Nyota ya Michael Jackson imezimika haraka sana baada ya kifo chake tofauti na 2pac, Bob Marley

Nyota ya Michael Jackson imezimika haraka sana baada ya kifo chake tofauti na 2pac, Bob Marley

Mimi nakataa kuwa Nyota ya hao miamba imefutuka, kuanzia MJ ,Bob ,Lucky na hata 2pac wote bado wanakumbukwa ila ni kutokana na interest ya mtu na mtu kwenye ladha ya muziki
Ila kuhusu lucky dube dah huyu mshikaji mwamba sana lazima utasikia tu ngoma zake zikioigwa alafu bob na Tupac
Dear mama
One love & buffalo soldiers
Remember me,prisoner,slave,usizi
 
Mleta mada acha kuchukulia mazingira yako ya Temeke halafu uka conclude Dunia nzima. Nani anmkumbuka Tupac na Marley zaidi ya wavuta Bangi wenzao?
Angalia na wewe ulivyo jumuisha na kuhitimisha kishamba na kimihemko
 
Kama unaita hizo nyimbo ni za harakati basi hujui maana ya harakati. Kuna mamia ya nyimbo zenye meseji kama hizo nyimbo, walioimba wote ni wanaharakati? Mnachanganya inspiration na activism.
Pac alikuwa mwanaharati bro, Afeni alikuwa member wa black panther kwa hiyo pac alikuwa na spirit hiyo.

Pac aliwafyatulia risasi za makalio polisi baada ya kuwakuta waKim treat mtu mweusi vibaya.

Hiyo ni harakt ya kumpambambania mtu mweusi
 
Google haiwatambui wanetu[emoji16]
Screenshot_20230608-071245_Chrome.jpg
 
Michael Jackson mfalme wa muziki wa pop duniani, huyu mwamba kipindi cha uhai wake alisumbua sana duniani.

Baada ya kifo chake, huyu mwamba imekuwa rahisi sana kusahaulika, tofauti na mastaa kama 2pac na Bob Marley.

Nini kipo nyuma ya hawa mastaa wawili 2pac na Bob Marley ambao licha ya vifo vyao mkapa leo bado nyota zao zinang’aa?
Endeleeni kubishana msicho kijua, kwa taarifa yenu MJ ndio msanii anaeingiza pesa mingi kuliko msanii yeyote yule alie fariki sio movi sio music
Cheki hiyo graph ikionesha taarifa za wasanii na vipato vyao baada ya kufa miaka 5 iliyopita
 

Attachments

  • 976d4fec-top-earning-dead-celebrities-past-5-years-11_comp.jpg
    976d4fec-top-earning-dead-celebrities-past-5-years-11_comp.jpg
    988.1 KB · Views: 3
Kila anayejifunza kucheza lazima amtumie MJ kama case study[emoji16]

Amapiano hizo hazina kumuangalia MJ, watu wanatupa tupa mikono tu na kurembua macho
 
Pac alikuwa mwanaharati bro, Afeni alikuwa member wa black panther kwa hiyo pac alikuwa na spirit hiyo.

Pac aliwafyatulia risasi za makalio polisi baada ya kuwakuta waKim treat mtu mweusi vibaya.

Hiyo ni harakt ya kumpambambania mtu mweusi
Afeni kuwa member wa Black Panther hakumfanyi Pac kuwa mwanaharakati. Kuwapiga risasi polisi nao ni uanaharakati? Tupac alikuwa outspoken, baadhi ya nyimbo zake zilikuwa emotional na inspiring, lakini kumuita mwanaharakati is going too far.
 
Amapiano hizo hazina kumuangalia MJ, watu wanatupa tupa mikono tu na kurembua macho
Haohao wa Amapiano lazima at some point walimtumia MJ kwenye dance zao kisha wakajitafuta wakajipata kivyao
 
Haohao wa Amapiano lazima at some point walimtumia MJ kwenye dance zao kisha wakajitafuta wakajipata kivyao

Mbona hata haziendani stape za MJ na za amapiano
 
Endeleeni kubishana msicho kijua, kwa taarifa yenu MJ ndio msanii anaeingiza pesa mingi kuliko msanii yeyote yule alie fariki sio movi sio music
Cheki hiyo graph ikionesha taarifa za wasanii na vipato vyao baada ya kufa miaka 5 iliyopita
Sikupingi ila hiyo siyo ishu wengine wanachukua nyimbo kuto Kwa watu na wengine waliziifadhi kwahiyo hawana muda wakuingiaingia mtandaoni maana Hawa wasanii waliishafariki na hawatoi nyimbo mpya unadhani wanao ingia sana kuchukua nyimbo za mj watakuwa ni waafrika
 
Afeni kuwa member wa Black Panther hakumfanyi Pac kuwa mwanaharakati. Kuwapiga risasi polisi nao ni uanaharakati? Tupac alikuwa outspoken, baadhi ya nyimbo zake zilikuwa emotional na inspiring, lakini kumuita mwanaharakati is going too far.
At the age of 18, Tupac aliamua kuwa active member wa New Afrikan panthers.

Group of 7 to 10 young people aged 13-25 years.

Engaged in community control, worked against police abuse, educated the community about NAPO, and advocated for the release of political prisoners.

Pia kwenye kwenye movie 🎦 ya ALL EYES ON Me inayo elezea kuhusu violence, mass incarceration, illegal drugs, political brutality and racism.
 
At the age of 18, Tupac aliamua kuwa active member wa New Afrikan panthers.

Group of 7 to 10 young people aged 13-25 years.

Engaged in community control, worked against police abuse, educated the community about NAPO, and advocated for the release of political prisoners.

Pia kwenye kwenye movie 🎦 ya ALL EYES ON Me inayo elezea kuhusu violence, mass incarceration, illegal drugs, political brutality and racism.
Kuwa mwanaharakati sio lazima uingie Frontline huku umeshika mtutu, Bob alikuwa mwanaharati kwa kuhamasisha tu kupita nyimbo mbali mbali
 
Prophetic message writers wataishi milele.
Nani anajali raha kama life yake iko hatarini ?
Bob n Pac wana daraja Lao achana na Hawa wakunyonga nyonga magoti na kushirkisha mazombi kwenye mziki.
 
At the age of 18, Tupac aliamua kuwa active member wa New Afrikan panthers.

Group of 7 to 10 young people aged 13-25 years.

Engaged in community control, worked against police abuse, educated the community about NAPO, and advocated for the release of political prisoners.

Pia kwenye kwenye movie [emoji688] ya ALL EYES ON Me inayo elezea kuhusu violence, mass incarceration, illegal drugs, political brutality and racism.
Tupac hajawahi kuwa member wa Afrikan Panthers. Last week nimeangalia documentary mpya ya Tupac inaitwa Dear Mama:The Saga of Afeni and Tupac Shakur. Walizungumzia kuhusu Afrikan Panthers, Tupac hakuwa member.

Paragraph yako ya mwisho haieleweki.
 
Hahaha mambo ni motroo ipo hv nyimbo nzur inategemea na sitution gan unapitia, mfano nyimbo ya mond mapenzi bas siku ambayo umetendwa ndio utaiona mpya tena, au nyie mnaonaje?
 
Tupac hajawahi kuwa member wa New Afrikan Panther? 👀

Unakwama wapi ankoli fuatila maisha yake walivyo kuwa wakiishi Baltimore mwaka 1986.

Pia alivyoanza masomo yake katika high school ya Baltimore. Utajua mengi

Kuhusu documentary, zilishatoka documentaries kibao kabla ya "DEAR MAMA" The saga of Tupac and Afeni Shakur.
 
Back
Top Bottom