ya kuingia kwa mwezi huu dunia mzima ipo kwenye swaumu ila kuna watu wajinga kutwa kula hovyo hovyo tu

Kama mnataka kula kaeni huko chemba au mjifungie vyumbani kwetu au kwenye mapagala yenu huku mkila na mkisaza sio kula tu hadharani mnatukera sana
hamia uarabuni shehe. halafu hata wewe unapoteza muda, kufunga kwa mungu asiyeokoa, mungu asiye na nguvu kabisa. mnapoteza muda tu.
 
Kufunga ni Ibada ya hiyari sio kulazimishana hivyo basi Mtu aliyefunga kwa hiyari yake bila kulazimishwa hawezi kutetereshwa na Watu ambao hawajafunga kula chakula mchana hadi jioni.

Wale wanaokerwa na Mtu kula mbele yao hao wamelazimishwa kufunga au wamefuata MKUMBO tu.
 
Nililiishi Tanga, mwezi wa Ramadhan bakery hawatengenezi mikate, mama vitumbua hauzi, suphian wa mihigo hakaangi, ukienda kwa hamduni soda hakuuzii
mpaka nikajiuliza funga hairuhusu kujiingizia kipato
Sehemu yoyote aliokaa muarabu kuna umaskini.
Hata kwenye matokeo ya shule, za dini kuu zinakuwa za mwisho.
 
Hivi nyie hamna aibu? Mwaka mzima nyie mnakula tu bila kupumzika? Hamajisikii ganzi kuona watu wote wamefunga nyie kula tu barabarani hata hamuoni haya huu ni ujinga na uchizi wa kiwango cha lami

Nyie ambao mnakula lazima tuwashitaki kwa sababu mnatumanisha na sisi tupate na mzuka na hamu ya kula wakati tupo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwezi ambao dunia imatikisika baada ya kuingia kwa mwezi huu dunia mzima ipo kwenye swaumu ila kuna watu wajinga kutwa kula hovyo hovyo tu

Kama mnataka kula kaeni huko chemba au mjifungie vyumbani kwetu au kwenye mapagala yenu huku mkila na mkisaza sio kula tu hadharani mnatukera sana
Dini ni umaskini na upumbavu
 
Hivi nyie hamna aibu? Mwaka mzima nyie mnakula tu bila kupumzika? Hamajisikii ganzi kuona watu wote wamefunga nyie kula tu barabarani hata hamuoni haya huu ni ujinga na uchizi wa kiwango cha lami

Nyie ambao mnakula lazima tuwashitaki kwa sababu mnatumanisha na sisi tupate na mzuka na hamu ya kula wakati tupo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwezi ambao dunia imatikisika baada ya kuingia kwa mwezi huu dunia mzima ipo kwenye swaumu ila kuna watu wajinga kutwa kula hovyo hovyo tu

Kama mnataka kula kaeni huko chemba au mjifungie vyumbani kwetu au kwenye mapagala yenu huku mkila na mkisaza sio kula tu hadharani mnatukera sana
Acheni uninga kutengeneza chuki, wewe ni mkristo unaejifanya muislam ili ulete taharuki,

Itakusaidia nini kuleta chuki?
 
WEWE UNAJUA KABISA UNACHOKIFANYA , UMEANDIKA MAKUSUDI WAISLAM WATUKANWE, TUNAELEWA UNACHOFANYA


NI UILAMU UPI UNAMKATAZA MTU ASILE CHAKULA CHAKE AMBAE SIO KATIKA DINI YAKO?
 
Back
Top Bottom