Nyumba iliyojengwa na Bushiri Ali Harthi bado iko Pangani mkoa wa Tanga

Madam Sky,

Hivi hawa Kina Bakari na Juma Harith (Harthi) Mwapachu sio masalia ya huyu Al Bashir kweli ? Please if you can dive below headlines and enlighten us !
Hapana Harthi ni jina tu watu wengi wanalitumia.
 
Mungu katupa subra na upendo
Imagine kama tungeamua kulipa kisasi
Yaani jamaa walijua kuwatesa na kuwadhalilisha binadamu wenzao

Haitoshi na waliowachukua wakawaharibia mila na desturi zao

Inauma sana
Mutalipa kisasi kwa wangapi wakati hata machifu ambao baadhi ni mababu zenu walishiriki kwa kiwango kikubwa tu katika kuuza wenzao?

Tena wakiwauza kwa vipande vya vitambaa vya kaniki enzi zile.
 
Afadhali umeeleza vizuri maana hapa lawama zinakwenda upande mmoja tu. Sidhani kama ni sahihi. Lawama ziende kwa washiriki wote, watafutaji watumwa (machifu wa vijiji), wanunuzi na watumiaji.
 
Waarabu wote walikua wanafanya biashara ya watumwa kama si kuuza walikua wananunua na wengine walikua wanakusanya watumwa. Kwahiyo hamna mwarabu hapa tanzania ambaye babu yake hakuhusika kwenye biashara ya utumwa
 
Ndugu zanguni,
Ikiwa mnataka historia ya utumwa ni vizuri sana mkasogea mbele na kusoma The Across Atlantic Slave Trade na Belgian Congo Slave Trade.
Wazungu ndio walifanya biashara ya watumwa wala hatukatai ila hapa kwetu tanzania waarabu ndip walikua vinara wa biashara ya utumwa na wareno mzee acha kutetea warabau kwasababu ya dini
 
Mzee huyu ni mdini .. yupo kwenye denial kuwa waarabu(waislamu) kuhusika kwenye biashara ya utumwa
 
Madam Sky,

Hivi hawa Kina Bakari na Juma Harith (Harthi) Mwapachu sio masalia ya huyu Al Bashir kweli ? Please if you can dive below headlines and enlighten us !
Harith ni jina la 'me, Al Harthi ni moja kati ya makabila ya waarabu.
 

Allah amrehemu ndugu yetu sheikh Al bashir na amuingize katika pepo ya firdaus,,,Aamiin.
 

Wazungu mnawashobokea but hawakuwa watu wazuri,,,,
 
Wazungu mnawashobokea but hawakuwa watu wazuri,,,,
Biashara ya utumwa iliendelezwa na Ottomans, soko kubwa la awali lilikua Misri mpaka Arabuni. Wazungu walianza kununu watumwa baada ya kupata makoloni na kuanza kulima kuanzia Brazil, Mexico, Jamaica mpaka North America.
 
Historia haibadiliki ila inatufunza tusirudie makosa. Ni kweli kabisa.

Hivi kuna historia haibadiliki inapotakiwa kubadilishwa!!! Wazungu walikuwa washenzi sana, wakiamuwa kuibadilisha historia ili waonekane walikuwa wema sana na kuwachafuwa waarabu watashindwaje!!!!! Endeleeni kufata vihistoria vya mzungu ndiyo kawaida yenu kuamini vya mzungu na kupuuza vya wengine 😁


Mimi huwa nawachana live tuu
 
Biashara ya utumwa iliendelezwa na Ottomans, soko kubwa la awali lilikua Misri mpaka Arabuni. Wazungu walianza kununu watumwa baada ya kupata makoloni na kuanza kulima kuanzia Brazil, Mexico, Jamaica mpaka North America.

Lazima muwasakame na kuwazushia waisilamu, tangu lini muzungu akawa mzuri kwa waturuki, waarabu na waisilamu kwa ujumla!!! Huyo mzungu atakuwa mpumbavu kiac gani aandike ama a2nge historia ya uovu wao icpokuwa upotoshaji dhidi ya waarabu na waislamu kwa ujumla ili tuu waonekane wabaya!!

Daima waga siamini vijihistoria vya muzungu, kuna sheik hapo darisalama amefafanuwa vizuli sana kuhusu utumwa uriofanywa na wazungu, nikipata clipu yake nitakutagi bibie
 
Biashara ya utumwa iliendelezwa na Ottomans, soko kubwa la awali lilikua Misri mpaka Arabuni. Wazungu walianza kununu watumwa baada ya kupata makoloni na kuanza kulima kuanzia Brazil, Mexico, Jamaica mpaka North America.
Wazungu waligawana Africa (makoloni) mwaka gani? Utawala wa ottoman ulianza kwaka gani?
 
Wazungu waligawana Africa (makoloni) mwaka gani? Utawala wa ottoman ulianza kwaka gani?

Origins of the Ottoman Empire​

Osman I, a leader of the Turkish tribes in Anatolia, founded the Ottoman Empire around 1299. The term “Ottoman” is derived from Osman’s name, which was “Uthman” in Arabic.

The Ottoman Turks set up a formal government and expanded their territory under the leadership of Osman I, Orhan, Murad I and Bayezid I.

The Ottoman Empire was one of the mightiest and longest-lasting dynasties in world history. This Islamic-run superpower ruled large areas of the Middle East, Eastern Europe and North Africa for more than 600 years. The chief leader, known as the Sultan, was given absolute religious and political authority over his people. While Western Europeans generally viewed them as a threat, many historians regard the Ottoman Empire as a source of great regional stability and security, as well as important achievements in the arts, science, religion and culture.
 

Nilivuoona Title Nikajua Dr Bashiru Ali ameporomosha Mansion Tanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…