Nyoka mwenye uwezo wa kuua kwa sekunde 5 apatikana

Labda kwa drones
 
Kwa sifa alizozitaja mtoa mada, unajiuliza mkwamba mtoa mada amewezaje kuzipata endapo hata kupata harufu yake tu unapata vidonda vya koo na kisha kufa. Kwa siga hizo ni wazi kuwa kila aliyemfanyia utafiti atakuwa alikufa.
Anyway yawezekana mtoa mada ana dawa ya sumu ya kumdhibiti nyoka huyo.
 
Uongo mtupu nyoka wa youtube hao


Umesema ukisikia harufu yake unakufa
Afu umkasema anawezo wa kusikia umbali km 10

Afu unatwambia nyoka huyo akisikia makelele ya binadamu vilio nk anakuja karibu kusikiliza nini kinaendelea kama mnamjadili kufa anakimbia

Mpaka amesogea hapo si wanakuwa washakufa wote?
Nyoka wa hivyo angekuwepo dunia ingekuwa hatare sana
 
Mkuu una uhakika anayezungumziwa hapo ni nyoka

Nilitegemea ungefungua code hapo utufafanulie

Binafsi mpaka sasa sijaamini na wala sitaki kuamini kama anayezungumziwa hapo ni Nyoka kama Nyoka

Yaani mkuu sixth sense yangu imegoma kabisa kuamini kama anayezungumziwa ni Nyoka mdudu
 
Ni dawa ipi sahihi ya haraka kuzuia sumu ya nyoka ukiwa mbali na hospital kabla ya kufika hospital. Mfano ukiwa porini unaweza ukatumia au kujichoma.
Mkojo wako uunywe.
 
Tafadhali!!

Kaa naye hukohuko usituletee balaa huku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…