Kiminyio 01
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 1,389
- 2,025
Hua haiuzwi kiholela sijawahi kusikia mtu anauza,ila kwa kuanzia jaribu kwenda Kibondo anzia Mabamba,shuka hdi Kakonko Anzia Rugenge na Gwarama hope nimekupa pa kuanzia.Naomba Connection ya mtu anaweza kuuza
Kuna wengine wanamix na mavitu ya kichawi mzee,ujuzi unatofautiana mkuu.Msiongee vitu hamjui nyongo ya mamba haichanganywi na kitu chochote wala haihitaji ushirikina ikisuuzwa kwenye glass na ukawekewa kitu ukanywa dakika 3 huchukui na huyo anayesema uchachu wake haupendi ni mpuuzi hiyo kitu haionjwi na mtu.
Miaka ya 70 alinyweshwa SSP mmoja walikuwa shahidi wa kesi ya mauaji mahali alitapika na kufia hapo matapishi yaliweka alama for more than 15 yrs.
Pia Mara nyingi akiuawawa mamba maliasili hufika na kumtoa nyongo navkuondoka Mayo.
Maeneo ya kibondo haiwezi kosekana maana uchawi unauzwa sokoni!!!Hua haiuzwi kiholela sijawahi kusikia mtu anauza,ila kwa kuanzia jaribu kwenda Kibondo anzia Mabamba,shuka hdi Kakonko Anzia Rugenge na Gwarama hope nimekupa pa kuanzia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ina ladha fulani ya uchachu ambao sijaupenda.
Haya maua yanatoa sumu,yanaitwaje?View attachment 1304242
Don't eat this
Hatari sana Dadaa💀💀💀Duh,ulishawahi kuitest na hukudhurika mkuu?, mleta uzi kumbe hiyo sumu si hatari hivo bana[emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni Mchanganyiko wa vitu vingi pamoja na nyongo yake.Na je inapatikanaje hiyo nyongo? Ni mpaka auawe apasuliwe mwili wake?, ama huitoa tu mwenyewe sometimes mfano kama tunavyosikia mtu ametapika nyongo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kuna dawa inabidi unywe pia ili isiwe sumu.Duh,ulishawahi kuitest na hukudhurika mkuu?, mleta uzi kumbe hiyo sumu si hatari hivo bana[emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
So unakunywa hiyo dawa in advance, ili siku ikitokea umewekewa hiyo nyongo inakua haina madhara eeh?Kweli kuna dawa inabidi unywe pia ili isiwe sumu.
Ok, so mamba anauliwa ili vipatikane hivo vitu?, au anavitoa mwenyewe tu?
Mbao za mawe anasema aliitest ila tu hakupenda ladha yake, inaonesha si hatari hivoo[emoji2]Hatari sana Dadaa[emoji88][emoji88][emoji88]
[emoji23][emoji23][emoji23]Ina ladha fulani ya uchachu ambao sijaupenda.
Wewe binadamu tumepotezana kama wachawi. [emoji23]
Naam ndiyo lengo la kutumia hiyo dawa.So unakunywa hiyo dawa in advance, ili siku ikitokea umewekewa hiyo nyongo inakua haina madhara eeh?
Sent using Jamii Forums mobile app