mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You can never protect Arabs from slave trade period. Hata huyo Bwana mwenye jengo nae alikuwa Mwarabu. Acha theory zako potofu. Wajerumani walikuja hapa na kufuta biashara ya watumwa ambayo ilishamiri wakati wa utawala wa Waarabu. Hawasafishiki kirahisi hivyo.Sidhani ameuza. Amenunua maana alihitaji watumwa ilhali biashara yake ilikuwa hasa kuendesha shamba lake lililolimwa na watumwa. Eneo lote la mdomo wa mto Pangano lilikuwa na eneo la kulima miwa na kuzalisha sukari kwa kuuza nje ya nchi.
Waliouza watumwa walikuwa machifu wa makabila ya ndani.
Simulizi hilo eti Waarabu wabaya walikamata Waafrika maskini ni kitoto kidogo, sivyo? Maana kimsingi si kweli (au angalau nusu kweli tu)
Bila shaka Waarabu kuwa tayari kununua watumwa wengi ilihamasisha watawala wengi wa Kiafrika kuongeza idadi ya wafungwa. Ama kwa njia ya vita dhidi ya majirani ili wapate wafungwa, au kwa kutumia malaka zao za kuhukumu watu wao utumwani kwa makoso yoyote.
Ila tu utumwa katika Afrika haukuanza kwa sababu ya Waarabu kuwa wateja.
Promotion ya site kama hizi ni ndogo sanaNyumba ya Bushiri Ali Harthi, iliyojengwa kwa Matumbawe na udongo, bado ina nguvu kama ilivyo, inayopatikana Pangani, mkoani Tanga. Nyumba ina basement, ambapo mazungumzo ya watumwa yamefichwa.
Bushiri alipigana vita na Wajerumani (Bushiri Revolt 1888 - 1889) na kushindwa sana, kukamatwa na kuhukumiwa hukumu ya kifo, kunyongwa tarehe 15 Dec 1889 huko Pangani.
_________
Bushiri Ali Harthi's House, built from Coral and clay, still strong as it is, found in Pangani, Tanga region. The house has basement, where a chattel of slaves hidden.
Bushiri fought a war with Germans (Bushiri Revolt 1888 - 1889) and desperately defeated, apprehended and sentenced to a death sentence, hanged on 15th Dec 1889 in Pangani.
Unaosha mkaa kwa sabuni?Sidhani ameuza. Amenunua maana alihitaji watumwa ilhali biashara yake ilikuwa hasa kuendesha shamba lake lililolimwa na watumwa. Eneo lote la mdomo wa mto Pangano lilikuwa na eneo la kulima miwa na kuzalisha sukari kwa kuuza nje ya nchi.
Waliouza watumwa walikuwa machifu wa makabila ya ndani.
Simulizi hilo eti Waarabu wabaya walikamata Waafrika maskini ni kitoto kidogo, sivyo? Maana kimsingi si kweli (au angalau nusu kweli tu)
Bila shaka Waarabu kuwa tayari kununua watumwa wengi ilihamasisha watawala wengi wa Kiafrika kuongeza idadi ya wafungwa. Ama kwa njia ya vita dhidi ya majirani ili wapate wafungwa, au kwa kutumia malaka zao za kuhukumu watu wao utumwani kwa makoso yoyote.
Ila tu utumwa katika Afrika haukuanza kwa sababu ya Waarabu kuwa wateja.
Hakuna cha pekee cha kumkumbuka zaidi ya ukatili wakeSijui kama Mtanzania tunajivunia nini hapo. Huyo bwana alikuwa anafanya biashara ya kuwauza babu zetu.
Kaka soma nilichoandika. Kweli kabisa walikuwepo Waarabu waliofanya biasharaya watumwa. Walikuwa muhimu sana kwa biashara hiyo. Ila katika kila biashara kuna angalau pande mbili. Anayenunua na anayeuza, sivyo?DO NOT DISTORT THE East African HISTORY! THE ARABS WERE SLAVE TRADERS.
Walifanya....acha kupotosha historiaHivi "hatukukubaliana" kwamba Waarabu hawajawahi kufanya biashara ya watumwa?
Watakuwa wameniuzia taarifa batili.Walifanya....acha kupotosha historia
Sky,
Nimefika na kuingia ndani ya hiyo nyumba.
Mzee mheshimiwa,Ndugu zanguni,
Ikiwa mnataka historia ya utumwa ni vizuri sana mkasogea mbele na kusoma The Across Atlantic Slave Trade na Belgian Congo Slave Trade.
Mwana...Mzee mheshimiwa,
kama ulitaka kudokeza kwamba katika kilio kuhusu biashara ya Waarabu (Waislamu) tusisahau biashara kubwa zaidi ya Wazungu (Wakristo), hii ni sawa ila biashara ya Kongo si mfano mzuri sana kwa kusudi lako.
Maana hapa tunamkuta Hamad bin Muhammad bin Juma bin Rajab el Murjebi (amejulikana zaidi kwa jina la Tippu Tip) kuwa sio mfanyabiashara ya watumwa pekee, lakini pia mvindaji wa watumwa katika Kongo (ambayo haikuwa kawaida kwa Waarabu), na pia yeye yule kama gavana wa mfalme wa Ubelgiji katika mashariki ya Kongo.
Nilifika hapo DadaNyumba ya Bushiri Ali Harthi, iliyojengwa kwa Matumbawe na udongo, bado ina nguvu kama ilivyo, inayopatikana Pangani, mkoani Tanga. Nyumba ina basement, ambapo mazungumzo ya watumwa yamefichwa.
Bushiri alipigana vita na Wajerumani (Bushiri Revolt 1888 - 1889) na kushindwa sana, kukamatwa na kuhukumiwa hukumu ya kifo, kunyongwa tarehe 15 Dec 1889 huko Pangani.
_________
Bushiri Ali Harthi's House, built from Coral and clay, still strong as it is, found in Pangani, Tanga region. The house has basement, where a chattel of slaves hidden.
Bushiri fought a war with Germans (Bushiri Revolt 1888 - 1889) and desperately defeated, apprehended and sentenced to a death sentence, hanged on 15th Dec 1889 in Pangani.
Acha chuki za kipumbavu hizo.Enzi hizo wakazi wa chato wakiishi mapangoni
Dah.....upside your head 🎵🎶🎵🎶🎼🤣🤣🤣🤣Oops
Huo ndio ukweliAcha chuki za kipumbavu hizo.