Nyoka mwenye uwezo wa kuua kwa sekunde 5 apatikana

Nyoka mwenye uwezo wa kuua kwa sekunde 5 apatikana

Mbabe huyu hapa, anaitwa Collin diep. Nyoka mwenye maajabu mengi kuliko wote duniani. Leo fahamu maajabu 15 ya nyoka huyu, apatikana kwenye sehem za misitu, mabonde na mito.

1. Ana sumu inayoweza kuua ndani ya sekunde tano na mzoga ukaoza ndani ya dakika 10.

2. Ana rangi 26 mwilini mwake.

3. Anaweza kubadilika anapohisi kuwa kuna adui karibu yake na kuwa mamba.

4. Anaweza kung'ata watu 250 ndani ya sekunde tano na wote wakafa ndani ya sekunde hizo.

5. Ana urefu wa mita 25 yaani robo ya uwanja wa mpira wa miguu.

6. Anaweza kuruka kwa urefu wa mita 75 yaani robo tatu ya urefu wa uwanja wa mpira wa miguu.

7. Sehem aliyepita na kisha binadamu akapita kwa muda huo, anaweza kupalalaiz yaani akapata strock.

8. Anaweza kurusha mate na yakaenda urefu wa mita 100.

9. Anaweza kusikia na kuona kitu kilicho umbali wa kilomita 10.

10. Ukipata harufu yake unatoka vidonda kooni na baada ya siku chache utakufa.

11. Akishaua na akisikia sauti za vilio vya watu, anakuja karibu ya tukio kusikiliza kinacho endelea, akisikia mazungumzo kuwa atafutwe na auliwe yeye hugeuka upinde wa mvua kisha hupaa juu angani.

12. Hazalishi wala hazai kwa sababu nyoka huyu huteremshwa toka angani.

13. Hana jinsia yoyote.

14. Anatabia ya kulipiza kisasi pale alijeruhiwa. Hutoka msituni na kuja kuleta fujo mtaani.

15. Ana Iman ya dini na hujishughulisha na ibada.

NB: Asante, Kwa updates nyingine endelea kuwa nami.

[emoji116]View attachment 2530182
Alijaribiwa kumgonga binadamu ndo utafiti ukakamilika?
 
Mbabe huyu hapa, anaitwa Collin diep. Nyoka mwenye maajabu mengi kuliko wote duniani. Leo fahamu maajabu 15 ya nyoka huyu, apatikana kwenye sehem za misitu, mabonde na mito.

1. Ana sumu inayoweza kuua ndani ya sekunde tano na mzoga ukaoza ndani ya dakika 10.

2. Ana rangi 26 mwilini mwake.

3. Anaweza kubadilika anapohisi kuwa kuna adui karibu yake na kuwa mamba.

4. Anaweza kung'ata watu 250 ndani ya sekunde tano na wote wakafa ndani ya sekunde hizo.

5. Ana urefu wa mita 25 yaani robo ya uwanja wa mpira wa miguu.

6. Anaweza kuruka kwa urefu wa mita 75 yaani robo tatu ya urefu wa uwanja wa mpira wa miguu.

7. Sehem aliyepita na kisha binadamu akapita kwa muda huo, anaweza kupalalaiz yaani akapata strock.

8. Anaweza kurusha mate na yakaenda urefu wa mita 100.

9. Anaweza kusikia na kuona kitu kilicho umbali wa kilomita 10.

10. Ukipata harufu yake unatoka vidonda kooni na baada ya siku chache utakufa.

11. Akishaua na akisikia sauti za vilio vya watu, anakuja karibu ya tukio kusikiliza kinacho endelea, akisikia mazungumzo kuwa atafutwe na auliwe yeye hugeuka upinde wa mvua kisha hupaa juu angani.

12. Hazalishi wala hazai kwa sababu nyoka huyu huteremshwa toka angani.

13. Hana jinsia yoyote.

14. Anatabia ya kulipiza kisasi pale alijeruhiwa. Hutoka msituni na kuja kuleta fujo mtaani.

15. Ana Iman ya dini na hujishughulisha na ibada.

NB: Asante, Kwa updates nyingine endelea kuwa nami.

👇View attachment 2530182
Watanzania kwa kutishana, hatujambo
 
Mbabe huyu hapa, anaitwa Collin diep. Nyoka mwenye maajabu mengi kuliko wote duniani. Leo fahamu maajabu 15 ya nyoka huyu, apatikana kwenye sehem za misitu, mabonde na mito.

1. Ana sumu inayoweza kuua ndani ya sekunde tano na mzoga ukaoza ndani ya dakika 10.

2. Ana rangi 26 mwilini mwake.

3. Anaweza kubadilika anapohisi kuwa kuna adui karibu yake na kuwa mamba.

4. Anaweza kung'ata watu 250 ndani ya sekunde tano na wote wakafa ndani ya sekunde hizo.

5. Ana urefu wa mita 25 yaani robo ya uwanja wa mpira wa miguu.

6. Anaweza kuruka kwa urefu wa mita 75 yaani robo tatu ya urefu wa uwanja wa mpira wa miguu.

7. Sehem aliyepita na kisha binadamu akapita kwa muda huo, anaweza kupalalaiz yaani akapata strock.

8. Anaweza kurusha mate na yakaenda urefu wa mita 100.

9. Anaweza kusikia na kuona kitu kilicho umbali wa kilomita 10.

10. Ukipata harufu yake unatoka vidonda kooni na baada ya siku chache utakufa.

11. Akishaua na akisikia sauti za vilio vya watu, anakuja karibu ya tukio kusikiliza kinacho endelea, akisikia mazungumzo kuwa atafutwe na auliwe yeye hugeuka upinde wa mvua kisha hupaa juu angani.

12. Hazalishi wala hazai kwa sababu nyoka huyu huteremshwa toka angani.

13. Hana jinsia yoyote.

14. Anatabia ya kulipiza kisasi pale alijeruhiwa. Hutoka msituni na kuja kuleta fujo mtaani.

15. Ana Iman ya dini na hujishughulisha na ibada.

NB: Asante, Kwa updates nyingine endelea kuwa nami.

[emoji116]View attachment 2530182
[emoji478][emoji477][emoji477][emoji477][emoji477][emoji477][emoji477][emoji477][emoji477]
FB_IMG_1677269048538.jpg
 
😂😂😂
Nimeshindwa kucheka peke yangu bhaana,
Pa' Mac Alpho namtaka huyu nyoka as pet tafadhali sana..!!
 
Ni dawa ipi sahihi ya haraka kuzuia sumu ya nyoka ukiwa mbali na hospital kabla ya kufika hospital. Mfano ukiwa porini unaweza ukatumia au kujichoma.
Hiyo dawa hata kama unayo mfukoni sidhani kama utatoboa kwa sekunde 5
 
Akishaua na akisikia sauti za vilio vya watu, anakuja karibu ya tukio kusikiliza kinacho endelea, akisikia mazungumzo kuwa atafutwe na auliwe yeye hugeuka upinde wa mvua kisha hupaa juu angani.
... hapa nilijua akisogea karibu akasikia wanataka wamtafute wamuue anawatemea mate na kuwadedisha wote, kumbe muoga anakimbilia kujigeuza upinde wa mvua.!
 
Ni dawa ipi sahihi ya haraka kuzuia sumu ya nyoka ukiwa mbali na hospital kabla ya kufika hospital. Mfano ukiwa porini unaweza ukatumia au kujichoma.
Itoshe kusema hii Dunia imebeba mengi....

Miaka Mingi sana iliyo pita tulikua tunafanya usafi kwenye parking 🅿️ ya nyumbani.....
Kulikua Kuna mbao na vyuma na makolokoro ya mule parking 🅿️ ilibid kuyaweka sawa....
Wakat tunaendelea nikitoka nje kurudi ndani bro mtoto wa shangaz akamwona nyoka mweusi MKUBWA......

Nikiwa na shuhudia yule kaka angu aka mwendea nyoka kumpelekea mkono kumkamata...

Cha kushangaza nyoka alikamatwa kichwani ila alikua amemn'gata tayar mkononi akaniagiza wembe.....akamtoa meno Nika muuliza vip wewe akanambia mm na kinga Sumu ya nyoka haiwez nifanya kitu......

Huyu brother ana story pia......
KUNA KIPIND ALIWAI NIPA DAWA AMBAYO UKI I CHANGANYA NA MAFUTA MGANDO UKAENDA MGUSA MDADA AU MWANAMKE YEYOTE...MKONONI,BEGAN SEHEMU YEYOTE YENYE CONTACT LAZIMA A FALL IN LOVE KWAKO......
WENYE UZOEFU WANAWEZA KUFAFANUA....

Yule bro Alisha wai kuwa askari mamluki na akapelekwa kukiwasha Kongo ila walikuaga wanapikwa madawa.....

For sure hii Dunia imebeba mengi...
 
Mbabe huyu hapa, anaitwa Collin diep. Nyoka mwenye maajabu mengi kuliko wote duniani. Leo fahamu maajabu 15 ya nyoka huyu, apatikana kwenye sehem za misitu, mabonde na mito.

1. Ana sumu inayoweza kuua ndani ya sekunde tano na mzoga ukaoza ndani ya dakika 10.

2. Ana rangi 26 mwilini mwake.

3. Anaweza kubadilika anapohisi kuwa kuna adui karibu yake na kuwa mamba.

4. Anaweza kung'ata watu 250 ndani ya sekunde tano na wote wakafa ndani ya sekunde hizo.

5. Ana urefu wa mita 25 yaani robo ya uwanja wa mpira wa miguu.

6. Anaweza kuruka kwa urefu wa mita 75 yaani robo tatu ya urefu wa uwanja wa mpira wa miguu.

7. Sehem aliyepita na kisha binadamu akapita kwa muda huo, anaweza kupalalaiz yaani akapata strock.

8. Anaweza kurusha mate na yakaenda urefu wa mita 100.

9. Anaweza kusikia na kuona kitu kilicho umbali wa kilomita 10.

10. Ukipata harufu yake unatoka vidonda kooni na baada ya siku chache utakufa.

11. Akishaua na akisikia sauti za vilio vya watu, anakuja karibu ya tukio kusikiliza kinacho endelea, akisikia mazungumzo kuwa atafutwe na auliwe yeye hugeuka upinde wa mvua kisha hupaa juu angani.

12. Hazalishi wala hazai kwa sababu nyoka huyu huteremshwa toka angani.

13. Hana jinsia yoyote.

14. Anatabia ya kulipiza kisasi pale alijeruhiwa. Hutoka msituni na kuja kuleta fujo mtaani.

15. Ana Iman ya dini na hujishughulisha na ibada.

NB: Asante, Kwa updates nyingine endelea kuwa nami.

👇View attachment 2530182
Huyu kwenye picha ukimnyoosha hawezi kuzidi mita kumi, kwahiyo ni mjukuu.
 
Back
Top Bottom