Nyundo na wenzake wakutwa na hatia, wahukumiwa kifungo cha Maisha Jela
Hii hukumu imetolewa kimihemuko sana, yani kifungo Cha maisha kwa kumpiga mtu mtungo?? Au ndio janja janja ili baadae wakate rufaa waachiwe huru? Vipi kuhusu afande aliewatuma??

Hizi hukumu wapigeni na mafisadi na wezi wa Mali za umma, sio walala hoi/watoto wa kimasikini ( walevi wa bange) mnawapiga mvua ya mawe alafu mafisadi wanapewa vifungo vya nje.
Mafisadi siyo majinga ya kujirekodi ndiyo maana yanafungwa vifungo vya nje.
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma, imewahukumu kifungo cha maisha gerezani washtakiwa wanne maarufu ‘waliotumwa na afande’, baada ya kuwatia hatiani kwa kosa la kubaka kwa kundi na kumwingilia kinyume cha maumbile binti, mkazi wa Yombo Dovya, jijini Dar es Salaam.

Ni katika kesi ya jinai namba 23476 ya mwaka 2024 iliyokuwa inawakabili washtakiwa hao akiwamo MT 140105 Clinton Damas, maarufu Nyundo ambaye ni askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), askari Magereza C.1693 Praygod Mushi, Nickson Jackson ‘Machuche’ na Amin Lema anayejulikana pia kwa jina la Kindamba.

Hukumu hiyo imetolewa leo Jumatatu, Septemba 30, 2024. Pia, Mahakama hiyo imewataka kila mmoja kumlipa binti huyo fidia ya Sh1 milioni.

Pia soma
Binafsi naungana na wajeda kina nyundo co company.

Hawajatendewa haki wakate rufaa ...
Kinacho sikitisha mmomonyoko wa maadili kwenye jamii mfano ukitembelea temeke na viunga vyake utakutana na ma DALADALA yamekodiwa na wanawake wakicheza kwa kukata MAUNO au WOWOWO madirishani bila wasiwasi KABISA.

Ukichunguza kwa umakini unagundua wanakua wamelewa kwa bange,ugolo,pombe na vilevi vikali vikali

Ndio hao hao MALAYA wanao jiuza humo mabarabarani na kwenye mitandao mbali mbali..
 
Tunashukuru mahakama kwa hatua njema!

Wasiwasi wa walio wengi ni utekekezwaji wa hukumu ile!

Kwamba je ni kweli hao vijana watafungwa maisha gerezani au inje ya gereza?

Wamehukumumiwa kwa kubaka, je aliyewatuma hatima yake ikoje?

Au ushahidi hautoshi kumtia hatiani mtuhumiwa? Kwamba hakuwatuma bali zile zilikuwa nyrge zao tu wale vijana?
 
Back
Top Bottom