ccm mbele kwa mbele huwa hawajali wanajali matumbo yao[emoji38][emoji38][emoji38] Mama anaupiga mwingi
Hongera sana boss..Namshukuru Mungu sana niliweza kukimbia huu utumwa. Namshukuru Mungu sana
Sukuma gang wanakomeshwa[emoji38][emoji38][emoji38] Mama anaupiga mwingi
CCM OYEEERais wa Tucta ama shirikisho la vyama vya wafanyakazi amesema wamepokea malalamiko mengi kutoka kwa watumishi wa serikali kuhusu nyongeza za mishahara ya 23% waliokua wanaitegemea kama alivyoahidi rais kwenda kinyume na matarajio yao.
Rais wa TUCTA amesema wamepokea malalamiko na watatolea ufafanuzi hivi karibuni.
Pale ambapo unaenda kumlalamikia FISI mwenye NJAA kuhusu nusu kilo ya nyama uliyopewa.Rais wa Tucta ama shirikisho la vyama vya wafanyakazi amesema wamepokea malalamiko mengi kutoka kwa watumishi wa serikali kuhusu nyongeza za mishahara ya 23% waliokua wanaitegemea kama alivyoahidi rais kwenda kinyume na matarajio yao.
Rais wa TUCTA amesema wamepokea malalamiko na watatolea ufafanuzi hivi karibuni.
Upo wap saiv mkuuNamshukuru Mungu sana niliweza kukimbia huu utumwa. Namshukuru Mungu sana
34,500Sie wengine hatujui hesabu kwa wanao jua toeni maelekezo, 150,000 kwa 23% ongezeko lake linakuwa kiasi gani?.
Sent using Jamii Forums mobile app