goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,845
- 13,072
Fytu kidog in good way wee jamaaa wee nimechek tuNadhani nyumba mikocheni inayojulikana Mama Kambona ameishi muda mrefu na kuimiliki ni ilipo Dsm International School (DIS).
Mwanae anayejulikana ni Neema aliyekuwa anafanya kazi British Council na baada ya kumaliza ndoa yake na Mchaga Masika akaamua kurudi Uingereza. Sidhani kama Kambona ana mtoto mwingine. Nadhani Kambona ana asili ya ugenious maana hata huyo neema ni kama akili zimezidi na kuwa fyatu kidogo in a good way.