Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafikiri wengi walikuwa wapo kwenye migration huko Cameroon!!!Enzi hizo wakazi wa chato wakiishi mapangoni
Mutalipa kisasi kwa wangapi wakati hata machifu ambao baadhi ni mababu zenu walishiriki kwa kiwango kikubwa tu katika kuuza wenzao?Mungu katupa subra na upendo
Imagine kama tungeamua kulipa kisasi
Yaani jamaa walijua kuwatesa na kuwadhalilisha binadamu wenzao
Haitoshi na waliowachukua wakawaharibia mila na desturi zao
Inauma sana
Kwani huyu ndio tipp tippuKumbukumbu yake ni mbaya sana alikuwa anawauza babu zetu kwa waarabu. Hatuhitaji kumkumbuka kabisa.
Afadhali umeeleza vizuri maana hapa lawama zinakwenda upande mmoja tu. Sidhani kama ni sahihi. Lawama ziende kwa washiriki wote, watafutaji watumwa (machifu wa vijiji), wanunuzi na watumiaji.Sidhani ameuza. Amenunua maana alihitaji watumwa ilhali biashara yake ilikuwa hasa kuendesha shamba lake lililolimwa na watumwa. Eneo lote la mdomo wa mto Pangano lilikuwa na eneo la kulima miwa na kuzalisha sukari kwa kuuza nje ya nchi.
Waliouza watumwa walikuwa machifu wa makabila ya ndani.
Simulizi hilo eti Waarabu wabaya walikamata Waafrika maskini ni kitoto kidogo, sivyo? Maana kimsingi si kweli (au angalau nusu kweli tu)
Bila shaka Waarabu kuwa tayari kununua watumwa wengi ilihamasisha watawala wengi wa Kiafrika kuongeza idadi ya wafungwa. Ama kwa njia ya vita dhidi ya majirani ili wapate wafungwa, au kwa kutumia malaka zao za kuhukumu watu wao utumwani kwa makoso yoyote.
Ila tu utumwa katika Afrika haukuanza kwa sababu ya Waarabu kuwa wateja.
Waarabu wote walikua wanafanya biashara ya watumwa kama si kuuza walikua wananunua na wengine walikua wanakusanya watumwa. Kwahiyo hamna mwarabu hapa tanzania ambaye babu yake hakuhusika kwenye biashara ya utumwaKaka soma nilichoandika. Kweli kabisa walikuwepo Waarabu waliofanya biasharaya watumwa. Walikuwa muhimu sana kwa biashara hiyo. Ila katika kila biashara kuna angalau pande mbili. Anayenunua na anayeuza, sivyo?
Upande wa wauzaji Waafrika walikuwa wengi.
Kwenye miaka ya nusu ya pili ya karne ya 19 kuna pia taarifa za Waarabu waliokamata wafungwa (Kongo, Malawi), lakini ukitazama miaka yote hii haikuwa kawaida. Biashara hiyo inajulikana kuwepo tangu karne nyingi.
Idadi kubwa ya wafungwa waliuzwa na watawala wa bara, walikuwa ama wafungwa wa vita au watu waliohukumiwa kwa makosa mbalimbali.
Ila wakati faida ya kuuza watumwa iliongezeka pamoja na njaa ya bidhaa za nje, watawala walitumia sababu yoyote kumhukumu mtu awe mtumwa.
Ukiwa na habari tofauti, lete!
Hiyo hawatoisoma maana inahusisha wazunguNdugu zanguni,
Ikiwa mnataka historia ya utumwa ni vizuri sana mkasogea mbele na kusoma The Across Atlantic Slave Trade na Belgian Congo Slave Trade.
Wazungu ndio walifanya biashara ya watumwa wala hatukatai ila hapa kwetu tanzania waarabu ndip walikua vinara wa biashara ya utumwa na wareno mzee acha kutetea warabau kwasababu ya diniNdugu zanguni,
Ikiwa mnataka historia ya utumwa ni vizuri sana mkasogea mbele na kusoma The Across Atlantic Slave Trade na Belgian Congo Slave Trade.
Sky,
Nimefika na kuingia ndani ya hiyo nyumba.
Mzee huyu ni mdini .. yupo kwenye denial kuwa waarabu(waislamu) kuhusika kwenye biashara ya utumwaMzee mheshimiwa,
kama ulitaka kudokeza kwamba katika kilio kuhusu biashara ya Waarabu (Waislamu) tusisahau biashara kubwa zaidi ya Wazungu (Wakristo), hii ni sawa ila biashara ya Kongo si mfano mzuri sana kwa kusudi lako.
Maana hapa tunamkuta Hamad bin Muhammad bin Juma bin Rajab el Murjebi (amejulikana zaidi kwa jina la Tippu Tip) kuwa sio mfanyabiashara ya watumwa pekee, lakini pia mvindaji wa watumwa katika Kongo (ambayo haikuwa kawaida kwa Waarabu), na pia yeye yule kama gavana wa mfalme wa Ubelgiji katika mashariki ya Kongo.
Harith ni jina la 'me, Al Harthi ni moja kati ya makabila ya waarabu.Madam Sky,
Hivi hawa Kina Bakari na Juma Harith (Harthi) Mwapachu sio masalia ya huyu Al Bashir kweli ? Please if you can dive below headlines and enlighten us !
Al Bashir ibn Salim al-Harthi also known by the name Abushiri was a wealthy merchant and plantation owner of Omani Arab parentage who is known for the Abushiri Revolt against the German East Africa Company in present-day Tanzania.Wikipedia
View attachment 1997835
Nyumba ya Bushiri Ali Harthi, iliyojengwa kwa Matumbawe na udongo, bado ina nguvu kama ilivyo, inayopatikana Pangani, mkoani Tanga. Nyumba ina basement, ambapo mazungumzo ya watumwa yamefichwa.
Bushiri alipigana vita na Wajerumani (Bushiri Revolt 1888 - 1889) na kushindwa sana, kukamatwa na kuhukumiwa hukumu ya kifo, kunyongwa tarehe 15 Dec 1889 huko Pangani.
_________
Bushiri Ali Harthi's House, built from Coral and clay, still strong as it is, found in Pangani, Tanga region. The house has basement, where a chattel of slaves hidden.
Bushiri fought a war with Germans (Bushiri Revolt 1888 - 1889) and desperately defeated, apprehended and sentenced to a death sentence, hanged on 15th Dec 1889 in Pangani.
Biashara ya utumwa iliendelezwa na Ottomans, soko kubwa la awali lilikua Misri mpaka Arabuni. Wazungu walianza kununu watumwa baada ya kupata makoloni na kuanza kulima kuanzia Brazil, Mexico, Jamaica mpaka North America.Wazungu mnawashobokea but hawakuwa watu wazuri,,,,
Historia haibadiliki ila inatufunza tusirudie makosa. Ni kweli kabisa.
Biashara ya utumwa iliendelezwa na Ottomans, soko kubwa la awali lilikua Misri mpaka Arabuni. Wazungu walianza kununu watumwa baada ya kupata makoloni na kuanza kulima kuanzia Brazil, Mexico, Jamaica mpaka North America.
Wazungu waligawana Africa (makoloni) mwaka gani? Utawala wa ottoman ulianza kwaka gani?Biashara ya utumwa iliendelezwa na Ottomans, soko kubwa la awali lilikua Misri mpaka Arabuni. Wazungu walianza kununu watumwa baada ya kupata makoloni na kuanza kulima kuanzia Brazil, Mexico, Jamaica mpaka North America.
Wazungu waligawana Africa (makoloni) mwaka gani? Utawala wa ottoman ulianza kwaka gani?
Mzee Mohamed Said naomba historia ya bahati camp morogoro maana iko milimani mnoo.Sky,
Nimefika na kuingia ndani ya hiyo nyumba.
Nyumba ya Bushiri Ali Harthi, iliyojengwa kwa Matumbawe na udongo, bado ina nguvu kama ilivyo, inayopatikana Pangani, mkoani Tanga. Nyumba ina basement, ambapo mazungumzo ya watumwa yamefichwa.
Bushiri alipigana vita na Wajerumani (Bushiri Revolt 1888 - 1889) na kushindwa sana, kukamatwa na kuhukumiwa hukumu ya kifo, kunyongwa tarehe 15 Dec 1889 huko Pangani.
_________
Bushiri Ali Harthi's House, built from Coral and clay, still strong as it is, found in Pangani, Tanga region. The house has basement, where a chattel of slaves hidden.
Bushiri fought a war with Germans (Bushiri Revolt 1888 - 1889) and desperately defeated, apprehended and sentenced to a death sentence, hanged on 15th Dec 1889 in Pangani.