mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Mbona umechekaπππππ
ππππ
Ila jibu nishalipata
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona umechekaπππππ
Mawazo yapi? ,Mikopo?Mawazo ya Kambona kuhusu uchumi yanaishi hata sasa ya Mwalimu yamekufa
Mikopo mawazo ya waliofirisika akiliMawazo yapi? ,Mikopo?
Hiyo nyumba ilikuwa kubwa lakini siyo kwa mfanyakazi wa serikali ambaye alikuwa anaruhusiwa kuchukuwa mkopo benki (enzi zile kulikuwa na building society, housing bank n.k). Hata Nyerere mwenyewe alichukuwa mkopo na kujenga nyumba yake ya Msasani.Kuwa na jumba lile kwa miaka ile maeneo ya Mikocheni sio hohehahe labda useme alipokuwa huko London
Kuna gazeti kule jamii photos wameandika "OSCAR KAMBONA MALAYA" Miaka hiyo .....nilichojifunza in life NO PERMANENT FRIEND NO PERMANENT ENEMY
Ndiyo maana naipenda sana jamiiforums!Nyerere ndio yupi hapo?View attachment 2069734
Istoshe mawazo ya mwalimu ndo yalimponza Dr. KreluuMawazo ya Kambona kuhusu uchumi yanaishi hata sasa ya Mwalimu yamekufa
Huyo best man Mwafrika aliyevaa koti jeusi nyuma ya Kambona ni nani?Nyerere hakusimamia harusi ya Kambona....
Presidential historians tulishalisemea hili....
![]()
Kleruu alimuiga sabaya akavuna alichopandaIstoshe mawazo ya mwalimu ndo yalimponza Dr. Kreluu
Kama ndio mshahara wa kazi yake ulitaka akaibe?Oscar Kambona ana mtoto wa kike ni Askari Magereza gereza la Karanga Moshi. Kama sikosei anaitwa Witness.
Huwezi amini mtoto wa kambona analipwa mshahara usiozidi TSH laki tano.
Yaani kipindi hicho watu wanaitwa malaya na wengine wanaitwa wapumbavu gazetini?! Au mahakama hazikuwepo enzi hizo?!
Wazoefu wa mitaa ya Mikocheni, kwa Nyerere, kwa Mwinyi, kwa Warioba haya ni majina ya vituo vya daladala. Lakini pia Kuna nyumba ya Oscar Kambona mitaa hiyo ila kwa sasa naona imekuwa shule ya msingi Feza.
Nini kilitokea? Iliuzwa? Je Kambona hakuacha familia? Mke na watoto wake wako wapi? Baba akiwa muasi hadi familia yake inachukuliwa kama waasi?
Je, ilikuwa ni nyumba ya serikali au alijenga mwenyewe Oscar?
JiweHuyo best man Mwafrika aliyevaa koti jeusi nyuma ya Kambona ni nani?
Jiwe enzi hizo alikuwa hata hajaota ndoto za kuwa mbunge acha urais!Jiwe
fafanua mkuu,Mtoto mmoja aliuwawa huko uk na majasusi wa tz