Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
unajenga ata cabin moja porini uko unakuwa unaenda kupumzisha ubongo kelele za town zikizidi.🙏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unajenga ata cabin moja porini uko unakuwa unaenda kupumzisha ubongo kelele za town zikizidi.🙏
Jichanganye, mnavyoona hayo mavioo mnasikia raha eh? Bei ya dirisha Moja tu mkuu Bei yake si unajua, haya madirisha yetu ya fundi juma4.5ml kontena la futi 40 kwahiyo ukiwa na 6ml unaingia ghetto.
acha woga mkuuJichanganye, mnavyoona hayo mavioo mnasikia raha eh? Bei ya dirisha Moja tu mkuu Bei yake si unajua, haya madirisha yetu ya fundi juma
Miradi ulikuwa mzuri sanaUna mawasiliano yao Mkuu?
Nimepokea Ushauri Mkuuunajenga ata cabin moja porini uko unakuwa unaenda kupumzisha ubongo kelele za town zikizidi.
Zinaonekana ziko poaMiradi ulikuwa mzuri sana
Kama hizo tulifanya chunya songwe kwenye mgodi wa Shanta gold mining
View attachment 3139306
Waya za umeme zinaingizwa ndani ya pipe, kumbuka by 100 percent Gypsum board ndizo hupendezesha nyumba hizi kwa ndani, hakuna joto, pipes za umeme huwa kati ya Gypsum na kipande kidogo cha mbao kwa kati.Shoti ya umeme ikishika hilo jumba lako ndio "kisorokwinyo" kitakuisha hasa umeme wetu huu wa afrika na akili zetu usalama zero mara pap marehemu alikufa akitafuta sifa za nyumba
Hapo thawa nduguWaya za umeme zinaingizwa ndani ya pipe, kumbuka by 100 percent Gypsum board ndizo hupendezesha nyumba hizi kwa ndani, hakuna joto, pipes za umeme huwa kati ya Gypsum na kipande kidogo cha mbao kwa kati.
Watu weupe wabunifu sanaEven you can have a mall at small town around the country! View attachment 3139333