Nyongeza ya mishahara TUCTA wamasema wamepokea malalamiko, watatoa tamko

CCM OYEEE
 
Pale ambapo unaenda kumlalamikia FISI mwenye NJAA kuhusu nusu kilo ya nyama uliyopewa.

Haya mavyama ya wafanyakazi ndio yanaongoza kudidimiza Wafanyakazi.

Hapo kwenye hicho kidogo kilicho ongezwa na wao WAMEKATA tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…