Nadhani huyu jamaa anataka kututoa kwenye mstari wa nyoka wetu pendwa... Mheshimiwa Koboko a.k.a Black Mamba...Anaweza kung'ata watu 250 ndani ya sekunde tano na wote wakafa ndani ya sekunde hizo.[emoji848][emoji2827]
Kaamka kafikiri kwanza aje atufunge kambaa.. nyoka anabadirika na kuwa upinde wa mvua anapaa na kupotea 😅😅😅 Noma kweliBoya sana huyu mtoa mada hajalu hata kama tuko kwaresma
Ni mwana ccm kindakindakiAmesema tuongeze sifa nyingine, halafu nyi mnabisha!
Labda kwa dronesAliyempiga hii picha ye'hakufa?
Maana nimeona hakamatiki wala hafikiriki!
Ukimuona ni tatizo kubwa na ukimuwaza unaweweseka kwa wazimu ama kuanguka kifafa!
Nd'onajiuliza hii picha ilichukuliwaje na mwenye kuichukua bado yupo hai?
Na tulioiangalia hatutapata madhara yoyote kweli?
Mafuta ya mnyonyoNi dawa ipi sahihi ya haraka kuzuia sumu ya nyoka ukiwa mbali na hospital kabla ya kufika hospital. Mfano ukiwa porini unaweza ukatumia au kujichoma.
UnayafanyajeMafuta ya mnyonyo
Hahahaha[emoji23]Nadhani huyu jamaa anataka kututoa kwenye mstari wa nyoka wetu pendwa... Mheshimiwa Koboko a.k.a Black Mamba...
Mkuu una uhakika anayezungumziwa hapo ni nyokaHii nadhani ni ya yule jamaa wa Moro kule FB ni muongo kapitiliza hizi fact zina walakini mkubwa
Anaweza kung'ata watu 250 ndani ya sekunde tano na wote wakafa ndani ya sekunde hizo.
3. Anaweza kubadilika anapohisi kuwa kuna adui karibu yake na kuwa mamba.
12. Hazalishi wala hazai kwa sababu nyoka huyu huteremshwa toka angani.
14. Anatabia ya kulipiza kisasi pale alijeruhiwa. Hutoka msituni na kuja kuleta fujo mtaani.
15. Ana Iman ya dini na hujishughulisha na ibada.
Yeah, wewe sasa ndo umeandika pointBado hajawa hatari kuliko mwanamke
Mkojo wako uunywe.Ni dawa ipi sahihi ya haraka kuzuia sumu ya nyoka ukiwa mbali na hospital kabla ya kufika hospital. Mfano ukiwa porini unaweza ukatumia au kujichoma.
Tafadhali!!4. Anaweza kung'ata watu 250 ndani ya sekunde tano na wote wakafa ndani ya sekunde hizo.
5. Ana urefu wa mita 25 yaani robo ya uwanja wa mpira wa miguu.
6. Anaweza kuruka kwa urefu wa mita 75 yaani robo tatu ya urefu wa uwanja wa mpira wa miguu.
7. Sehem aliyepita na kisha binadamu akapita kwa muda huo, anaweza kupalalaiz yaani akapata strock.
8. Anaweza kurusha mate na yakaenda urefu wa mita 100.
9. Anaweza kusikia na kuona kitu kilicho umbali wa kilomita 10.
True au false,utaua watu wakidhani ni first aidMkojo wako uunywe.
Jamaa katupiga utosini na kitu kizitoNdugu yetu katuchoka sana kwa kweli...