Hu Jintao
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 1,726
- 3,359
MatendoKila mtu na Imani yake
Kila mtu na Mungu wake
Kila mtu na namna yake ya kuishi
Kila mtu ashinde mechi zake
Imani yako kipimo chake ni nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MatendoKila mtu na Imani yake
Kila mtu na Mungu wake
Kila mtu na namna yake ya kuishi
Kila mtu ashinde mechi zake
Imani yako kipimo chake ni nini
Sijawai ona mvaa kobazi mwenye akili hata mmoja!!Hivi nyie hamna aibu? Mwaka mzima nyie mnakula tu bila kupumzika? Hamajisikii ganzi kuona watu wote wamefunga nyie kula tu barabarani hata hamuoni haya huu ni ujinga na uchizi wa kiwango cha lami
Nyie ambao mnakula lazima tuwashitaki kwa sababu mnatumanisha na sisi tupate na mzuka na hamu ya kula wakati tupo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwezi ambao dunia imatikisika baada ya kuingia kwa mwezi huu dunia mzima ipo kwenye swaumu ila kuna watu wajinga kutwa kula hovyo hovyo tu
Kama mnataka kula kaeni huko chemba au mjifungie vyumbani kwetu au kwenye mapagala yenu huku mkila na mkisaza sio kula tu hadharani mnatukera sana
Waislam wapo kwenye Ramadan, wakiristo wapo kwaresma... Anayekula mchana ni nani? Au wasio kwenye hizi dini mbili ni wengi hivyoHivi nyie hamna aibu? Mwaka mzima nyie mnakula tu bila kupumzika? Hamajisikii ganzi kuona watu wote wamefunga nyie kula tu barabarani hata hamuoni haya huu ni ujinga na uchizi wa kiwango cha lami
Nyie ambao mnakula lazima tuwashitaki kwa sababu mnatumanisha na sisi tupate na mzuka na hamu ya kula wakati tupo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwezi ambao dunia imatikisika baada ya kuingia kwa mwezi huu dunia mzima ipo kwenye swaumu ila kuna watu wajinga kutwa kula hovyo hovyo tu
Kama mnataka kula kaeni huko chemba au mjifungie vyumbani kwetu au kwenye mapagala yenu huku mkila na mkisaza sio kula tu hadharani mnatukera sana
Tumefikia huku unatupangia maisha kweli Tanzania ujinga unaongezeka ,kufunga kwako kunanisaidia nini mimi ?au kula kwangu kunakupunguzia nini?elimu elimu elimuHivi nyie hamna aibu? Mwaka mzima nyie mnakula tu bila kupumzika? Hamajisikii ganzi kuona watu wote wamefunga nyie kula tu barabarani hata hamuoni haya huu ni ujinga na uchizi wa kiwango cha lami
Nyie ambao mnakula lazima tuwashitaki kwa sababu mnatumanisha na sisi tupate na mzuka na hamu ya kula wakati tupo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwezi ambao dunia imatikisika baada ya kuingia kwa mwezi huu dunia mzima ipo kwenye swaumu ila kuna watu wajinga kutwa kula hovyo hovyo tu
Kama mnataka kula kaeni huko chemba au mjifungie vyumbani kwetu au kwenye mapagala yenu huku mkila na mkisaza sio kula tu hadharani mnatukera sana
😂😂😂Haya madini ya kuletewa🤣 Ati Mnyaturu amuita Mngoni kafiri😭
Kila dini ina sheria na taratibu zake za ibada. Mtume Muhammad (pbuh) katuelekeza kuwa Funga yetu sisi ni tofauti na funga waliyokuwa wamefaradhishiwa wana wa israel... Funga yetu tumehalalishiwa kula daku (chakula kabla ya alfajiri ya kweli) na chakula hiki kina baraka sana kwa mlaji na pia sio lazima kula ikiwa hujisikii kula chakula basi unaweza kunywa hata maji.duuuh kupatwa kwa kufunga.....unafunga afu unaamka kula usiku wa manane .............inashangaza sana......
Hakula kushuritishana ktk dini... Kufunga mwezi wa ramadhani sio faradhi (lazima) kwa asiyekuwa muislam. Kufunga mwezi wa Ramadhan ni nguzo ya nne katika nguzo kuu tano za Dini ya Uislam.Hapa ndipo ninapo pata shida sana na uislamu.
Unafunga kutakasa moyo au unafuta tamaduni za waarabu?
Kwanini kufunga kwako ndio iwe sheria hata kwa sisi tusio husika?
AU ndio yale mimi sili nguruwe, ni kharamu ila kula matako ni halali!
Nashauri ukapimwe mkojo na tatizo la afya ya akili, kwa hakika kuna mahali kichwa chako hakipo sawa.Hivi nyie hamna aibu? Mwaka mzima nyie mnakula tu bila kupumzika? Hamajisikii ganzi kuona watu wote wamefunga nyie kula tu barabarani hata hamuoni haya huu ni ujinga na uchizi wa kiwango cha lami
Nyie ambao mnakula lazima tuwashitaki kwa sababu mnatumanisha na sisi tupate na mzuka na hamu ya kula wakati tupo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwezi ambao dunia imatikisika baada ya kuingia kwa mwezi huu dunia mzima ipo kwenye swaumu ila kuna watu wajinga kutwa kula hovyo hovyo tu
Kama mnataka kula kaeni huko chemba au mjifungie vyumbani kwetu au kwenye mapagala yenu huku mkila na mkisaza sio kula tu hadharani mnatukera sana
Leo hii dubai, muscat, kuwait city na Riyadh zingekuwa masikiniSehemu yoyote aliokaa muarabu kuna umaskini.
Hata kwenye matokeo ya shule, za dini kuu zinakuwa za mwisho.
Hii nchi sio ya kiislamu hatuna sharia law...au futari yako ndo mwendo wa magimbiHivi nyie hamna aibu? Mwaka mzima nyie mnakula tu bila kupumzika? Hamajisikii ganzi kuona watu wote wamefunga nyie kula tu barabarani hata hamuoni haya huu ni ujinga na uchizi wa kiwango cha lami
Nyie ambao mnakula lazima tuwashitaki kwa sababu mnatumanisha na sisi tupate na mzuka na hamu ya kula wakati tupo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwezi ambao dunia imatikisika baada ya kuingia kwa mwezi huu dunia mzima ipo kwenye swaumu ila kuna watu wajinga kutwa kula hovyo hovyo tu
Kama mnataka kula kaeni huko chemba au mjifungie vyumbani kwetu au kwenye mapagala yenu huku mkila na mkisaza sio kula tu hadharani mnatukera sana
Na atakuwa kashiba kweli kweli!Ameyatoa akiwa ameshafuturu mkuu, kashiba miogo na viazi mbatata hapo anahemea juujuu
Sasa matendo ndo haya kuwapangia watu wasio wa Imani yako kufuata ya Imani yako?Matendo
Unahangaikia wapi wewe?natamani ungefumbuka macho ukaona namna shetani alivyoleta imani za kishetani, watu wanafunga na kupoteza muda na pesa wakiamini wanamwabudu Mungu wa kweli, kumbe shetani amewapiga changa la macho. wengi wameokolewa kutoka huko, na kuwaambia ukweli kwamba wapo gizani ni muhimu, kwani tusipowaambia tusijedaiwa damu yao mikononi mwetu. Njia ya kumwabudu Mungu ni moja tu, kwa njia ya wokovu katika Yesu Kristo, njia zingine zoote ni za mashetani na wala usizifumbie macho.
Nyie ni wanafiki....na mnafanya maigizoHivi nyie hamna aibu? Mwaka mzima nyie mnakula tu bila kupumzika? Hamajisikii ganzi kuona watu wote wamefunga nyie kula tu barabarani hata hamuoni haya huu ni ujinga na uchizi wa kiwango cha lami
Nyie ambao mnakula lazima tuwashitaki kwa sababu mnatumanisha na sisi tupate na mzuka na hamu ya kula wakati tupo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwezi ambao dunia imatikisika baada ya kuingia kwa mwezi huu dunia mzima ipo kwenye swaumu ila kuna watu wajinga kutwa kula hovyo hovyo tu
Kama mnataka kula kaeni huko chemba au mjifungie vyumbani kwetu au kwenye mapagala yenu huku mkila na mkisaza sio kula tu hadharani mnatukera sana
Na huo usiku ni mwendo wa kula kama kiwavi.duuuh kupatwa kwa kufunga.....unafunga afu unaamka kula usiku wa manane .............inashangaza sana......
Mshenzi mkubwa! Kufunga kwako kunatuhusu nini!Hivi nyie hamna aibu? Mwaka mzima nyie mnakula tu bila kupumzika? Hamajisikii ganzi kuona watu wote wamefunga nyie kula tu barabarani hata hamuoni haya huu ni ujinga na uchizi wa kiwango cha lami
Nyie ambao mnakula lazima tuwashitaki kwa sababu mnatumanisha na sisi tupate na mzuka na hamu ya kula wakati tupo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwezi ambao dunia imatikisika baada ya kuingia kwa mwezi huu dunia mzima ipo kwenye swaumu ila kuna watu wajinga kutwa kula hovyo hovyo tu
Kama mnataka kula kaeni huko chemba au mjifungie vyumbani kwetu au kwenye mapagala yenu huku mkila na mkisaza sio kula tu hadharani mnatukera sana