Hata muda wa kuwapikia vyakula vitamu tunakosa.umenishinda tabia kabisa hahahaha...mpaka mnatuona ng'ombe hakyanani
Jikite kwenye mada
Hili jibu ni kama la layman wa Mto Wa mbu huko
Huo ni msemo tu kila kitu mpaka pumzi au.Sasa msiwe mnasema "ninampa kila kitu lakini kachepuka".
Huyo ni msomiHivi wewe Elimu ya sekondari ulisoma kipindi cha madaraja ya division au GPA?
maana huelewi kabisa mada iliyopo mezani
hakyanani hahaha..Hata muda wa kuwapikia vyakula vitamu tunakosa.
Mle vyakula vitamu kwa kazi gani? Ila mkitugegeda vizuri, hata mapishi yatakuwa matamu.
Tofauti na hapo mtakula michemsho mpaka mchanganyikiwe.
Tumefanyaje kwani ??
umesoma kimyakimya huu uzi bila kuweka mchango wako hapa 😀Tumefanyaje kwani ??
Wow...shemeji yako? Kupitia kwa wapi?anazingua Khantwe japo najua atakuwa shemeji yangu mda si mrefu 😀
Au mimi ndo sijakuelewa 😳Mimi zamani niliapa sintoshiriki tendo na mtu nikiwa kwenye ndoa ila wanaume wasasa wanakulazimisha ufanye hivyo .
Seriously .
Nandio chanzo cha maafa ndani ya familia sio kitu kingine.
utajua tu siku ikifika... wewe subiri tu
hebu tusiwasemee, tusubiri watoe sababu zao.Iko namna hii,mwanamke akiamua kuchepuka anachepuka tu,hata umpe majumba,magari,na umgonge bao moja dakika 70.
Kama akiamua kutulia atatulia,Kama akiamua kukiwa out hata ufanyeje ataliwa tu.
Nani alikwambia mwanamke anaridhika? Aliemuumba mwenyewe bado anamkosoa itakua sisi wanaume,wamepewa nywele wanaweka wigi,
Kucha wanaweka za bandia,
Nyusi wanaweka za bandia,wewe utaweza wapi kumfanya asichepuke.
Ndo maana myself,hua sihangaiki nao,kwa kuwa nawafahamu hawaridhiki,najua hawana utulivu.
Aah wapi, muulize mdogo wako vizuri akuonyeshe shemeji yako asizugie kwanguutajua tu siku ikifika... wewe subiri tu
ila usjie kumuita mdogo wangu ng'ombe tu
Khantwe unazingua sasaAah wapi, muulize mdogo wako vizuri akuonyeshe shemeji yako asizugie kwangu
Sent using Jamii Forums mobile app