Nyumba ya Serikali yenye thamani ya Sh 1.2 bilioni yauzwa kwa mfanyabiashara kwa Milioni 130. Waziri Lukuvi alia na watendaji, amkabidhi DCI

Kwa hiyo nyumba inayozungumziwa imeuzwa kwa kibali cha nani??? Kama maagizo hayakuanzia kutolewa kwenye kikao cha mabaraza la mawaziri??
 
Fala wewe .nyumba hazihami ila unaweza kwenda kutonyesha hizo unazodai alihonga kama njugu zilipo. Au kiswahili hujui?
Jinga sana we jamaa. Sipo kwenye kujadili mada ila kukurekebisha hicho Kiswahili ulichotumia as if nyumba zinahama. Endelea kujadili mada na wenzio bila shaka wapo watakaokuonyesha zilipo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo ndiye aliyetakatisha nyumba za serikali waanze kwanza kumchunguza na kumkamata yeye
..Nyumba alizouza Magufuli ziliuzwa bei gani na zilikuwa na thamani gani?

..UFISADI uliofanyika hapo hauna tofauti na ufisadi aliofanya Magufuli wakati akiwa waziri wa ujenzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

'Inawezekana/ nnadhani /labda ,haya Maneno yana maana ya kutokuwa na hakika ya jambo flani unalo litetea.Una simamia wapi !?

Jifunze pia kutumia alama sawa sawa ili zilete maana sahihi ya unacho kiwasilisha.
 
akampa na hawala yake na mdogo wake
 
Magazeti yalilalsmikiwa na mtuhumiwa?
Unaoushahidi direct kuwa mahawara waligawiwa kama njugu? Ninaposema ushahidi direct maana yake uliona jinsi walivyogawiwa, uliona jinsi hati zilivyosajiliwa na mpaka sasa hivi unafahamu mahali hizi nyumba zilipo. Au unaongea kwa chuki tu.
 
Waziri hananguvu ya kuuza nyumba za serikali ni rais alimtumA waziri kuuza mlaumuni mkapa.

Sent using Jamii Forums mobile app

..askari aliyefyatua risasi na ikaua mtu asiye na hatia hawezi kujitetea eti alitumwa na mkubwa au kamanda wake.

..Mawaziri wanapaswa kuwa waangalifu. Utetezi kwamba wametumwa na Raisi kufanya ufisadi hauna mashiko mahakamani, na hata mtaani.

..Wakumbuke kuwa siku wakifikishwa mbele ya sheria watakuwa peke yao. Raisi analindwa na katiba kuwa hawezi kushtakiwa. Waziri hana kinga hiyo.

..Nadhani umenielewa.
 
Mada iliyoko mezani si ni nyumba za serikali kuuzwa kwa bei ya kutupwa? Wee unaona vizuri mahawara kugawiwa nyumba zetu kama njugu? Nakuuliza wewe chiroptera na duck billed platypus
Ndio maana Mbowe anaogopa kujenga Ofisi Kuu anahisi kuna wajanja watapiga akitoka?
 
DCI afanye upelelezi wa waziri alieuza nyuma za serikali miaka ya 90, afanye haraka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…