Kijungu Moto
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 307
- 491
Sisi ni waislamu poa hatuna mambo mengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanafunga harafu wanaamka usiku wa manane kulaAcha upumbavu wewe. Kwanza kama umetia nia ya kufunga huwezi kutetereshwa au kuchukia mwenzako kula.
Nyie ndio huwa mnashinda njaa kwa kisingizio cha kufunga.
Acha utoto.
Kikubw fata tamaduni za dini kushnei hakuna uislam na ukristo pekee Kuna hadi umasai na dini zingne za asiliHivi nyie hamna aibu? Mwaka mzima nyie mnakula tu bila kupumzika? Hamajisikii ganzi kuona watu wote wamefunga nyie kula tu barabarani hata hamuoni haya huu ni ujinga na uchizi wa kiwango cha lami
Nyie ambao mnakula lazima tuwashitaki kwa sababu mnatumanisha na sisi tupate na mzuka na hamu ya kula wakati tupo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwezi ambao dunia imatikisika baada ya kuingia kwa mwezi huu dunia mzima ipo kwenye swaumu ila kuna watu wajinga kutwa kula hovyo hovyo tu
Kama mnataka kula kaeni huko chemba au mjifungie vyumbani kwetu au kwenye mapagala yenu huku mkila na mkisaza sio kula tu hadharani mnatukera sana
Vipi na yeye tukimkataza asile usiku wa manane?We ni nani unayetukataza tusile mchana? Peleka ujinga wako kule, sie tutakula na hautufanyi kitu. Hatuamini dini yako
Ndio Shida ya hii dini yenu hiiHivi nyie hamna aibu? Mwaka mzima nyie mnakula tu bila kupumzika? Hamajisikii ganzi kuona watu wote wamefunga nyie kula tu barabarani hata hamuoni haya huu ni ujinga na uchizi wa kiwango cha lami
Nyie ambao mnakula lazima tuwashitaki kwa sababu mnatumanisha na sisi tupate na mzuka na hamu ya kula wakati tupo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwezi ambao dunia imatikisika baada ya kuingia kwa mwezi huu dunia mzima ipo kwenye swaumu ila kuna watu wajinga kutwa kula hovyo hovyo tu
Kama mnataka kula kaeni huko chemba au mjifungie vyumbani kwetu au kwenye mapagala yenu huku mkila na mkisaza sio kula tu hadharani mnatukera sana
Kwenda Kule mnageuza mchana kuwa usiku na usiku kuwa mchana, ni kwanini vyakula vinanunuliwa na kuisha sokoni sana kuliko wakati ambao sio wa mfungo,Hivi nyie hamna aibu? Mwaka mzima nyie mnakula tu bila kupumzika? Hamajisikii ganzi kuona watu wote wamefunga nyie kula tu barabarani hata hamuoni haya huu ni ujinga na uchizi wa kiwango cha lami
Nyie ambao mnakula lazima tuwashitaki kwa sababu mnatumanisha na sisi tupate na mzuka na hamu ya kula wakati tupo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwezi ambao dunia imatikisika baada ya kuingia kwa mwezi huu dunia mzima ipo kwenye swaumu ila kuna watu wajinga kutwa kula hovyo hovyo tu
Kama mnataka kula kaeni huko chemba au mjifungie vyumbani kwetu au kwenye mapagala yenu huku mkila na mkisaza sio kula tu hadharani mnatukera sana
Wewe vipiii, kaa kwa kutulia.. nchi ina uhuru wa kuabudu hii. We kama umefunga zako nenda kajifiche huko, tuache sisi tuendelee kula. Kufunga kwako kusiathiri lifestyle yetu au kuingilia uhuru wetu sisi ambao hatujafunga.Hivi nyie hamna aibu? Mwaka mzima nyie mnakula tu bila kupumzika? Hamajisikii ganzi kuona watu wote wamefunga nyie kula tu barabarani hata hamuoni haya huu ni ujinga na uchizi wa kiwango cha lami
Nyie ambao mnakula lazima tuwashitaki kwa sababu mnatumanisha na sisi tupate na mzuka na hamu ya kula wakati tupo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwezi ambao dunia imatikisika baada ya kuingia kwa mwezi huu dunia mzima ipo kwenye swaumu ila kuna watu wajinga kutwa kula hovyo hovyo tu
Kama mnataka kula kaeni huko chemba au mjifungie vyumbani kwetu au kwenye mapagala yenu huku mkila na mkisaza sio kula tu hadharani mnatukera sana