Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
- Thread starter
- #61
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo zinahitaji bunda la kutosha
Gharama yake. Bora ujenge ghorofa tu kwa tofaliNi nyumba nzuri zinazoweza kujengwa popote pale, lakini zinapendeza zaidi zikijengwa katika mazingira pembeni mwa Miji bushes.
Kwa hiyo nyumba ni za matofali pekee?, tena kwa joto la Africa ilitupasa tujenge nyumba za mbao zaidi, hii maana yake tunahitaji ubunifu zaidi, kuona tunafanyaje ili tuishi comfortable and safe, falsafa ya kumezeshwa utambi kwenye akili imepitwa na wakati, yaani binadamu huyu, asiwe mbunifu, na ajue akimaliza shule aajiriwe akishapata kazi apigishe matofali ajenge nyumba, baadae Aoe mke azae watoto asubirie kustaafu, it's very poor mindset, ndizo akili za watanzania kwa 95%.Kwa nini uishi kwenye kontena? Sio kila mnachokiona kwenye mitandao ni cha kuiga hizo ni fantasy tu
Umejenga?Kwa hiyo nyumba ni za matofali pekee?, tena kwa joto la Africa ilitupasa tujenge nyumba za mbao zaidi, hii maana yake tunahitaji ubunifu zaidi, kuona tunafanyaje ili tuishi comfortable and safe, falsafa ya kumezeshwa utambi kwenye akili imepitwa na wakati, yaani binadamu huyu, asiwe mbunifu, na ajue akimaliza shule aajiriwe akishapata kazi apigishe matofali ajenge nyumba, baadae Aoe mke azae watoto asubirie kustaafu, it's very poor mindset, ndizo akili za watanzania kwa 95%.
Mimi nataka haka,kama kuna mjuzi wa hizi mambo tuwasiliane
Tabata, Chanika, boko!Umejenga?
Tabata, Chanika, boko!
Nina jamaa yangu yupo pale Masaki ana ofisi yake (Kitchen Studio) kituo kinaitwa Taxi ipo barabarani kabisa.Ngoja nifanye studies kuhusu nyumba za hivyo hapa Bongo.
Kuna Mgodi mmoja niliwahi kutembelea nilizikuta, japo hazikuwa na huo muonekano wa kuvutia.
Unaweza kuandaa maybe 35M hivi ukapata makazi ya kuishi huko Vijijini Kwa Wazee wetu.
Christmas na Mwaka Mpya unapeleka familia kwenda kuinjoi hewa safi na mazingira ya kuvutia huko
Ukiona maisha ya eneo flani sio mazuri, unayabeba na kuhamia kwingineUnyama ni mwingi sana mkuu ,hapo kwa haraka haraka ni kama 40 feet uwe nazo kama 10.
Kweli mkuuHizo zinahitaji bunda la kutosha
Matofali mkuu.Za kontena au za mbao?
Nimeuliza bei sehemu nimeambiwa roughly cost ya empty container ni 3 to 4.5MNina jamaa yangu yupo pale Masaki ana ofisi yake (Kitchen Studio) kituo kinaitwa Taxi ipo barabarani kabisa.
Nyumba hizi zina gharama kidogo kwa ssb zinahitaji ufanye insulation ya viwango ili iendane na hali ya hewa yaani joto kali au baridi sana.
Kweli mkuu
Matofali mkuu.