Nyoka mwenye uwezo wa kuua kwa sekunde 5 apatikana

Nyoka mwenye uwezo wa kuua kwa sekunde 5 apatikana

A
Mbabe huyu hapa, anaitwa Collin diep. Nyoka mwenye maajabu mengi kuliko wote duniani. Leo fahamu maajabu 15 ya nyoka huyu, apatikana kwenye sehem za misitu, mabonde na mito.

1. Ana sumu inayoweza kuua ndani ya sekunde tano na mzoga ukaoza ndani ya dakika 10.

2. Ana rangi 26 mwilini mwake.

3. Anaweza kubadilika anapohisi kuwa kuna adui karibu yake na kuwa mamba.

4. Anaweza kung'ata watu 250 ndani ya sekunde tano na wote wakafa ndani ya sekunde hizo.

5. Ana urefu wa mita 25 yaani robo ya uwanja wa mpira wa miguu.

6. Anaweza kuruka kwa urefu wa mita 75 yaani robo tatu ya urefu wa uwanja wa mpira wa miguu.

7. Sehem aliyepita na kisha binadamu akapita kwa muda huo, anaweza kupalalaiz yaani akapata strock.

8. Anaweza kurusha mate na yakaenda urefu wa mita 100.

9. Anaweza kusikia na kuona kitu kilicho umbali wa kilomita 10.

10. Ukipata harufu yake unatoka vidonda kooni na baada ya siku chache utakufa.

11. Akishaua na akisikia sauti za vilio vya watu, anakuja karibu ya tukio kusikiliza kinacho endelea, akisikia mazungumzo kuwa atafutwe na auliwe yeye hugeuka upinde wa mvua kisha hupaa juu angani.

12. Hazalishi wala hazai kwa sababu nyoka huyu huteremshwa toka angani.

13. Hana jinsia yoyote.

14. Anatabia ya kulipiza kisasi pale alijeruhiwa. Hutoka msituni na kuja kuleta fujo mtaani.

15. Ana Iman ya dini na hujishughulisha na ibada.

NB: Asante, Kwa updates nyingine endelea kuwa nami.

๐Ÿ‘‡View attachment 2530182
Achana na hizo story nyingine zote ulizozielezea hapo.
Just chuku hiyo ya kugonga watu 250 kwa sekunde 5, halafu kalale nayo.
 
198351-Hot-Tea-Vapor.gif
 
Aliyempiga hii picha ye'hakufa?

Maana nimeona hakamatiki wala hafikiriki!

Ukimuona ni tatizo kubwa na ukimuwaza unaweweseka kwa wazimu ama kuanguka kifafa!

Nd'onajiuliza hii picha ilichukuliwaje na mwenye kuichukua bado yupo hai?

Na tulioiangalia hatutapata madhara yoyote kweli?
Hadithi ya kufikitika kwani hajawahi kuonekana kwani aliyemwona alikufa na hakuna akiyesimuliwa kwani msimuliaji alikua, pia nyoka badi hajazaliwa wala kuanguliwa kwani nyoka wa kuzaa au kuangua bado hajawahi kuwepo
 
Uyu ni mbabe, leo umeota ndoto mbaya kweli.
Vile upo vizuri na baraka kutoka kwa mkuu aliye juu. Umeikumbuka ndoto yote.
 
Uzi kama huu usio na DATA za ukweli, reliability and validity of data haziakisi uhalisia ,unatakiwa ufutwe watu hujifunza pitia jf sasa taarifa ina data ambazo ni outlier
 
Huyu anafaa kuwa pet snake anavutia sana,unamuweka kwenye kikabati cha kioo anakua kivutio sebuleni..btw niliacha kuogopa nyoka baada ya kungalia kile kipindi cha "Snake in the city" National geographic channel..kumbe ni viumbe hawana tabu na mtu..๐Ÿคฃ
Mtoto wangu anapenda hiki kipindi hadi namshangaa wenzie wanataka katuni yeye analilia snake in the city...sijui hata anapendea nini
 
Mbabe huyu hapa, anaitwa Collin diep. Nyoka mwenye maajabu mengi kuliko wote duniani. Leo fahamu maajabu 15 ya nyoka huyu, apatikana kwenye sehem za misitu, mabonde na mito.

1. Ana sumu inayoweza kuua ndani ya sekunde tano na mzoga ukaoza ndani ya dakika 10.

2. Ana rangi 26 mwilini mwake.

3. Anaweza kubadilika anapohisi kuwa kuna adui karibu yake na kuwa mamba.

4. Anaweza kung'ata watu 250 ndani ya sekunde tano na wote wakafa ndani ya sekunde hizo.

5. Ana urefu wa mita 25 yaani robo ya uwanja wa mpira wa miguu.

6. Anaweza kuruka kwa urefu wa mita 75 yaani robo tatu ya urefu wa uwanja wa mpira wa miguu.

7. Sehem aliyepita na kisha binadamu akapita kwa muda huo, anaweza kupalalaiz yaani akapata strock.

8. Anaweza kurusha mate na yakaenda urefu wa mita 100.

9. Anaweza kusikia na kuona kitu kilicho umbali wa kilomita 10.

10. Ukipata harufu yake unatoka vidonda kooni na baada ya siku chache utakufa.

11. Akishaua na akisikia sauti za vilio vya watu, anakuja karibu ya tukio kusikiliza kinacho endelea, akisikia mazungumzo kuwa atafutwe na auliwe yeye hugeuka upinde wa mvua kisha hupaa juu angani.

12. Hazalishi wala hazai kwa sababu nyoka huyu huteremshwa toka angani.

13. Hana jinsia yoyote.

14. Anatabia ya kulipiza kisasi pale alijeruhiwa. Hutoka msituni na kuja kuleta fujo mtaani.

15. Ana Iman ya dini na hujishughulisha na ibada.

NB: Asante, Kwa updates nyingine endelea kuwa nami.

[emoji116]View attachment 2530182
Mleta mada umetudharau sana. Hata mtoto huwezi kumdanganya kijinga hivyo. Eti nyoka hana jinsia, mara ukisikia harufu yake unapata madonda na kufa. Kafe mwenyewe! Araaa...
 
Mleta mada umetudharau sana. Hata mtoto huwezi kumdanganya kijinga hivyo. Eti nyoka hana jinsia, mara ukisikia harufu yake unapata madonda na kufa. Kafe mwenyewe! Araaa...
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Moja ya big outlier
 
Tumesha zoea chai mkuu! Hii ya leo unatutafutia ubaya na ndugu
JamiiForums1910368232.jpg


Yaani! Hivyo vyooote naweza nikajitahidi kuvielewa ila ile ya kubadilika MAMBA daaah! Samahani sana mkuu tuheshimiane[emoji26][emoji2959][emoji2959][emoji35]
 
Hii nadhani ni ya yule jamaa wa Moro kule FB ni muongo kapitiliza hizi fact zina walakini mkubwa

Anaweza kung'ata watu 250 ndani ya sekunde tano na wote wakafa ndani ya sekunde hizo.
3. Anaweza kubadilika anapohisi kuwa kuna adui karibu yake na kuwa mamba.
12. Hazalishi wala hazai kwa sababu nyoka huyu huteremshwa toka angani.
14. Anatabia ya kulipiza kisasi pale alijeruhiwa. Hutoka msituni na kuja kuleta fujo mtaani.

15. Ana Iman ya dini na hujishughulisha na ibada.
Mshana Jr labda kama mshana atuambie ni nyoka wa ki mazingira๐Ÿค“๐Ÿค“๐Ÿค“๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž
 
Back
Top Bottom