Nyinyi mnaokula mchana kipindi hiki ni akina nani? Mnatukera bwana

Nyinyi mnaokula mchana kipindi hiki ni akina nani? Mnatukera bwana

Hivi nyie hamna aibu? Mwaka mzima nyie mnakula tu bila kupumzika? Hamajisikii ganzi kuona watu wote wamefunga nyie kula tu barabarani hata hamuoni haya huu ni ujinga na uchizi wa kiwango cha lami

Nyie ambao mnakula lazima tuwashitaki kwa sababu mnatumanisha na sisi tupate na mzuka na hamu ya kula wakati tupo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwezi ambao dunia imatikisika baada ya kuingia kwa mwezi huu dunia mzima ipo kwenye swaumu ila kuna watu wajinga kutwa kula hovyo hovyo tu

Kama mnataka kula kaeni huko chemba au mjifungie vyumbani kwetu au kwenye mapagala yenu huku mkila na mkisaza sio kula tu hadharani mnatukera sana
Sasa mkuu wao wakila hovyo we inakuuma nini? Kufunga ni imani sheikh
 
Hivi nyie hamna aibu? Mwaka mzima nyie mnakula tu bila kupumzika? Hamajisikii ganzi kuona watu wote wamefunga nyie kula tu barabarani hata hamuoni haya huu ni ujinga na uchizi wa kiwango cha lami

Nyie ambao mnakula lazima tuwashitaki kwa sababu mnatumanisha na sisi tupate na mzuka na hamu ya kula wakati tupo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwezi ambao dunia imatikisika baada ya kuingia kwa mwezi huu dunia mzima ipo kwenye swaumu ila kuna watu wajinga kutwa kula hovyo hovyo tu

Kama mnataka kula kaeni huko chemba au mjifungie vyumbani kwetu au kwenye mapagala yenu huku mkila na mkisaza sio kula tu hadharani mnatukera sana
fanya yanayokuhusu ipasavyo kulingana na imani yako

ya wengine yakusaidie kuimarisha imani yako zaidi, sio yakuchochee kukufuru, kutenda au kusema uovu na kuharibu funga yako..

majaribu ni mtaji wa kuongeza umani, kuwa jasiri kushinda majaribu....
 
Kufunga sio hiari ni lazima
Kufunga ni Ibada ya hiyari sio kulazimishana hivyo basi Mtu aliyefunga kwa hiyari yake bila kulazimishwa hawezi kutetereshwa na Watu ambao hawajafunga kula chakula mchana hadi jioni.

Wale wanaokerwa na Mtu kula mbele yao hao wamelazimishwa kufunga au wamefuata MKUMBO tu.
 
Kuna asilimia kubwa wewe si muislam. Si jambo la busara kuitafutia dhihaka imani ya wengine. Si busara!
 
Hivi ni lazima Kila mtu ajue kuwa umebadili ratiba ya kula? Maana badala ya kula asubuhi + mchana + jioni ratiba inabadilika inapelekwa usiku
 
Leo nimeshtuka kuona mtu kaandika Ramadan day 2. Yan kumbe walishaanza? Sikuwa najua kabisaa
 
Hivi ni lazima Kila mtu ajue kuwa umebadili ratiba ya kula? Maana badala ya kula asubuhi + mchana + jioni ratiba inabadilika inapelekwa usiokuwa
Kwa upande wa Biblia ni inakataza. Unatakiwa unawe uso, lips zisikauke kutangazia umma kwamba umefunga.

Ts only you & ur God.
 
Zanzibar kuna chimbo la kula mwezi huu nikuelekeze msosi nabbia zinauzwa kwa kificho
 
Acheni kejeli
Huwezi kutukana na kulaumu watu wasio waislam
Mwezi huu ni wa toba na una masharti yake
Tusiharibiane swaumu jamani
Hakuna mtu anafunga anaanza kutukana watu, hapana huyu labda hajui maana ya mfungo huu au sio muislam
Heshima ni jambo kubwa sana kwa waliostaarabika wakuu
 
Maana Neema ya Mungu iwaokoayo wanadamu wote imefunuliwa kwetu, nayo yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za kidunia, tupate kuishi kwa kiasi na haki na utauwa katika ulimwengu huu wa sasa, tukilitegemea tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu.

Hakuna wokovu kwa mwingine awaye yote yule, ila kwa njia ya Yesu Kristo aliye mwanakondoo wa Mungu aliyeuawa kama kafara la dhambi na ukombozi. mnapoteza muda ninyi mnaofunga na kusali kwa miungu mingine isiyookoa, miungu inayoswali pamoja na majini.
 
Daa ndugu yangu muislam naona umeota jipu wewe, kwani unafunga ili iweje, uishinde dhambi au dhambi ikushinde?.

Kuna mmoja kakurupuka kama wewe kamuona mwenzake hana sura ya ramadhan (kufunga huku unatia huruma) kamwambia "mbona wewe uonyeshi kama umefunga? "

Sababu ana furaha muda wote, it'was foolish sana!.
 
Kwa upande wa Biblia ni inakataza. Unatakiwa unawe uso, lips zisikauke kutangazia umma kwamba umefunga.

Ts only you & ur God.
Asa kuna washamba wao kazi ni kuuliza wenzao .....umefunga? .........umefunga?.........

Wanaenda mbali zaidi kwa kujiekezea kuwa wamefunga pasi na kuulizwa
 
Back
Top Bottom