Renegade
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 7,221
- 6,940
Magufuli hakuuza nyumba, nyumba ziliuzwa kwa maamuzi ya Mkapa, jambo hili Sumaye alilitolea ufafanuzi video nyingi tumeweka humu...Nyumba alizouza Magufuli ziliuzwa bei gani na zilikuwa na thamani gani?
..UFISADI uliofanyika hapo hauna tofauti na ufisadi aliofanya Magufuli wakati akiwa waziri wa ujenzi.
Sent using Jamii Forums mobile app