Libertatem Pugnator
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 1,005
- 1,377
Unadhani waarabu ni ndugu zako?Hivi kuna historia haibadiliki inapotakiwa kubadilishwa!!! Wazungu walikuwa washenzi sana, wakiamuwa kuibadilisha historia ili waonekane walikuwa wema sana na kuwachafuwa waarabu watashindwaje!!!!! Endeleeni kufata vihistoria vya mzungu ndiyo kawaida yenu kuamini vya mzungu na kupuuza vya wengine 😁
Mimi huwa nawachana live tuu
Unadhani waarabu ni ndugu zako?
Liber...Vipi kuhusu Slave Trade Across the Indian Ocean?
Mzee wetu siku utakapoamua kuwa objective kwenye thinking yako wengi sana tutakuamini.
Ila hii religious inclination yako inakufanya uonekane kuwa very irrelevant.
Why bother yourself to defend Arabs. Kweli kabisa hakuna kitu kibaya kwenye maisha kuwa mentally enslaved
Mzee Mohamed Said tatizo lako kubwa ni kuhangaika kuwanasua Waarabu kwenye jinai ya uhalifu dhidi ya binadamu kwa biashara yao haramu ya utumwa waliofanya. Wazungu wameifanya hiyo jinai pia and it's well documented kila mahala.Liber...
Nilichosema ni kuwa ikiwa tutahangaishwa na utumwa wa Zanzibar na tukaacha kusoma historia nyingine ya utumwa tutakuwa hatuna elimu ya kutosha kufanya mjadala.
Bahati mbaya unanishambulia.
Kaka Mwarabu alipata wapi wafungwa ili kuwapeleka Unguja? Nani alimwuzia?Nitajie hao waafrika huku tanzania walikua waarabu au machotara wa kiarabu. Huku sisi hatujawahi uzana ni baada ya ukoloni ndio tumekuwa mazipe zipe tunauza nchi yetu
Naona upande mwigine wa Afrika (Afrika Magharibi) majadiliano ni tofauti kuliko hapa. Labda vitabu vyao vya shule ni bora?Kaka Mwarabu alipata wapi wafungwa ili kuwapeleka Unguja? Nani alimwuzia?
Ukifika Bagamyo, ingia makumbusho pale kanisa katoliki. Utaona habari za watu wengi waliokuwa watumwa . Mara kwa mara utaona walizaliwa sehemu za Kilimajaro, Usambara, Lindi ,,,,,, Mtu aliweza kufungwa na kuuzwa baada ya kushtakiwa katika jamii yake eti ni mwizi, mzinzi, mchawi . . . . Kuna watoto waliouzwa kwa sababu wazazi walikuwa na madeni .. .
Unapata viongozi kama Mirambo waliouza wafungwa wa vita ili wapate hela kwa ajili ya silaha . . . Hao wote waliolisha soko la watumwa. Kwa Mirambo (wengine wanapenda kukumbuka kama "shujaa") msingi wa jeshi alilojenga ulikuwa faida alizowahi kupata kama mwendesha misafara ya meno ya ndovu pamoja na watumwa baina Ziwa Tanganyika na pwani. Alikuwa na akili ili asiache biashara hiyo kwa Waarabu.
Je unahitaji mifano zaidi?
kwanini wao wasimuuze yeye alikua na nini?Kumbukumbu yake ni mbaya sana alikuwa anawauza babu zetu kwa waarabu. Hatuhitaji kumkumbuka kabisa.
unalipa kisasi kwa nani maana wote wameshakufaMungu katupa subra na upendo
Imagine kama tungeamua kulipa kisasi
Yaani jamaa walijua kuwatesa na kuwadhalilisha binadamu wenzao
Haitoshi na waliowachukua wakawaharibia mila na desturi zao
Inauma sana
Yaani tumuenzi mtu aliyekuwa akifanya biashara ya watumwa? Ni sawa Sky Eclat anavyosema kwamba historia haina budi kusemwa kama ilivyotokea. Lakini si sahihi kwako Nditolo kudai tuienzi historia mbaya ya Bushiri kwa kuiipa jina lake shule, barabara au hospitali.Huyu kiongozi hakuna hata kumbukumbu ya jina lake Kama shule, barabara, hospitali au chochote tu
unalipa kisasi kwa nani maana wote wameshakufa
Kumbe, Dar es Salaam uko Mtaa wa Mirambo. Bushiri alimilki watumwa, sijui sasa kama aliendesha biashara ya watumwa, lakini Mirambo alifanya biashara ya watumwa hakika. Kuwakamata, kuwanunua, kuwauza. Mtaa anao, sijui mingapi?Yaani tumuenzi mtu aliyekuwa akifanya biashara ya watumwa? Ni sawa Sky Eclat anavyosema kwamba historia haina budi kusemwa kama ilivyotokea. Lakini si sahihi kwako Nditolo kudai tuienzi historia mbaya ya Bushiri kwa kuiipa jina lake shule, barabara au hospitali.
Slave trade ilikuwa mbaya sana na hatari kabisa. Upande huu wa bara la Africa(east) slaves wengi waliuzwa Arab countries. Na waarabu wakawahasi babu zetu iliwasizaliena ndio maana hata sasa huwezi kukuta watu weusi nchi za kiarabu huu ulikuwa unyama usiofikirika. Unlike Arabs upande ule wa magharibi watumwa wengi walipelekwa America na carribean waafrica wapo nchi hizo hadi leo wanaishi. Kwenye modern slavery ndio usiseme kwa wafrica wanaoenda kufanya kazi za ndani in Arab countries ndio wanaoteswa zaidi duniani ikiwamo kunyufolewa viungo vya mwili kama figo, moyo na inni very sad.You can never protect Arabs from slave trade period. Hata huyo Bwana mwenye jengo nae alikuwa Mwarabu. Acha theory zako potofu. Wajerumani walikuja hapa na kufuta biashara ya watumwa ambayo ilishamiri wakati wa utawala wa Waarabu. Hawasafishiki kirahisi hivyo.
Slave trade ilikuwa mbaya sana na hatari kabisa. Upande huu wa bara la Africa(east) slaves wengi waliuzwa Arab countries. Na waarabu wakawahasi babu zetu iliwasizaliena ndio maana hata sasa huwezi kukuta watu weusi nchi za kiarabu huu ulikuwa unyama usiofikirika. Unlike Arabs upande ule wa magharibi watumwa wengi walipelekwa America na carribean waafrica wapo nchi hizo hadi leo wanaishi. Kwenye modern slavery ndio usiseme kwa wafrica wanaoenda kufanya kazi za ndani in Arab countries ndio wanaoteswa zaidi duniani ikiwamo kunyufolewa viungo vya mwili kama figo, moyo na inni very sad.
Saudia wko weusi wengi. OnaSlave trade ilikuwa mbaya sana na hatari kabisa. Upande huu wa bara la Africa(east) slaves wengi waliuzwa Arab countries. Na waarabu wakawahasi babu zetu iliwasizaliena ndio maana hata sasa huwezi kukuta watu weusi nchi za kiarabu huu ulikuwa unyama usiofikirika. Unlike Arabs upande ule wa magharibi watumwa wengi walipelekwa America na carribean waafrica wapo nchi hizo hadi leo wanaishi. Kwenye modern slavery ndio usiseme kwa wafrica wanaoenda kufanya kazi za ndani in Arab countries ndio wanaoteswa zaidi duniani ikiwamo kunyufolewa viungo vya mwili kama figo, moyo na inni very sad.
Ni hatari sana hawa watu. Tuwakumbuke kwa kutuletea Dini nzuri ya Kiislam.Pitia YouTube kucheki jinsi Slaves wanavyoteswa hapo Nchi ya Libya
Shida ya hapa kwetu tunakariri yale tuliyoambiwa tu, na kwa bahati mbaya tuliambiwa nusu tu ya hadithi yenyewe.Naona upande mwigine wa Afrika (Afrika Magharibi) majadiliano ni tofauti kuliko hapa. Labda vitabu vyao vya shule ni bora?
Ona African President apologizes for Africans selling Black People to Whites .
Soma: BENIN OFFICIALS APOLOGIZE FOR ROLE IN U.S. SLAVE TRADE
Soma: The Civil Rights Congress of Nigeria has written to tribal chiefs saying: "We cannot continue to blame the white men, as Africans, particularly the traditional rulers, are not blameless."
(je, ni kweli pia kuhusu Waarabu na Afrika Mashariki? Maana ukinyosha kidole dhidi yao, vidole vingapi vinaelekea nyuma kwa historia ya Afrika?)
He! wacha uongo wa vijiweni wewe!Slave trade ilikuwa mbaya sana na hatari kabisa. Upande huu wa bara la Africa(east) slaves wengi waliuzwa Arab countries. Na waarabu wakawahasi babu zetu iliwasizaliena ndio maana hata sasa huwezi kukuta watu weusi nchi za kiarabu huu ulikuwa unyama usiofikirika. Unlike Arabs upande ule wa magharibi watumwa wengi walipelekwa America na carribean waafrica wapo nchi hizo hadi leo wanaishi. Kwenye modern slavery ndio usiseme kwa wafrica wanaoenda kufanya kazi za ndani in Arab countries ndio wanaoteswa zaidi duniani ikiwamo kunyufolewa viungo vya mwili kama figo, moyo na inni very sad.
Niweke data na picha? Ila Arabs ndio waliotuletea Dini yangu ya Kiislam hilo ndio mengine mhuu.He! wacha uongo wa vijiweni wewe!
ni kweli kuna editing imefanyika, mwaka 1880 sidhani kulikuwa na mabati ya aina hiyo.Je kuna ushahidi gani? Nyumba jinsi inavyoonekana ama imebadilishwa sana au si kweli. Wakati ule hawakujenga kwa namna hiyo. Nikiona paa, inawezekana kwa kutumia mabati tu. Zamani ile paa zote zilikuwa za makuti. Makuti haiwezekani kwa mtelemko kama huo.
Halafu watumwa wafiche ya nini? Utumwa ulikuwa halali hadi kuja kwa Wajerumani, hakuna haja ya kumficha mfungwa.
Hata kama wenyeji wanasimulia hadithi za aina hii, huwezi kuamini kila kitu.