Nyumba ya Oscar Kambona sasa ni Feza Primary. Nini kimetokea?

Nyumba ya Oscar Kambona sasa ni Feza Primary. Nini kimetokea?

Kabla way kwenda Uingereza akiwa bado hapa, alipewa pesa kwa influence aliyokuwa nayo ndani ya utawala pia alikuwa mjenga hoja mzuri sana. Aliwakoga sana Waingereza pia alikua na Kiingereza kizuri sana.
Wakati huo tulikuwa na mfumo wa Uingereza kwa kila kitu hata serikalini kulikuwa na maafisa wengi wa kiingereza tukiacha mawaziri wazungu, wewe unaeleza ya kusikia tofauti na mimi niliyekuwepo.
 
Feza ni shule binafsi, nyumba ni mali binafsi sasa unaulizia mambo binafsi ambayo watu wamekubaliana wenyewe sisi tutajuaje?

BTW wanaweza kuwa na Mali nyingi wakaamua kuipangisha Ile nyumba sababu inakaa bure tu, pia kuipangisha Feza schools wanapata pesa nyingi sana imagine Ada ya mtoto sio chini ya milioni saba sasa unadhani Kodi ni kiasi gani ?
Jamaa kauliza swali la kikuda kweli

Ova
 
Unatoka kijiji gani?
Ukirudi kijijini kwenu huwa unapotea njia?
Tambua mawazo ya kujenga vijiji ni Nyerere mwenyewe . Mawazo hai , Bado yanaishi na utayaacha yakiboreshwa.
Ujamaa kama ilivyo via Tamu, watu watafanya biashara na watakopeshana kwa mtindo wa kijamaa (vikoba)
Tupe definition ya socialism Kwanza... Huwezi kuita VICOBA eti ujamaa. Jaribu kuzingua wanavicoba wenzio uone kama utasavaivu...
 
Kuna gazeti kule jamii photos wameandika "OSCAR KAMBONA MALAYA" Miaka hiyo .....nilichojifunza in life NO PERMANENT FRIEND NO PERMANENT ENEMY
1641391284467.png
 
Oscar Kambona ana mtoto wa kike ni Askari Magereza gereza la Karanga Moshi. Kama sikosei anaitwa Witness.
Huwezi amini mtoto wa kambona analiowa mshahara usiozidi TSH laki tano.
Kwani Askari Magereza wanapata Laki tano?? Nilitaka kuomba Kazi hii
 
Tupe definition ya socialism Kwanza...huwezi kuita VICOBA eti ujamaa..jaribu kuzingua wanavicoba wenzio uone km utasavaivu...
Sijaongelea socialism, naongelea Ujamaa. Ujamaa ni tofauti na socialism.
Ujamaa una bond zake tofauti na socialism.
Rudi kafanye utafiti, usikalili ya kuambiwa.
 
Lugha ya hili gazeti mbona ilikuwa kali sana? Yote hayo ni kwa ajili ya kuwafurahisha Nyerere (kuhusu Kambona) na Karume (kuhusu Kassim Hanga)?
Ndio tujue mipasho kwa wanasiasa ilikuwepo toka zamani. Halafu saivi watu wanamsema mama kuwa Ana mipasho
 
Mawazo ya Kambona kuhusu uchumi yanaishi hata sasa ya Mwalimu yamekufa
Kwa kipindi kile Kambona hakuwa shh, nchi ilikuwa bado haina wataalam, unaambiwa baada ya Uhuru nchi nzima ma profesa walikuwa hawazidi 10, Sasa niambie kwa picha hiyo unadhani nini kingetokea endapo wangeruhusu wazungu kuchukua deals mbali mbali za uchumi, haya madini mnayojisifia yasingekuwepo!!

Mwal. akitaka kwanza wasimamizi wa raslimali waongezeke tena si tu kuongezeka kwa idadi ya watu, bali wataalam na wasomi waongezeke, hawa ndo wangesaidia kusimamia raslimali za nchi. Ikiwa Kama hivi leo miaka ya 2022 tunapigwa na tunao wasomi kibao, je Kama hii habari ingeanza miaka ya 60's ingekuwaje!!??
 
kwa kipindi kile kambona hakuwa shh, nchi ilikuwa bado haina wataalam ,unaambiwa baada ya Uhuru nchi nzima ma profesa walikuwa hawazidi 10,Sasa niambie kwa picha hiyo unadhani Nini kingetokea endapo wangeruhusu wazungu kuchukua deals mbali mbali za uchumi, haya madini mnayojisifia yasingekuwepo!! mwal. akitaka kwanza wasimamizi wa raslimali waongezeke Tena si tu kuongezeka kwa idadi ya watu ,bali wataalam na wasomi waongezeke,hawa ndo wangesaidia kusimamia raslimali za nchi. ikiwa Kama hivi leo miaka ya 2022 tunapigwa na tunao wasomi kibao,je Kama hii habari ingeanza miaka ya 60's ingekuwaje!!??
Hata sasa still madini hayatunufaishi zaidi ya wageni, sekta ya madini na kilimo zinaweza ajili vijana wote tza na wakabaki shida ya ccm haina ubunifu
 
Kabla way kwenda Uingereza akiwa bado hapa, alipewa pesa kwa influence aliyokuwa nayo ndani ya utawala pia alikuwa mjenga hoja mzuri sana. Aliwakoga sana Waingereza pia alikua na Kiingereza kizuri sana.
Oscar Kambona alikuwa na haiba, akili, na exposure kali sana! Wa kufanana naye ukanda huu enzi hizo alikuwa Tom Mboya wa Kenya bonge la genius japo walimuua.
 
kwa kipindi kile kambona hakuwa shh, nchi ilikuwa bado haina wataalam ,unaambiwa baada ya Uhuru nchi nzima ma profesa walikuwa hawazidi 10,Sasa niambie kwa picha hiyo unadhani Nini kingetokea endapo wangeruhusu wazungu kuchukua deals mbali mbali za uchumi, haya madini mnayojisifia yasingekuwepo!! mwal. akitaka kwanza wasimamizi wa raslimali waongezeke Tena si tu kuongezeka kwa idadi ya watu ,bali wataalam na wasomi waongezeke,hawa ndo wangesaidia kusimamia raslimali za nchi. ikiwa Kama hivi leo miaka ya 2022 tunapigwa na tunao wasomi kibao,je Kama hii habari ingeanza miaka ya 60's ingekuwaje!!??
Hizi ni porojo tu..
Hiyo zamani na sasa kunatofauti gani?
Au mataifa mengine yaliyofuata mlengo wa ubepari tumeyazidi nini?
Hatuna cha kujivunian katika hilo namna wanavyochota sasa hakuna tofauti na miaka hiyo.
Hao wataalam wako wap sasa?
 
Kambona aliamini siasa za ubepari na akiwa Waziri akishaingia mikataba mingi na wawekezaji wa Kiingereza na walimpa cha juu chake. Kwenye account yake alikua na pesa nyingi sana

Wakati Nyerere aliamini katika Ujamaa, hakuwa na tamaa ya pesa na mpaka anastaafu hakuwa na hekalu alilojimilisha.
Una hakika?.... Fanya utafiti wako vizuri.
 
kwa kipindi kile kambona hakuwa shh, nchi ilikuwa bado haina wataalam ,unaambiwa baada ya Uhuru nchi nzima ma profesa walikuwa hawazidi 10,Sasa niambie kwa picha hiyo unadhani Nini kingetokea endapo wangeruhusu wazungu kuchukua deals mbali mbali za uchumi, haya madini mnayojisifia yasingekuwepo!! mwal. akitaka kwanza wasimamizi wa raslimali waongezeke Tena si tu kuongezeka kwa idadi ya watu ,bali wataalam na wasomi waongezeke,hawa ndo wangesaidia kusimamia raslimali za nchi. ikiwa Kama hivi leo miaka ya 2022 tunapigwa na tunao wasomi kibao,je Kama hii habari ingeanza miaka ya 60's ingekuwaje!!??
Mwalimu alikuwa mjuaji asiyejua chochote kuhusu uchumi na uzalishaji.
Mfumo wa uchumi wa kikoloni ndio mfumo sahihi hata wakoloni walishafanya study mswahili bila kumbana hawezi.Kosa lake
Yeye aliwachukia wakoloni na mazuri yao pia.
 
Back
Top Bottom