Nywele bandia: Je ni mvuto, au kudharau uafrika?

Nywele bandia: Je ni mvuto, au kudharau uafrika?

Hizi biashara za kuongeza nywele ziko zaidi mbele kuliko hata hapa,nywele wengine wana matatizo nywele chache,hazikui,zinakatika nk Kwahyo mtu anajazia na extensions,
Bongo tatzo aina ya nywele baadhi ya watumiaji wanaweka haziendani na nywele zao,wengi wetu tuna texture flani ya nywele ngumu hivo kuna maweaving ya kuendana na African hair lakini watu hawataki wanakomaa na kama yale ya wazungu yaliyo laini sana
MI mteja wa extension naongeza urefu and hazitofautiani na nywele yangu,pipo think nna nywele ndefuuu, mana nywele bila extension bana unasukaa wee miaka hazifikii urefu unaotaka
Baadhi ya watu wamejaliwa ndefu bila struggle
Wadada tu wajitahidi kuweka aina zinazoendana na wao,na zikiwa ndeeefu sana ts obvious u look fake hence mi naona hupendezi,enewei
 
Atleast some hair to drop past my shoulders,sasa unakuta nywele mtu kasuka iko kwenye t.ako lohh
Kuliko fake wig/weave naonaga bora tu mtu unyoe low cut flani hivi au ubane bun au any simple style
 
Napenda sana dreadslocks.....
 

Attachments

  • images-24.jpeg
    images-24.jpeg
    6.2 KB · Views: 83
  • images-15.jpeg
    images-15.jpeg
    4.2 KB · Views: 77
  • images-11.jpeg
    images-11.jpeg
    8.6 KB · Views: 86
  • images-19.jpeg
    images-19.jpeg
    7.9 KB · Views: 79
  • images-16.jpeg
    images-16.jpeg
    4.5 KB · Views: 80
  • images-8.jpeg
    images-8.jpeg
    9.9 KB · Views: 86
  • images-5.jpeg
    images-5.jpeg
    8 KB · Views: 95
Hiii ilianza toka enzi ya mkoloni ,thumuni lake ilikuwa kumtawala muafrika katika kila hali, kiuchumi , kiiimani, kielemu na kisiasa, hivyo walianzisha mipamngo mbali mbali ambayo walipandikisha kwa waafrika na wao wakapokea kama walivyo pandikozwa nawakoloni, ndiomaana hata leo dini za kiafrika zinaitwa imani potovu ili hali dini za wageni ni dini halali nk,

Assimilation policy iliyoletwa na wafarasa ndio ilikuwa ikiwabadili waafrika hadi kwenye muonekano wa mavazi kutembea na hapo ndio mfumo wa waafrika kubadili hadi uhalisia wa nywele zao vipili pili na kuweka dawa ziwe kama wazungi, kwa wanawake na wanaume walikuwa na style fulani yakuchana nywele zao kwakuacha njia pembeni ya kichwa (way)

Basi mambo ndio yameendelea hapo hadi leo tunaishi katika mfumo wa mkoloni japo tunapata elimu mahuleni juu ya kuporomoka kwa utamaduni wa uafrika wetu lakini chakushangaza elimu tunayopata ndio kabisa tunakimbilia kwenye tamaduni za watu weupe...
Kwa hili la nywele bandia za kizungu wameshatushika pabaya. Kila mdada nawaza kutumia hizo nywele ili kunogesha muonekano wa mwanadada.
 
mtu mwenye pesa anaipa roho yake kile anachokitaka...mbona wazungu wanaweka makalio kama ya mwaafrica....tena anajichana mwili kabisa, sembuse sisi! pesa pesa!
 
Waliotawaliwa na wafaransa kuna kitu inaitwa assimilation policy mtoa Uzi kasome tujiridhishe ndio uje hpa
 
sasa mkuu tutaweza kuubadili upepo kweli na tutumie mbinu gani aisee?
each one must teach one kinachotakiwa ni sisi wanaume kuwashauri dada zetu na wapenzi wetu juu ya uzuri wa nywele zao original, wahenga walisema akili ni nywele kila mtu ana zake.. sasa hao wanaoziazima akili za wenzao wanahitaji ufunuo wa ziada
 
Kwa hili la nywele bandia za kizungu wameshatushika pabaya. Kila mdada nawaza kutumia hizo nywele ili kunogesha muonekano wa mwanadada.

Kuna baadhi ya hizi nywele kwa kweli wanawake wanaweka kichwani..... Zinamfanya mtu kuonekana mzee zaidi na sio mrembo. Sometimes msichana anaonekana older than her age. Sio nywele zote zinanogesha muonekano wa mwanadada.
 
JIBU FUPI NI KWAMBA, HIYO NDIYO TOFAUTI YA MWANAMKE NA MWANAUME ILIPO
Duuh, sasa na wanaume wanao refusha nywere kwa dawa mkuu inakuwaje hapo aisee??? mmmh!!
 
Wangejua mm ninavyo zichukia,,,,, kwanza 'n feki na 'n bandia,, nazo zifungiwe tuuu maana Zina ficha vichwa vya watu mpaka tuna shindwa kuchagua wake wa kuoa,,, aaaah.
 
Wangejua mm ninavyo zichukia,,,,, kwanza 'n feki na 'n bandia,, nazo zifungiwe tuuu maana Zina ficha vichwa vya watu mpaka tuna shindwa kuchagua wake wa kuoa,,, aaaah.

Haaa haaaa, mkuu mi nimekusoma. Daah, sasa kabla ya kuwafungia je hakuna namna ya kuwasaidia wabadilike?
 
Waliotawaliwa na wafaransa kuna kitu inaitwa assimilation policy mtoa Uzi kasome tujiridhishe ndio uje hpa

Tena ungejua, niko hukuhuku kwao nakula nao restaurant/hotel moja kila siku, na nimesoma nao nafanya nao kazi wafaransa, na waafrika wenyewe kwa hiyo nawafahamu vizuri na hiyo

Assimilation Policy uliyotaja BADO HUKUTAJA HATUA [POLICY] ZINGINE TATU {3} maana ziko policy nne kwa ujumla}
Kasome tena au zitafute na wewe uelewe kuwa bado unahitaji kujifunza zaidi tena kila siku.

[Therefore, I know their in and out]


Mimi hapa jambo ni moja tu kuwa kwa nini tunashindwa kuwa sisi na kuigiza mambo haya hadi nywele, hadi wanaume kurefusha nywele? ,
 
Wangejua mm ninavyo zichukia,,,,, kwanza 'n feki na 'n bandia,, nazo zifungiwe tuuu maana Zina ficha vichwa vya watu mpaka tuna shindwa kuchagua wake wa kuoa,,, aaaah.

Daah, mkuu sasa tuwasaidiaje ili waache hiyo?
 
Nashukuru hakuna mwanamke katika familia yetu anayetumia hayo madude,am proud of that.
Tatizo hili ni kubwa kuliko weaving na ma extensions iahu ni kwamba tumejengewa fikra tokea utotoni kuwa wazungu na tamaduni zao ni borakuliko sisi watu weusi,tunajidharau sana na kuona vya kwetu nivibovu na vya kishamba.kuanzia lugha mavazi mpaka vyakula.inasikitisha sana
 
Kuna baadhi ya hizi nywele kwa kweli wanawake wanaweka kichwani..... Zinamfanya mtu kuonekana mzee zaidi na sio mrembo. Sometimes msichana anaonekana older than her age. Sio nywele zote zinanogesha muonekano wa mwanadada.

Haaa haaaa acha mi nijichekeee, kwanza nitarudi tena,,,
eti wengine wanakuwa wazeeee zaidi badala ya kuwa warembo!!

Sasa, tuwasaidieje ili waache?
 
Back
Top Bottom