Nyongo ya mamba ni sumu kali inayouwa kwa haraka zaidi

Nyongo ya mamba ni sumu kali inayouwa kwa haraka zaidi

Hii ni sumu Kali inayotokana na nyongo inayopatikana katika mwili Wa mamba ambae ni mnyama hatari sana kwa binaadamu na wanyama wengine.

Kama tunavyojua ukali na nguvu aliyonayo mamba awapo ndani ya maji basi hata nyongo yake ni hatari kwa maisha ya binaadamu.sumu hii hupatikana baada ya kuichukua nyongo ya mamba nakuchanganywa na dawa flani za kienyeji ambapo kutokea silaha hatari sana ya kibaolojia ambayo huua kwa muda mfupi sana,huwa haichukui muda zaidi ya dakika kumi habari huwa imekwisha.
View attachment 1304009View attachment 1304014


Watu wenye imani za kishirikina huitumia kuangamiza watu kwa kuwawekea kwenye kinywaji kama chai au kahawa na MTU anapotumia kinywaji hicho basi huwa uhai wake umeishia hapo inakuwa baibai kwaheri mwalimu,ndugu na jamaa mnaanza kuandaa mazishi na matanga.
Sumu hii ni maarufu sana katika mkoa Wa kigoma,sehemu za kigoma mjini na mwambao Wa ziwa Tanganyika maeneo zinapofanyika shughuli za uvuvi,maeneo kama ujiji,katonga,kibirizi mwanga na vijiji vya ukanda Wa kusini wilaya ya uvinza kama lubengela,sigunga,mgambo.Na upande Wa vijiji vya mwamgongo,mtanga sumu hii imekuwa ikitumika kupoteza uhai Wa watu wengi sana.Ukijaaliwa kufika maeneo tajwa jihadhari sana ndugu yangu kwa kutokunywa kahawa,chai au kinywaji chochote kwa MTU usiemtambua kwani wengi wamepoteza uhai kwa kunywesha vijwaji vyenye sumu ya mamba au(nyongo ya mamba).

Kuna watu wengi wamepoteza wapendwa wao kupitia sumu hii akiwemo mzazi mmoja Wa mwanafunzi hassan sio jina halisi,ambae alikuwa msimamizi Wa ujenzi Wa shule ya sekondari buteko,sasa katika ushindani na aliyekuwa injinia Wake wakamtegea chain iliyokuwa imechanganywa na sumu ya mamba alivyokunywa tu akasikia kama utumbo unakatika katika akaimwaga chai kwenye majani ya mkomamanga pale pale majani yakakauka kama umetokea ukame, basi hakuchukua muda Wa dakika tano akapoteza uhai,sio mchezo hii kitu,mpaka sasa imebaki historia ya kusikitisha katika familia yake.
Mfano IPO mingi Ila cha kuzingatia unapofika maeneo niliyotaja bado kuwa muangalifu usianzishe uadui na watu usiowajua utapotezwa kwa sekunde kadhaa kwani wengi huangamiza maadui zao kwa kutumia kinywaji kilicho changanywa na sumu hii.



Mkuu, siyo kweli kwamba nyongo ya Mamba ni Sumu.

Ni kutokana na imani zilizozagaa sehemu mbalimbali za Afrika ya mashariki na kusini kwamba nyongo ya mamba ni sumu ndipo wanasayansi wakaamua kufanya utafiti juu ya hiyo nyongo, kuna mtafiti mmoja alichukua hiyo nyongo na kuwapa panya na nyani kitaalamu na wala hawakufa isitoshe huko mto zambezi kuna wachina wao kazi yao ni kuchukua nyongo ikiwa ndani ya (gall bladders) na kuikausha kisha kuipeleka China ikatumike kama dawa ya nguvu za kiume.

Nyongo ni kimiminika kinachozalishwa na ini kisha kuhifadhiwa katika kifuko kiitwacho gall bladder, kazi ya nyongo ambayo ipo kwa binadamu pia, ni uyeyeshaji wa mafuta yanayoingia na chakula katika utumbo mwembamba.

Watafiti wa mambo ya tiba na uganga wa asili wanasema nyongo ya mamba siyo sumu bali waganga wa miti shamba huchukua hiyo nyongo na kuchanganya na miti-shamba wanayoijua ambayo ni sumu, hivyo utaona kwamba sumu siyo hiyo nyongo bali sumu ni hiyo miti-shamba.
 
Mkuu, siyo kweli kwamba nyongo ya Mamba ni Sumu.

Ni kutokana na imani zilizozagaa sehemu mbalimbali za Afrika ya mashariki na kusini kwamba nyongo ya mamba ni sumu ndipo wanasayansi wakaamua kufanya utafiti juu ya hiyo nyongo, kuna mtafiti mmoja alichukua hiyo nyongo na kuwapa panya na nyani kitaalamu na wala hawakufa isitoshe huko mto zambezi kuna wachina wao kazi yao ni kuchukua nyongo ikiwa ndani ya (gall bladders) na kuikausha kisha kuipeleka China ikatumike kama dawa ya nguvu za kiume.

Nyongo ni kimiminika kinachozalishwa na ini kisha kuhifadhiwa katika kifuko kiitwacho gall bladder, kazi ya nyongo ambayo ipo kwa binadamu pia, ni uyeyeshaji wa mafuta yanayoingia na chakula katika utumbo mwembamba.

Watafiti wa mambo ya tiba na uganga wa asili wanasema nyongo ya mamba siyo sumu bali waganga wa miti shamba huchukua hiyo nyongo na kuchanganya na miti-shamba wanayoijua ambayo ni sumu, hivyo utaona kwamba sumu siyo hiyo nyongo bali sumu ni hiyo miti-shamba.
Kama umenisoma vizuri hatutofautiani sana,soma tena,niliandika inachanganywa na miti ya kiasili kutengeneza sumu inayojulikana kama nyongo ya mamba.
 
Hivi kuna watu wanakula chatu na mamba na wako dunia hii hii jamani
Acha kupotosha na kuwatisha watu bhana toka nakua kwetu mwambao wa ziwa kuelekea Kagunga sijawahi kusikia mtu kauawa au kufa kwa kuwekewa sumu ya mamba kwenye kahawa.Nasikia sumu ya nyongo ya mamba ni hatari ila huo utaratibu ndio mgeni kwangu maana toka Kalalangabo,mtanga na ngelwe yake,Kazinga,mwamgongo,Bugamba,Zashe kagunga mpaka kuelekea huko nchi jirani sijasikia historia hii labda huko kusini.

Cha msingi ni kujihadhari kabla ya hatari hakuna sumu tamu na wala hakuna muuaji asiyekujua.

"Proudly, brought to u by Bachelor Sugu"
Hii sumu IPO sana mwambao Wa z Tanganyika kama hutaki kausha Mzee.
 
Hivi kuna watu wanakula chatu na mamba na wako dunia hii hii jamani
8573722348_12dacd9cb9_c.jpg
images (5).jpeg
images (4).jpeg
 
Hivi kuna watu wanakula chatu na mamba na wako dunia hii hii jamani


Ethiopia wanakula sana mamba kutoka mto Nile. Wachina nao wanakula sana Mamba na chatu na nyi
Kama umenisoma vizuri hatutofautiani sana,soma tena,niliandika inachanganywa na miti ya kiasili kutengeneza sumu inayojulikana kama nyongo ya mamba.



Angalia heading yako; "Nyongo ya mamba ni sumu kali inayoua kwa haraka zaidi".


Ni hiyo heading ndiyo naipinga, hapo kinachoonekana ni kwamba Sumu kuu ni hiyo nyongo licha ya kwamba ili ifanye kazi ni muhimu ichanganywe na kitu kingine.
 
Msiongee vitu hamjui nyongo ya mamba haichanganywi na kitu chochote wala haihitaji ushirikina ikisuuzwa kwenye glass na ukawekewa kitu ukanywa dakika 3 huchukui na huyo anayesema uchachu wake haupendi ni mpuuzi hiyo kitu haionjwi na mtu.
Miaka ya 70 alinyweshwa SSP mmoja walikuwa shahidi wa kesi ya mauaji mahali alitapika na kufia hapo matapishi yaliweka alama for more than 15 yrs.
Pia Mara nyingi akiuawawa mamba maliasili hufika na kumtoa nyongo navkuondoka Mayo.
Nikweli usemacho na ikitokea mamba amekufa na nyongo haionekani basi kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya haitalala aisee hiyo kitu ninoma huu Uzi Ni mzuri ila Kuna watu wanaleta utoto Kama huyo anayesema inauchachu
 
Mkuu, siyo kweli kwamba nyongo ya Mamba ni Sumu.

Ni kutokana na imani zilizozagaa sehemu mbalimbali za Afrika ya mashariki na kusini kwamba nyongo ya mamba ni sumu ndipo wanasayansi wakaamua kufanya utafiti juu ya hiyo nyongo, kuna mtafiti mmoja alichukua hiyo nyongo na kuwapa panya na nyani kitaalamu na wala hawakufa isitoshe huko mto zambezi kuna wachina wao kazi yao ni kuchukua nyongo ikiwa ndani ya (gall bladders) na kuikausha kisha kuipeleka China ikatumike kama dawa ya nguvu za kiume.

Nyongo ni kimiminika kinachozalishwa na ini kisha kuhifadhiwa katika kifuko kiitwacho gall bladder, kazi ya nyongo ambayo ipo kwa binadamu pia, ni uyeyeshaji wa mafuta yanayoingia na chakula katika utumbo mwembamba.

Watafiti wa mambo ya tiba na uganga wa asili wanasema nyongo ya mamba siyo sumu bali waganga wa miti shamba huchukua hiyo nyongo na kuchanganya na miti-shamba wanayoijua ambayo ni sumu, hivyo utaona kwamba sumu siyo hiyo nyongo bali sumu ni hiyo miti-shamba.
Muongo mkuu wa mwaka 2019
 
Mbona hizo picha A&B ni kende na dushelele?

Ini gani lenye sura ya mgawanyiko wa namna hiyo?

Halafu sasa kuna electric wire zimeunganishwa, imekaaje hii, ni model?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muongo mkuu wa mwaka 2019


Nyongo ya Mamba siyo sumu, ni uzushi na uongo uliozoeleka miongoni mwa jamii za kishirikina, sio kweli hata kidogo kwamba Nyongo iwe sumu.

Sasa wewe niambie kazi ya hiyo nyongo ya mamba mwilini mwa mamba ni ipi???

Nyongo ipo kwa binadamu, kwa kuku, mbuzi nk, kazi yake ni kumeng'enya mafuta ndani ya utumbo mwembamba, ndani ya utumbo mwemba ndimo usagaji wa chakula hufanyika.

Mamba hula vyakula vyenye protein na mafuta hivyo nyongo inamsaidia kuyeyusha mafuta yatokanayo na vyakula anavyokula.

Nyongo (bile) ni digestive juice.

Watu wengi wenye imani kwamba nyongo ya mamba ni sumu hao utakuta wamekulia katika imani za kishirikina na uchawi.

Kama nyongo hiyo ingekuwa ni sumu mbona yeye mwenyewe mamba si angekufa kabla ya kuua watu wengine au hata nyama yake isingekuwa inaliwa au hata kinyesi chake kingekuwa ni hatari na sumu kubwa.

Tumieni akili kuliko kupinga kijinga kwa kufuata mkumbo tu.

Angalia ndani ya Google uone watu waliofanya hizo tafiti.

Crocodile bile lethal poison??
 
Sasa mtu akikupa kinywaji halafu baada ya dakika 10 ukakata moto watu si wataanza kudeal na aliyekupa kinywaji?
Hii sumu si kwamba mshirikina peke yake anaitumia isipokua hata mtu baki anaweza kutumia kuhusu ufanyaji kazi inaenda kushambuliwa Ini,hapa katika ini hutofautiana na wingi wa sumu akitaka ufe taratibu anakuwekea kidgo maximum hhuwezi kuzidi miezi 9,unafariki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom