Nyumbani kumenoga: TTCL wamerudi kwenye mstari wao

kwa alie mkoa wa geita naumba anipe mrejesho vip mtandao wa ttcl hapa chato uko na kasi gani ili n mm nitumie huo
 
Hahaha subiri nihamishie lain yangu kutoka kwenye kiswaswadu niweke hela maana airtel na halo wamenichosha
 
Ndo maana kumbe mateso kiasi hicho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…