King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Hahahaha kaka tema mate chini wewe hauna ghorofa acha uongo hivi kwanini vijana munadanganya kiasi hiki?
Mkuu Jamii Forum kila mtu ni Bilionea ,ana majumba prime areas ,ana push Range ,Audi Q7 ,MBW X7 ,LC 300,kwahiyo zoea tu.