Nywele bandia: Je ni mvuto, au kudharau uafrika?

Nywele bandia: Je ni mvuto, au kudharau uafrika?

Tatizo ufaham wa mleta mada ni mdogo sana,kwa nini usiulize mbona wazungu nao wanaweka dawa!!nyie wanaume ni tamaa zenu zinawaponza ila kwa mwanamke yeye ameumbwa na mwezi mungu akiwa kama uwa la hii dunia na mungu alijua lazima tujirembe!
Vitabu vya dini vinawataka wanawake wajipambe na sio kujirekebisha na kukosoa uumbaji wa mungu, nyie wanawake weusi mnajikarabati hamjipambi wala kujiremba. Kwa Mfano, hivi unadhani kila mwanaume anapenda mwanamke anayetumia nywele bandia? au unadhani kila mwanaume anapenda mwanamke mweupe? haijalishi weupe wa asili au wa kujikwangua ila si kila mwanaume atapenda. la muhimu ni kujikubali ulivyo, hakika yupo aliye kwa ajili yako na atavutiwa kwa namna ulivyo hata kama unasuka twende kilioni kupaka mafuta nazi au nyonyo!
 
utumwa wa kutaka kufanana na flani tu huo hamna la maana
 
Mi hata demu wangu namsifiaga baaas tu lakin hii minywele siipend inanikera sana
 
Hiii ilianza toka enzi ya mkoloni ,thumuni lake ilikuwa kumtawala muafrika katika kila hali, kiuchumi , kiiimani, kielemu na kisiasa, hivyo walianzisha mipamngo mbali mbali ambayo walipandikisha kwa waafrika na wao wakapokea kama walivyo pandikozwa nawakoloni, ndiomaana hata leo dini za kiafrika zinaitwa imani potovu ili hali dini za wageni ni dini halali nk,

Assimilation policy iliyoletwa na wafarasa ndio ilikuwa ikiwabadili waafrika hadi kwenye muonekano wa mavazi kutembea na hapo ndio mfumo wa waafrika kubadili hadi uhalisia wa nywele zao vipili pili na kuweka dawa ziwe kama wazungi, kwa wanawake na wanaume walikuwa na style fulani yakuchana nywele zao kwakuacha njia pembeni ya kichwa (way)

Basi mambo ndio yameendelea hapo hadi leo tunaishi katika mfumo wa mkoloni japo tunapata elimu mahuleni juu ya kuporomoka kwa utamaduni wa uafrika wetu lakini chakushangaza elimu tunayopata ndio kabisa tunakimbilia kwenye tamaduni za watu weupe...
 
Mi hata demu wangu namsifiaga baaas tu lakin hii minywele siipend inanikera sana

Sasa, mkuu umewahi kumuuliza au kumuleza kuwa wewe unahitaji awe kiafrika asili sana ama waona so?
 
Ni biashara tu ,kwa taarifa yako hata wazungu wanavaa mawigi na wanashonea pia brazilian hair,

sasa tuseme kuwa ni biashara tu??
Ama ni kutojikubali kuwa waafrika wanawake ni warembo/walimbwende na wanaume ni watanashati bila hayo madikodiko ya nywele za kubandika na kuzirefusha?
 
Hiii ilianza toka enzi ya mkoloni ,thumuni lake ilikuwa kumtawala muafrika katika kila hali, kiuchumi , kiiimani, kielemu na kisiasa, hivyo walianzisha mipamngo mbali mbali ambayo walipandikisha kwa waafrika na wao wakapokea kama walivyo pandikozwa nawakoloni, ndiomaana hata leo dini za kiafrika zinaitwa imani potovu ili hali dini za wageni ni dini halali nk,

Assimilation policy iliyoletwa na wafarasa ndio ilikuwa ikiwabadili waafrika hadi kwenye muonekano wa mavazi kutembea na hapo ndio mfumo wa waafrika kubadili hadi uhalisia wa nywele zao vipili pili na kuweka dawa ziwe kama wazungi, kwa wanawake na wanaume walikuwa na style fulani yakuchana nywele zao kwakuacha njia pembeni ya kichwa (way)

Basi mambo ndio yameendelea hapo hadi leo tunaishi katika mfumo wa mkoloni japo tunapata elimu mahuleni juu ya kuporomoka kwa utamaduni wa uafrika wetu lakini chakushangaza elimu tunayopata ndio kabisa tunakimbilia kwenye tamaduni za watu weupe...

Sawa, mkuu nimekuelewa sana, sasa je kuna uwezekano wa kurudisha uafrika wetu tena na waona tutumie njia ipi aisee?
 
Sasa, mkuu umewahi kumuuliza au kumuleza kuwa wewe unahitaji awe kiafrika asili sana ama waona so?
Naonaga soo tu acha ajimwaye siku nikitaka kumweka ndani ntampa masharit sio vizur kumkatisha
Mtu starehe anazo zpenda thn baadae umpige chin
 
Vitabu vya dini vinawataka wanawake wajipambe na sio kujirekebisha na kukosoa uumbaji wa mungu, nyie wanawake weusi mnajikarabati hamjipambi wala kujiremba. Kwa Mfano, hivi unadhani kila mwanaume anapenda mwanamke anayetumia nywele bandia? au unadhani kila mwanaume anapenda mwanamke mweupe? haijalishi weupe wa asili au wa kujikwangua ila si kila mwanaume atapenda. la muhimu ni kujikubali ulivyo, hakika yupo aliye kwa ajili yako na atavutiwa kwa namna ulivyo hata kama unasuka twende kilioni kupaka mafuta nazi au nyonyo!

Sasa, Mkwawe, tutumie njia ipi kurudia asili yetu aisee?
 
Naonaga soo tu acha ajimwaye siku nikitaka kumweka ndani ntampa masharit sio vizur kumkatisha
Mtu starehe anazo zpenda thn baadae umpige chin
SAWA, MKUU. nimekupata, na kila la kheli kwa ndoa. Asante.
 
ngoja tuone hii mada itaishia wapi.. japo inaonekana sio pazuri
 
Hiyo percent ya 95 umeipata wapi?, hata ukiangalia kiuhalisia sio kweli
Umenena vyema mkuu. Maana asilimia zaid ya 60 ya waafrika wanaish vijijini. Na huko village ni wachache wenye muda au uwezo wa kuhangaika na hizo nywele. Utabandika ukalime?
 
Mi mama toka mdogo ananiambia asilimia 90 wanawake wakijiremba wanajiremba kwa ajili ya kwake mwenyewe sio kwa ajili ya mtu..ndo walivoumbwa kwaiyo huo urembo wao haukuhusu
 
  • Thanks
Reactions: kui
ok, kwa hiyo hivyo ni kuwa kama wazungu au ni urembo?
Mimi urembo Wa nywele bandia naupiga vita Kali. Eti utamuona mwanadada anazichezea chezea Mara sioni, Mara usoni mmh. Joto Kali zigo la fake hair kichwani.
 
Mimi urembo Wa nywele bandia naupiga vita Kali. Eti utamuona mwanadada anazichezea chezea Mara sioni, Mara usoni mmh. Joto Kali zigo la fake hair kichwani.
sasa mkuu, tuchukue hatua gani kunasua watu wetu/afrika yetu?
 
Back
Top Bottom