Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Nadhani huyu jamaa anataka kututoa kwenye mstari wa nyoka wetu pendwa... Mheshimiwa Koboko a.k.a Black Mamba...Anaweza kung'ata watu 250 ndani ya sekunde tano na wote wakafa ndani ya sekunde hizo.[emoji848][emoji2827]