Nyumba nzuri sana, ambazo ujenzi wake hutumia kontena

Nyumba nzuri sana, ambazo ujenzi wake hutumia kontena

FB_IMG_17303048904647113.jpg
 
Kwa nini uishi kwenye kontena? Sio kila mnachokiona kwenye mitandao ni cha kuiga hizo ni fantasy tu
Kwa hiyo nyumba ni za matofali pekee?, tena kwa joto la Africa ilitupasa tujenge nyumba za mbao zaidi, hii maana yake tunahitaji ubunifu zaidi, kuona tunafanyaje ili tuishi comfortable and safe, falsafa ya kumezeshwa utambi kwenye akili imepitwa na wakati, yaani binadamu huyu, asiwe mbunifu, na ajue akimaliza shule aajiriwe akishapata kazi apigishe matofali ajenge nyumba, baadae Aoe mke azae watoto asubirie kustaafu, it's very poor mindset, ndizo akili za watanzania kwa 95%.
 
Kwa hiyo nyumba ni za matofali pekee?, tena kwa joto la Africa ilitupasa tujenge nyumba za mbao zaidi, hii maana yake tunahitaji ubunifu zaidi, kuona tunafanyaje ili tuishi comfortable and safe, falsafa ya kumezeshwa utambi kwenye akili imepitwa na wakati, yaani binadamu huyu, asiwe mbunifu, na ajue akimaliza shule aajiriwe akishapata kazi apigishe matofali ajenge nyumba, baadae Aoe mke azae watoto asubirie kustaafu, it's very poor mindset, ndizo akili za watanzania kwa 95%.
Umejenga?
 
Hizi nyumba za mchongo zinawatesa sana wazungu hasa kipindi cha kimbunga
 
Alternative ya kupanga imekua ngumu sana tujikaze tu tujenge nyumba za kueleweka ndugu zangu, hii roho ya umaskini tuikemee.
 
Hizi zimekaa fresh kwa wazee wetu wanaostafu anakua nako huko farm akijifugia kuku na kujilimia taratiibu .
 
Ngoja nifanye studies kuhusu nyumba za hivyo hapa Bongo.

Kuna Mgodi mmoja niliwahi kutembelea nilizikuta, japo hazikuwa na huo muonekano wa kuvutia.

Unaweza kuandaa maybe 35M hivi ukapata makazi ya kuishi huko Vijijini Kwa Wazee wetu.

Christmas na Mwaka Mpya unapeleka familia kwenda kuinjoi hewa safi na mazingira ya kuvutia huko
Nina jamaa yangu yupo pale Masaki ana ofisi yake (Kitchen Studio) kituo kinaitwa Taxi ipo barabarani kabisa.

Nyumba hizi zina gharama kidogo kwa ssb zinahitaji ufanye insulation ya viwango ili iendane na hali ya hewa yaani joto kali au baridi sana.
 
Nina jamaa yangu yupo pale Masaki ana ofisi yake (Kitchen Studio) kituo kinaitwa Taxi ipo barabarani kabisa.

Nyumba hizi zina gharama kidogo kwa ssb zinahitaji ufanye insulation ya viwango ili iendane na hali ya hewa yaani joto kali au baridi sana.
Nimeuliza bei sehemu nimeambiwa roughly cost ya empty container ni 3 to 4.5M

Kwa gharama hizo, hopefully tunaweza ku-afford
 
Ukijenga hizo huku kwetu uswahilini, watu watakesha wanakuchungulia. Na vibaka uswahilini huku itakuwa sherehe.
 
Back
Top Bottom