kidole cha simba
JF-Expert Member
- Jun 3, 2022
- 1,994
- 2,510
chukua chumvi mawe umwage kwenye kila kona ya nyumba,,,sio uchawi ata kwenye biblia ipo,,na ndo manake ukiwa na nuksi unaambiwa ukaoge baharini{chumvi hiendani na wachwawi wala mapepo}1. Siku za karibuni nimekuwa mtu wa kushtuka saa tisa na nusu nikitoka katika ndoto ambayo huwa siikumbuki ilikuaje, nakuwa na hofu na woga sana wakati huo.
2. Kuna wakati unashtuka unahisi kabisa hauko peke yako katika chumba.
3. Leo nimeshtushwa na kishindo cha kwenye dirisha, yaani ni kama vile mtu hakuona kioo cha alminium akajidunda kichwa, ila baada ya hapo sikusikia kinachoendelea.
Chanzo chaweza kuwa nini? Nifanyeje?
Hapo nimekupata.Hiyo inaitwa matembezi ya usingizini .. Kuna watu hupatwa na hili tatizo anaweza kutoka mpaka nje ama akajiandaa kabisa na kuvaa uniform kama ni mwanafunzi lakini the next day hakumbuki kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] Kwahiyo, vioja vyote unavyomtupia, maana yake aoe au
wazee wa kwao wanamkumbusha kuwa aoeSasa mtu amejenga nyumba anaishi pekeyake,Kuna Fala mwingine analamika akiweka sukari anakuta imehamishwa mara Mwiko hauoni we si unaona kuna shida Hapo
Ndo hatalala kabisa leo... π π π π πWanatest mitambo kwa ajili ya location ya sherehe za jumuiko la mwaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanga huo...Imeisha Isha damu ya Yesu na chumvi ya mawe, unaweza pia utasaga mkaa na ukapuliza pande 4 za Dunia ukiwa ndani au nje sehemu moja tu puliza mbele Kisha kulia Kisha nyuma Kisha kushoto imeisha tamka maneno Yako, waambie mchawi yeyote hapa hairusiwi pisheni mbali imeisha hio.
Khaaa hii kiboko...Kata pua nne za nguruwe dume(nakazia tena, dume) anayenyonyesha kisha zifunge kwenye kona nne za nyumba yako.
Hali hiyo ikitokea tena amka fanya maombi.....1. Siku za karibuni nimekuwa mtu wa kushtuka saa tisa na nusu nikitoka katika ndoto ambayo huwa siikumbuki ilikuaje, nakuwa na hofu na woga sana wakati huo.
2. Kuna wakati unashtuka unahisi kabisa hauko peke yako katika chumba.
3. Leo nimeshtushwa na kishindo cha kwenye dirisha, yaani ni kama vile mtu hakuona kioo cha alminium akajidunda kichwa, ila baada ya hapo sikusikia kinachoendelea.
Chanzo chaweza kuwa nini? Nifanyeje?
Sali kabla ya kulala1. Siku za karibuni nimekuwa mtu wa kushtuka saa tisa na nusu nikitoka katika ndoto ambayo huwa siikumbuki ilikuaje, nakuwa na hofu na woga sana wakati huo.
2. Kuna wakati unashtuka unahisi kabisa hauko peke yako katika chumba.
3. Leo nimeshtushwa na kishindo cha kwenye dirisha, yaani ni kama vile mtu hakuona kioo cha alminium akajidunda kichwa, ila baada ya hapo sikusikia kinachoendelea.
Chanzo chaweza kuwa nini? Nifanyeje?
Ukiweza kumkimbilia Yesu Kristo na kumwomba ulinzi kila usiku kabla ya kulala unajikabidhi kwake kwa kuomba kwa JIna Lake, basi utakuwa salama. Vinginevyo uhangaika kwa waganga na mwishowe utahama hapo huku ukiwa umeharibikiwa kimaisha!1. Siku za karibuni nimekuwa mtu wa kushtuka saa tisa na nusu nikitoka katika ndoto ambayo huwa siikumbuki ilikuaje, nakuwa na hofu na woga sana wakati huo.
2. Kuna wakati unashtuka unahisi kabisa hauko peke yako katika chumba.
3. Leo nimeshtushwa na kishindo cha kwenye dirisha, yaani ni kama vile mtu hakuona kioo cha alminium akajidunda kichwa, ila baada ya hapo sikusikia kinachoendelea.
Chanzo chaweza kuwa nini? Nifanyeje?
ππ Sio cha maarifa?Khaaa hii kiboko...
Nguruwe dume anaenyonyesha...hakika JF ni kisima cha burudani....
Kwa hiyo comment ni burudaniππ Sio cha maarifa?
Itakuwa jamaa amefanya utafiti wa kutosha, na anaushahidi kabisaπππ. Maana haiwezekani from no where aje kitudanganya humu.Kwa hiyo comment ni burudani