Hili nalo kumbe somo nimekupata lakini kwa nn swala la nyumba ndogo tena linagusa hisia sana kwa wanandoa kama ndoa si kitandani tu na maswala mengineyo lakini hili la nyumba ndogo linahusiana na kitanda.
si kweli, nyumba ndogo huanza na tamaa zenu, then mnaanzaq kutafuta justifications.mara nyingi quarrels huanza....NYUMBA NDOGO TO FOLLOW
tamaa....
mara nyingi quarrels huanza....NYUMBA NDOGO TO FOLLOW
Tamaa?au kutoridhishwa na mke?
Ok kumbe hashibi ndo maana anaamua kuonja.
......PIA ndoa zina so many quarrels!quarrels quarrels quarrels!wanawake bana mnapenda sana quarrels!kwanin lakini?
that is why smtmz watu wanaamua kuwa na nyumba ndogo
hell to the BIG NO!
kwa mujibu wa dataaz!mwanamke ukimweka ndani anajisahau sana!tamaa za kutaka kuonja onja kila kitu, ni tabia mbaya sana hii.
bac ucshabikie nyumba ndogo, utajiwekea vicvyowekeka kichwani.
ukishadhani mkeo hakuridhihi, basi jua hata yeye humfikishi, then THINK BIG!Tamaa?au kutoridhishwa na mke?
understood!nipe source ya info zako!TOO THEORETICAL!umekula SENKSI ANYWAYSKama wanawake wanapenda sana quarrels ndio maana mnaenda nyumba ndogo, hizo nyumba ndogo siyo wanawake?
Kama ni wanawake, je kuna kozi maalum ya kusomea kuwa nyumba ndogo - in other words is NN a profession, kama ndio basi mjue mnaibiwa tu.Its a matter of time jamani.
Nitamalizia hivi, binadamu kwa hulka aliyoumbwa nayo, anayo tabia ya kupenda mabadiliko. Na hii ni kwa wote wanawake na wanaume.Tofauti iko kwenye mifumo ya maisha,mila, desturi na imani za kidini zenye kutuwekea mipaka.Mipaka hii inafanya watu wawe na kiasi, wajizuie kufanya mambo fulani kwa kuogopa Mungu, jamii, serikali n.k.
Hii mipaka isingekuwepo, basi si ajabu hakuna mwanaume wala mwanamke angebakia na ndoa yake kwa vile kungekuwepo na alternatives za kukimbia kero na kutafuta furaha na faraja.
Inashangaza kuona ati akina kaka walio wengi wanadhani wao wanayo haki kukiuka mipaka lakini wanaamini kabisa kuwa wanawake wao hawapaswi kukiuka. Wanasahau hakuna binadamu mwenye roho y achuma na mwingine ya sufi. Kumbuka usitende usichopenda kutendewa na hii ndio golden rule.Ukijua kuwa kitu fulani kinakuumiza wewe ujue ukimfanyia mwenzio naye utamuumiza. Je ni sawa?
una msuta?
inafika mahala mwanamke anavua ch...i KWA KUTIMIZA WAJIBU TU!hakuna anachokifanya zaidi ya kutimiza wajibu!kidume akishaona huo upuuzi,basi anaanza kushinda baa,mara mabaa medi mara nyumba ndogo!ukishadhani mkeo hakuridhihi, basi jua hata yeye humfikishi, then THINK BIG!
kwa mujibu wa dataaz!mwanamke ukimweka ndani anajisahau sana!
mimi nina miaka mitano ya serious relationship na my gal!lakini believe me,I STILL CAN'T EXPLAIN WHO SHE IS!women can pretend up to 100 yrs