Sasa mpumzisheni Mama Samia mwenye kusimamia haki. Walikuwa wanamchafua kuwa serikali yake haitendei haki watu. Viva samia. Mitano tena. Mihimili yote iko fair fair fair fair
Chawa hamna hata aibu
 

Attachments

  • 20240920_155509.jpg
    133.4 KB · Views: 2
Ishu ya babu seya kuna mengi ndani yake,inasemekana alikula tamu ya mkuu wa kaya wa kipindi kile,so akabambikiziwa kesi,ndio maana akaja kuachiwa

Kosa lolote lile linasamehewa, Ibara ya 45 ya Katiba ya Tanzania inampa mamlaka Rais wa Tanzania kumsamehe mtu yoyote aliefanya kosa lolote lile kwa mamlaka ya Rais anaweza kuachiwa huru kwa msamaha wake.
 

Kina Kindeena hao
 
Sasa mpumzisheni Mama Samia mwenye kusimamia haki. Walikuwa wanamchafua kuwa serikali yake haitendei haki watu. Viva samia. Mitano tena. Mihimili yote iko fair fair fair fair
Mhimili wa mahakama na executive ni vitu viwili tofauti. Samia hahusiki hapa
 
Bush lawyer unachekesha...hiyo imeisha hawachomoki hao sahau.
 
Acha waende kupasua mawe mpaka akili iwakae sawa, ,, zile nguo mlizokuwa mnawaona nazo hawazivai tena maisha yao yote wasenge sana wale,, na ukishafungwa wewe ni Mali ya serikali yani utalima mpaka mpaka unakufa. Ile mikogo ya kudandia gari mahakamani ndio basi,, gari kuliona labda la magereza mbwa kabisa wale, unakubali uchawa alafu bosi wako anakula bata nje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…