Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Kuna katu zinacheza x pia ahahahhWiki nne kidogo sana njoo nakupatia simu mpya yenye uwezo mkubwa& unlimited bundle uangalie katoni mpaka uchoke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna katu zinacheza x pia ahahahhWiki nne kidogo sana njoo nakupatia simu mpya yenye uwezo mkubwa& unlimited bundle uangalie katoni mpaka uchoke
Nilipata mapigo makali kaka ni ngumu hata kuyaelezea nimeteseka sana usiku kuchaWakati mwingine unaweza kumchallange kijana humu mwisho anakunanga oooh nyie wazee bana, oooh we unajua nini, ooh kwani lazima ureply!!.
Haya wewe umeandika mambo yako hapa japo target ni huyo mwenzako sijui bartaza, main point ilikuwa adhabu ila umepeperushwa na porn kwa kushindwa kuandika...
Ni adhabu gani uliyopata?.
Huyo hapendi xKuna katu zinacheza x pia ahahahh
Anaongopa tyHuyo hapendi x
Basi hakuna ukiboko wowote kwa huyo mwambaNdio kwani kuna aina nying za kupampu au
sema ulsema hutaki kuoa sasa,,ningejilipia mali mwenyewe nije mazimaWiki nne kidogo sana njoo nakupatia simu mpya yenye uwezo mkubwa& unlimited bundle uangalie katuni mpaka uchoke
AhahahaBasi hakuna ukiboko wowote kwa huyo mwamba
Kuoa ntakudanganya ila mengine karibu sanasema ulsema hutaki kuoa sasa,,ningejilipia mali mwenyewe nije mazima
AMINA Asante sanaLeo unaposali, omba kila unachogusa kwa mikono yako kibarikiwe na kizae matunda. Kila akili yako inapotumika kufanya jambo lenye manufaa basi na likafanikiwe. Wale tunaopata riziki kupitia wao Mungu aendelee kuwabariki. Na pale vinywa vyetu vinapofunguka basi viongee busara
Ahaahha yule kamshinda shetaniNaishukuru roho yangu kwa kufanikiwa kuyafumba macho yangu dhidi ya hayo yote. Hizo ni mbinu za devil.
Na naona anafanikiwa kwa baadhi ya watu, maana nasikia wakimsifia jamaa kwamba yuko vizuri.
Hebu tazama vijana watakavyohaha kutafuta mbinu kama jamaa. 😢
Hivi kama hauna hisia naye ule ute wa asili huwa unatoka hata mkiandaliwa vizuri?Ewaaaa hapo umenena,,andaa bwan vzuuuri ili vitumike vile vile
Unapitwa na mazuri, lazima kujifunza🤣sijaangalia na sitakaa niangalie
Huwez nidanganya coz huduma zote za kama alooa ntakupa🤒Kuoa ntakudanganya ila mengine karibu sana
Aaah navutia hisia kwa jamaa naempenda,utatoka tu kwa lazima,, hahahaha 😂Hivi kama hauna hisia naye ule ute wa asili huwa unatoka hata mkiandaliwa vizuri?
We hapana wakt mtaan kuzur ivi najitahid kujiepusha na majanga😂😂 Kaka kaka, mi nikajua ulienda jela!