Nyinyi mnaokula mchana kipindi hiki ni akina nani? Mnatukera bwana

Nyinyi mnaokula mchana kipindi hiki ni akina nani? Mnatukera bwana

Hivi nyie hamna aibu? Mwaka mzima nyie mnakula tu bila kupumzika? Hamajisikii ganzi kuona watu wote wamefunga nyie kula tu barabarani hata hamuoni haya huu ni ujinga na uchizi wa kiwango cha lami

Nyie ambao mnakula lazima tuwashitaki kwa sababu mnatumanisha na sisi tupate na mzuka na hamu ya kula wakati tupo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwezi ambao dunia imatikisika baada ya kuingia kwa mwezi huu dunia mzima ipo kwenye swaumu ila kuna watu wajinga kutwa kula hovyo hovyo tu

Kama mnataka kula kaeni huko chemba au mjifungie vyumbani kwetu au kwenye mapagala yenu huku mkila na mkisaza sio kula tu hadharani mnatukera sana
Sijawai ona mvaa kobazi mwenye akili hata mmoja!!
 
Hivi nyie hamna aibu? Mwaka mzima nyie mnakula tu bila kupumzika? Hamajisikii ganzi kuona watu wote wamefunga nyie kula tu barabarani hata hamuoni haya huu ni ujinga na uchizi wa kiwango cha lami

Nyie ambao mnakula lazima tuwashitaki kwa sababu mnatumanisha na sisi tupate na mzuka na hamu ya kula wakati tupo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwezi ambao dunia imatikisika baada ya kuingia kwa mwezi huu dunia mzima ipo kwenye swaumu ila kuna watu wajinga kutwa kula hovyo hovyo tu

Kama mnataka kula kaeni huko chemba au mjifungie vyumbani kwetu au kwenye mapagala yenu huku mkila na mkisaza sio kula tu hadharani mnatukera sana
Waislam wapo kwenye Ramadan, wakiristo wapo kwaresma... Anayekula mchana ni nani? Au wasio kwenye hizi dini mbili ni wengi hivyo
 
Hivi nyie hamna aibu? Mwaka mzima nyie mnakula tu bila kupumzika? Hamajisikii ganzi kuona watu wote wamefunga nyie kula tu barabarani hata hamuoni haya huu ni ujinga na uchizi wa kiwango cha lami

Nyie ambao mnakula lazima tuwashitaki kwa sababu mnatumanisha na sisi tupate na mzuka na hamu ya kula wakati tupo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwezi ambao dunia imatikisika baada ya kuingia kwa mwezi huu dunia mzima ipo kwenye swaumu ila kuna watu wajinga kutwa kula hovyo hovyo tu

Kama mnataka kula kaeni huko chemba au mjifungie vyumbani kwetu au kwenye mapagala yenu huku mkila na mkisaza sio kula tu hadharani mnatukera sana
Tumefikia huku unatupangia maisha kweli Tanzania ujinga unaongezeka ,kufunga kwako kunanisaidia nini mimi ?au kula kwangu kunakupunguzia nini?elimu elimu elimu
 
duuuh kupatwa kwa kufunga.....unafunga afu unaamka kula usiku wa manane .............inashangaza sana......
Kila dini ina sheria na taratibu zake za ibada. Mtume Muhammad (pbuh) katuelekeza kuwa Funga yetu sisi ni tofauti na funga waliyokuwa wamefaradhishiwa wana wa israel... Funga yetu tumehalalishiwa kula daku (chakula kabla ya alfajiri ya kweli) na chakula hiki kina baraka sana kwa mlaji na pia sio lazima kula ikiwa hujisikii kula chakula basi unaweza kunywa hata maji.
 
Hapa ndipo ninapo pata shida sana na uislamu.
Unafunga kutakasa moyo au unafuta tamaduni za waarabu?
Kwanini kufunga kwako ndio iwe sheria hata kwa sisi tusio husika?

AU ndio yale mimi sili nguruwe, ni kharamu ila kula matako ni halali!
Hakula kushuritishana ktk dini... Kufunga mwezi wa ramadhani sio faradhi (lazima) kwa asiyekuwa muislam. Kufunga mwezi wa Ramadhan ni nguzo ya nne katika nguzo kuu tano za Dini ya Uislam.
 
Hivi nyie hamna aibu? Mwaka mzima nyie mnakula tu bila kupumzika? Hamajisikii ganzi kuona watu wote wamefunga nyie kula tu barabarani hata hamuoni haya huu ni ujinga na uchizi wa kiwango cha lami

Nyie ambao mnakula lazima tuwashitaki kwa sababu mnatumanisha na sisi tupate na mzuka na hamu ya kula wakati tupo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwezi ambao dunia imatikisika baada ya kuingia kwa mwezi huu dunia mzima ipo kwenye swaumu ila kuna watu wajinga kutwa kula hovyo hovyo tu

Kama mnataka kula kaeni huko chemba au mjifungie vyumbani kwetu au kwenye mapagala yenu huku mkila na mkisaza sio kula tu hadharani mnatukera sana
Nashauri ukapimwe mkojo na tatizo la afya ya akili, kwa hakika kuna mahali kichwa chako hakipo sawa.
 
Hivi nyie hamna aibu? Mwaka mzima nyie mnakula tu bila kupumzika? Hamajisikii ganzi kuona watu wote wamefunga nyie kula tu barabarani hata hamuoni haya huu ni ujinga na uchizi wa kiwango cha lami

Nyie ambao mnakula lazima tuwashitaki kwa sababu mnatumanisha na sisi tupate na mzuka na hamu ya kula wakati tupo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwezi ambao dunia imatikisika baada ya kuingia kwa mwezi huu dunia mzima ipo kwenye swaumu ila kuna watu wajinga kutwa kula hovyo hovyo tu

Kama mnataka kula kaeni huko chemba au mjifungie vyumbani kwetu au kwenye mapagala yenu huku mkila na mkisaza sio kula tu hadharani mnatukera sana
Hii nchi sio ya kiislamu hatuna sharia law...au futari yako ndo mwendo wa magimbi
 
natamani ungefumbuka macho ukaona namna shetani alivyoleta imani za kishetani, watu wanafunga na kupoteza muda na pesa wakiamini wanamwabudu Mungu wa kweli, kumbe shetani amewapiga changa la macho. wengi wameokolewa kutoka huko, na kuwaambia ukweli kwamba wapo gizani ni muhimu, kwani tusipowaambia tusijedaiwa damu yao mikononi mwetu. Njia ya kumwabudu Mungu ni moja tu, kwa njia ya wokovu katika Yesu Kristo, njia zingine zoote ni za mashetani na wala usizifumbie macho.
Unahangaikia wapi wewe?
Jali mambo yako na Imani yako tu haya mengine hayakuhusu
Unanisifia majizi na matapeli
Fuata uongo huo ila usishawishi watu kama wewe na familia yenu mmepotea kwa ujinga wa huo basi tuache na dini yetu sana
Uwe na Imani yako na mengine hayakuhusu sawa
This will be my last conversation with you
Have a nice one
 
Hivi nyie hamna aibu? Mwaka mzima nyie mnakula tu bila kupumzika? Hamajisikii ganzi kuona watu wote wamefunga nyie kula tu barabarani hata hamuoni haya huu ni ujinga na uchizi wa kiwango cha lami

Nyie ambao mnakula lazima tuwashitaki kwa sababu mnatumanisha na sisi tupate na mzuka na hamu ya kula wakati tupo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwezi ambao dunia imatikisika baada ya kuingia kwa mwezi huu dunia mzima ipo kwenye swaumu ila kuna watu wajinga kutwa kula hovyo hovyo tu

Kama mnataka kula kaeni huko chemba au mjifungie vyumbani kwetu au kwenye mapagala yenu huku mkila na mkisaza sio kula tu hadharani mnatukera sana
Nyie ni wanafiki....na mnafanya maigizo
 
Hivi nyie hamna aibu? Mwaka mzima nyie mnakula tu bila kupumzika? Hamajisikii ganzi kuona watu wote wamefunga nyie kula tu barabarani hata hamuoni haya huu ni ujinga na uchizi wa kiwango cha lami

Nyie ambao mnakula lazima tuwashitaki kwa sababu mnatumanisha na sisi tupate na mzuka na hamu ya kula wakati tupo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwezi ambao dunia imatikisika baada ya kuingia kwa mwezi huu dunia mzima ipo kwenye swaumu ila kuna watu wajinga kutwa kula hovyo hovyo tu

Kama mnataka kula kaeni huko chemba au mjifungie vyumbani kwetu au kwenye mapagala yenu huku mkila na mkisaza sio kula tu hadharani mnatukera sana
Mshenzi mkubwa! Kufunga kwako kunatuhusu nini!
 
Back
Top Bottom