Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Wakati ule boss wa Magufuli alikuwa Sumaye ambae kidogo mumpe madaraka,..Nyumba alizouza Magufuli ziliuzwa bei gani na zilikuwa na thamani gani?
..UFISADI uliofanyika hapo hauna tofauti na ufisadi aliofanya Magufuli wakati akiwa waziri wa ujenzi.
Sent using Jamii Forums mobile app