Nyumbani ni nyumbani, karibuni Mafia

Mrangi kumbe wewe mpambanaji?
Pole bna
As long upo hai utarudisha mara mia
 
😂😂😂kweli kamanda hauwawi

Hiyo mizigo ulikuwa unauza wapi mkuu
 
Naomba connection na watu wa majahazi boss Nina shida ya bidhaa flan zenj
Ais Sahv Sina kbsa na sitaki kusikia Habari zao[emoji23][emoji23][emoji23]Sema Ukienda kisiju au shumba bweni utapata

Ova
 
jamaa kasema ukatalii sio ukaone warembo

Kama unataka warembo nenda corner bar sinza
Haujui pia warembo ni kivutio cha watalii,duh,Kuna nchi inaongoza kwa wanaume wenye mihogo,na watalii wakizungu wanajazana kibao,fuatilia huo Uzi upo apa jf
 
Bagamoyo pale millennium, custom majahazi yapo
Ila kihulali Sasa we unataka majahazi ya magumash
Au - (((Sema uambiwe chemba na location [emoji23][emoji23]Kaz kwako

Ova
Nakuja pm bna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…