Nyongo ya mamba ni sumu kali inayouwa kwa haraka zaidi

Hatari Sana Mkuu kama ndio hiyvi inaua taratibu.
 
Wacha ulongo!
 
Walikua wanatumia babu zangu zamani waliuana kinyama ila kuna kisa kimoja babu mzaa baba alipona alikua nusu avute alivimba tumbo kama pipa sijui alifanyaje anajua yeye ila alipona baadaee miaka 30 alikuja fariki baadae na kitu kingine ila alilipiza kisasi kwa aliemtegea,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…