Nyumba ya Oscar Kambona sasa ni Feza Primary. Nini kimetokea?

Nyumba ya Oscar Kambona sasa ni Feza Primary. Nini kimetokea?

Nakumbuka miaka ya nyuma, mkewe Kambona alifuatilia sana hiyo nyumba ili irudishwe kwa familia, sina hakika kama walifanikiwa.
 
Kwa msiolijua, Rashid Mfaume Kawawa alikuwa mjomba wake Oscar Kambona na ndiye aliyesimamia harusi yake Kambona, wote asili yao wanyasa. Enzi hizo miaka ya sitini kila mwanaume na mwanamke alipenda afanane muonekano wa Oscar Kambona, the guy was extremely smart.
Muongo🤣🤣🤣🤣🤣🤣aliyesimamia harusi ya Kambona ni Nyerere huko Uingereza na harusi yao ilikuwa kubwa kiasi ambacho wazungu hawakuamini ni mtu mweusi ndio anafanya ile harusi mpaka ikaripotiwa kwenyw vyombo vya habari (mostly magazeti)
 
Huyo labda atakuwa mtoto wa mdogo ake kambona. Kambona alikimbia nchi na familia yake tena probably watoto wengine alizalia ulaya
Wewe unasema "LABDA" na "PROBABLY" mimi ninasema ni mtoto wake.
 
Muongo🤣🤣🤣🤣🤣🤣aliyesimamia harusi ya Kambona ni Nyerere huko Uingereza na harusi yao ilikuwa kubwa kiasi ambacho wazungu hawakuamini ni mtu mweusi ndio anafanya ile harusi mpaka ikaripotiwa kwenyw vyombo vya habari (mostly magazeti)
Huyo ni mbabu, anajua anachokisema.
 
Oscar Kambona ana mtoto wa kike ni Askari Magereza gereza la Karanga Moshi. Kama sikosei anaitwa Witness.
Huwezi amini mtoto wa kambona analipwa mshahara usiozidi TSH laki tano.
Huo mshahara wanapaswa kulipwa watoto wa nani?
 
Muongo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]aliyesimamia harusi ya Kambona ni Nyerere huko Uingereza na harusi yao ilikuwa kubwa kiasi ambacho wazungu hawakuamini ni mtu mweusi ndio anafanya ile harusi mpaka ikaripotiwa kwenyw vyombo vya habari (mostly magazeti)
Nyerere ndio yupi hapo?
JamiiForums-1838465217.jpg
 
Kambona alikua genius Sana aliishi future, Mzee mchonga alikua mbishi na mjuaji Sana hakupenda mawazo mbadala na aliwalisha propaganda Kali Sana Watanganyika na still mpaka Leo wamekua Wadanganyika kweli kweli,
Nimekaa karibu na wazee wengi waliokua na akili Zao timamu enzi za ujana wao wanakanambia yule bwana ndie chanzo Cha hii nchi kua masikini maana alipandikiza intelligence Kali kudhibiti Hali kiasi kwamba Watu walikua tight hawafurukuti ukienda kinyume na matakwa ya ujamaa utaisoma namba,Watu wakaporwa Mali Zao na ukwasi walizoanza kuzipambania Toka enzi za mkoloni na wakabaki masikini wa kutupwa.

Mpaka wakajuta Bora wangebaki na mkoloni mweupe kuliko mkoloni mweusi CCM!
 
Baba yenu wa wataifa ni mtu mwenye chuki na ni mtu mwenye ubinafsi mkubwa ndo maana hata watoto wake sahivi wanaishi kwa fadhila za serekali tu, huwezi kuwa mzalendo Hadi ushindwe kuitengenezea familia yako mazingira mazuri ya kuishi ule ni ujinga
Ndo maana alikua na wivu sana na watu wenye maendeleo akaishia kuwatukana na kuwapachika majina mabaya
 
Nyerere alikuwa dikteta uchwara,hojs zake zote alizompinga nazo kambona zilikuja 'kuprove failure',kambona alikuwa anaona mbali kutokana na exposure na elimu,nyerere alikuwa amemezwa na wachina,akaishia kufeli kwnye kila kitu,azamio la Arusha lilifeli,vijiji vya ujamaa vilifeli,ujamaa wenyeww ulifeli aliachia nchi kwa aibu watu wakiwa hawana chakula Wala mavazi!!
Si vyema kumuita hivyo, fuatilia wenzake wengi waliojizipatia nchi zao uhuru hio miaka ya 60's, sidhani kama ulikuwa umezaliwa.

Angeweza kujilimbikizia mali na madaraka kwa familia yake mpaka leo hii isingeshindikana.

Ukizingatia ni wakati ambao waTanzania wengi hawakiwa na elimu.
So tumsifu kwa uzalendo wake, kwa mali iliyopo kwenye hii nchi sijui ingekiaje tungepata raisi mwenye tamaa.
 
Kambona aliamini siasa za ubepari na akiwa Waziri akishaingia mikataba mingi na wawekezaji wa Kiingereza na walimpa cha juu chake. Kwenye account yake alikua na pesa nyingi sana

Wakati Nyerere aliamini katika Ujamaa, hakuwa na tamaa ya pesa na mpaka anastaafu hakuwa na hekalu alilojimilisha.

Nadhani kikubwa ilikuwa ni utofauti wa ideologies (ujamaa vs ubepari) lakini pia battle of supremacy (Nani zaidi)

ukifuatilia Historia, Nyerere na kambona wote walikuwa wasomi, wenye akili pia umaarufu na ushawishi mkubwa wa kisiasa, japo kambona alikuwa kama ndio sweetheart kutokana na muonekano na haiba yake. Of course hata kama mimi ndio mzee baba lazma kuna kakitu flani lazma katanikaba koo maana nataka kuwa centre of attention, kama ilivyokuja kuwa baada ya kambona na wenzake kutolewa nje ya picha.

Ukifuatilia ishu ya Nyerere kupinduliwa ni kambona aliyechukua nafasi kubwa katika kuituliza hali, Hii tu inakuonesha ushawishi na nguvu kambona aliyokuwa nayo

Hiyo ilimfanya kuwa threat naturally kwenye kiti cha enzi, na kupingana na Nyerere kuhusu ujamaa lazma ingeongeza tension baina yao.

What hapenned was meant to happen regardless of the "Reasons"
 
Nadhani kikubwa ilikuwa ni utofauti wa ideologies (ujamaa vs ubepari) lakini pia battle of supremacy (Nani zaidi)

ukifuatilia Historia, Nyerere na kambona wote walikuwa wasomi, wenye akili pia umaarufu na ushawishi mkubwa wa kisiasa, japo kambona alikuwa kama ndio sweetheart kutokana na muonekano na haiba yake. Of course hata kama mimi ndio mzee baba lazma kuna kakitu flani lazma katanikaba koo maana nataka kuwa centre of attention, kama ilivyokuja kuwa baada ya kambona na wenzake kutolewa nje ya picha.

Ukifuatilia ishu ya Nyerere kupinduliwa ni kambona aliyechukua nafasi kubwa katika kuituliza hali, Hii tu inakuonesha ushawishi na nguvu kambona aliyokuwa nayo

Hiyo ilimfanya kuwa threat naturally kwenye kiti cha enzi, na kupingana na Nyerere kuhusu ujamaa lazma ingeongeza tension baina yao.

What hapenned was meant to happen regardless of what so called "Reasons"
Kambona baba yake alikua Mwalimu na shule ya msingi alisomea nyumbani, formal education aliianza darasa la nne. Ninadhani he was well polished.
 
Feza ni shule binafsi, nyumba ni mali binafsi sasa unaulizia mambo binafsi ambayo watu wamekubaliana wenyewe sisi tutajuaje?

BTW wanaweza kuwa na Mali nyingi wakaamua kuipangisha Ile nyumba sababu inakaa bure tu, pia kuipangisha Feza schools wanapata pesa nyingi sana imagine Ada ya mtoto sio chini ya milioni saba sasa unadhani Kodi ni kiasi gani ?

Yap inawezekana familia yake imeamua kuwapangisha hao feza
 
Kambona baba yake alikua Mwalimu na shule ya msingi alisomea nyumbani, formal education aliianza darasa la nne. Ninadhani he was well polished.

Familia yao ilikuwa ya dini na elimu lakini secondary education alifadhiliwa na bishop wa kizungu baada ya kuisali sala ya baba yetu kwa kiingereza 😁😁

Historia yake ipo inspiring kiasi maana Nyerere alipata natural merit kama mtoto wa chief. Japo huwezi kuondoa uwezo wake wa kiakili.
 
Oscar Kambona ana mtoto wa kike ni Askari Magereza gereza la Karanga Moshi. Kama sikosei anaitwa Witness.
Huwezi amini mtoto wa kambona analipwa mshahara usiozidi TSH laki tano.
Jee, unamaanisha mshahara wake uendane na hadhi yake ya kuwa mtoto wa Kambona na si kulingana na kazi anayofanya na CV yake? Namfahamu mtoto wa Nyerere, Anna, anabangaiza tu. Pia nilisoma na Rehema, mtoto wa Kawawa. Naye ni mtu wa kawaida tu kama mimi. Sasa huyo mtoto wa Kambona apewe mshahara tofauti na wengine kwa kuwa tu baba yake ni Kambona?
 
Back
Top Bottom