econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Nakukumbusheni OLE LENGAI yupo NJE ANA ENJOY UHURU WAKEFULLY
Kifungo Cha nje. Ingawa alishakimaliza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakukumbusheni OLE LENGAI yupo NJE ANA ENJOY UHURU WAKEFULLY
Mafisadi siyo majinga ya kujirekodi ndiyo maana yanafungwa vifungo vya nje.Hii hukumu imetolewa kimihemuko sana, yani kifungo Cha maisha kwa kumpiga mtu mtungo?? Au ndio janja janja ili baadae wakate rufaa waachiwe huru? Vipi kuhusu afande aliewatuma??
Hizi hukumu wapigeni na mafisadi na wezi wa Mali za umma, sio walala hoi/watoto wa kimasikini ( walevi wa bange) mnawapiga mvua ya mawe alafu mafisadi wanapewa vifungo vya nje.
Hii niko sure hazikosekani irregularities tena zinazogusa core issues kabisa.Hii ngoma ikifika Court of Appeal lazima tufurahi kule kama kuna ka procedure kalivurundwa huku chini hawapepesi macho.
Binafsi naungana na wajeda kina nyundo co company.Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma, imewahukumu kifungo cha maisha gerezani washtakiwa wanne maarufu ‘waliotumwa na afande’, baada ya kuwatia hatiani kwa kosa la kubaka kwa kundi na kumwingilia kinyume cha maumbile binti, mkazi wa Yombo Dovya, jijini Dar es Salaam.
Ni katika kesi ya jinai namba 23476 ya mwaka 2024 iliyokuwa inawakabili washtakiwa hao akiwamo MT 140105 Clinton Damas, maarufu Nyundo ambaye ni askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), askari Magereza C.1693 Praygod Mushi, Nickson Jackson ‘Machuche’ na Amin Lema anayejulikana pia kwa jina la Kindamba.
Hukumu hiyo imetolewa leo Jumatatu, Septemba 30, 2024. Pia, Mahakama hiyo imewataka kila mmoja kumlipa binti huyo fidia ya Sh1 milioni.
Pia soma
Ungeuliza uelimishwe ingekusaidia sana wakati mwengine. Ila labda tu hawa jamaa wasikate rufaa tu.Bush lawyer unachekesha...hiyo imeisha hawachomoki hao sahau.
Huenda Kuna mianya ya kisheria ameachwa ili wakikata rufaa washinde, kama akina Sabayq walivyofanyaWasije kuchomoka kwenye rufaa tu.
Kwahiyo hii hukumu ya kifungo cha maisha Leo ni fake?Hii kesi Bado haijaisha mkuu mahakama imesema inazid kukusanya ushaid na wanaweza kwenda jela ama kurud uraiani
Chunda Badi mujahideen 😊Milioni 1 kila mmoja ni milioni 4 tu. Mie sitoagi mzigo kwa bei hiyo. CHINI SANA
Unataka kusema Nini unazungumzia haki gani za MALAYA.Haki haijatendeka kama Afande aliewatuma anaachwa hivi hivi
Alimbaka nani huyo ole lengai?Nakukumbusheni OLE LENGAI yupo NJE ANA ENJOY UHURU WAKEFULLY
Kwani unauza nini dada ?Milioni 1 kila mmoja ni milioni 4 tu. Mie sitoagi mzigo kwa bei hiyo. CHINI SANA
Tatizo ni umri wa binti.Chini ya miaka 18 hata alikuuzia inahesabika umebaka.Unataka kusema Nini unazungumzia haki gani za MALAYA.
Malaya kazi yake ndio Ile aliyo kua anaifanya.
Ila TU msije kusema Mimi ndio F.KIGONDO ama afande nyundo 😊
Huyu afande aliyewatuma bado haki haijatendeka. TunasubiriHatimaye haki imepatikana kwa binti huyo aliyefanyiwa unyama. Afande aliyewatuma hatma yake ni ipi?