Nyumbani kumenoga: TTCL wamerudi kwenye mstari wao

Njooni tigo nowape vya mwezi mzima kwa bei poa
 
Kwangu TTCL huwa inateleza sana kwa maana ni 4G. Na ni mdau wa kutoboa kwa hiyo huwa nateleza inafika mpaka 5MB/sec.
 
Unaminya ngapi kupata GB10?
 
Kwa network ipi!? Hao wakojoe wakalale tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…