Nyinyi mnaokula mchana kipindi hiki ni akina nani? Mnatukera bwana

Nyinyi mnaokula mchana kipindi hiki ni akina nani? Mnatukera bwana

We ni nani unayetukataza tusile mchana? Peleka ujinga wako kule, sie tutakula na hautufanyi kitu. Hatuamini dini yako
 
Hivi nyie hamna aibu? Mwaka mzima nyie mnakula tu bila kupumzika? Hamajisikii ganzi kuona watu wote wamefunga nyie kula tu barabarani hata hamuoni haya huu ni ujinga na uchizi wa kiwango cha lami

Nyie ambao mnakula lazima tuwashitaki kwa sababu mnatumanisha na sisi tupate na mzuka na hamu ya kula wakati tupo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwezi ambao dunia imatikisika baada ya kuingia kwa mwezi huu dunia mzima ipo kwenye swaumu ila kuna watu wajinga kutwa kula hovyo hovyo tu

Kama mnataka kula kaeni huko chemba au mjifungie vyumbani kwetu au kwenye mapagala yenu huku mkila na mkisaza sio kula tu hadharani mnatukera sana
Kikubw fata tamaduni za dini kushnei hakuna uislam na ukristo pekee Kuna hadi umasai na dini zingne za asili
 
Sisi WaTAG tulifunga siku 28 toka mwezi wa kwanza ila hatukusumbua watu wanaokula. Wakatholic nao wanaendelea na kwaresima ila hawajasumbua watu. Ila nyie maruhani mnafunga sasa hamtaki wenzenu wale. Pumbavu kabisa wewe mleta uzi.
 
N
Hivi nyie hamna aibu? Mwaka mzima nyie mnakula tu bila kupumzika? Hamajisikii ganzi kuona watu wote wamefunga nyie kula tu barabarani hata hamuoni haya huu ni ujinga na uchizi wa kiwango cha lami

Nyie ambao mnakula lazima tuwashitaki kwa sababu mnatumanisha na sisi tupate na mzuka na hamu ya kula wakati tupo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwezi ambao dunia imatikisika baada ya kuingia kwa mwezi huu dunia mzima ipo kwenye swaumu ila kuna watu wajinga kutwa kula hovyo hovyo tu

Kama mnataka kula kaeni huko chemba au mjifungie vyumbani kwetu au kwenye mapagala yenu huku mkila na mkisaza sio kula tu hadharani mnatukera sana
Ndio Shida ya hii dini yenu hii

mnachofanya mnataka mlazimishie na wengine wafanye
Mngekua mna Nguvu Raia wa hii Dunia wangetaabika sana
 
Hii staili mpya ya ukoo wa Mwamedi kufikisha ^anjali^ ulimwenguni ni ya kiwango cha kuzimu.
 
Hivi nyie hamna aibu? Mwaka mzima nyie mnakula tu bila kupumzika? Hamajisikii ganzi kuona watu wote wamefunga nyie kula tu barabarani hata hamuoni haya huu ni ujinga na uchizi wa kiwango cha lami

Nyie ambao mnakula lazima tuwashitaki kwa sababu mnatumanisha na sisi tupate na mzuka na hamu ya kula wakati tupo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwezi ambao dunia imatikisika baada ya kuingia kwa mwezi huu dunia mzima ipo kwenye swaumu ila kuna watu wajinga kutwa kula hovyo hovyo tu

Kama mnataka kula kaeni huko chemba au mjifungie vyumbani kwetu au kwenye mapagala yenu huku mkila na mkisaza sio kula tu hadharani mnatukera sana
Kwenda Kule mnageuza mchana kuwa usiku na usiku kuwa mchana, ni kwanini vyakula vinanunuliwa na kuisha sokoni sana kuliko wakati ambao sio wa mfungo,

Yani mnakula kuliko hata wakati mkiwa hamjafunga, ninyi kazi yenu ni kula usiku wote, mnafidia mara nne zaidi na kile mlichotakiwa mle mchana afu mnajisifu mmefunga duhhh nyie ni hatare walahi.
 
Sio lazima kufunga kila mtu akifunga.
Wengine wanafunga hakuna MTU anayejua zaidi ya mpishi wake.
Sio wewe ukifunga lazima unuke mdomo ili watu wajue umefunga.
Elewa kwamba kufunga Ni wewe na muumba wako sio lazima wengine tujue.
 
Kila mtu na Imani yake
Kila mtu na Mungu wake
Kila mtu na namna yake ya kuishi
Kila mtu ashinde mechi zake

Imani yako kipimo chake ni nini
 
Hivi nyie hamna aibu? Mwaka mzima nyie mnakula tu bila kupumzika? Hamajisikii ganzi kuona watu wote wamefunga nyie kula tu barabarani hata hamuoni haya huu ni ujinga na uchizi wa kiwango cha lami

Nyie ambao mnakula lazima tuwashitaki kwa sababu mnatumanisha na sisi tupate na mzuka na hamu ya kula wakati tupo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwezi ambao dunia imatikisika baada ya kuingia kwa mwezi huu dunia mzima ipo kwenye swaumu ila kuna watu wajinga kutwa kula hovyo hovyo tu

Kama mnataka kula kaeni huko chemba au mjifungie vyumbani kwetu au kwenye mapagala yenu huku mkila na mkisaza sio kula tu hadharani mnatukera sana
Wewe vipiii, kaa kwa kutulia.. nchi ina uhuru wa kuabudu hii. We kama umefunga zako nenda kajifiche huko, tuache sisi tuendelee kula. Kufunga kwako kusiathiri lifestyle yetu au kuingilia uhuru wetu sisi ambao hatujafunga.
 
Walio leta dini hizi wametuweza sana tumekua kama mazombii big up sana kwa China kuwafinya wanadini kimya kimya maana dini inasababisha utindio wa ubongo km unavoona akili ya mleta mada.
 
Back
Top Bottom