Nashukuru hakuna mwanamke katika familia yetu anayetumia hayo madude,am proud of that.
Tatizo hili ni kubwa kuliko weaving na ma extensions iahu ni kwamba tumejengewa fikra tokea utotoni kuwa wazungu na tamaduni zao ni borakuliko sisi watu weusi,tunajidharau sana na kuona vya kwetu nivibovu na vya kishamba.kuanzia lugha mavazi mpaka vyakula.inasikitisha sana
Hizi biashara za kuongeza nywele ziko zaidi mbele kuliko hata hapa,nywele wengine wana matatizo nywele chache,hazikui,zinakatika nk Kwahyo mtu anajazia na extensions,
Bongo tatzo aina ya nywele baadhi ya watumiaji wanaweka haziendani na nywele zao,wengi wetu tuna texture flani ya nywele ngumu hivo kuna maweaving ya kuendana na African hair lakini watu hawataki wanakomaa na kama yale ya wazungu yaliyo laini sana
MI mteja wa extension naongeza urefu and hazitofautiani na nywele yangu,pipo think nna nywele ndefuuu, mana nywele bila extension bana unasukaa wee miaka hazifikii urefu unaotaka
Baadhi ya watu wamejaliwa ndefu bila struggle
Wadada tu wajitahidi kuweka aina zinazoendana na wao,na zikiwa ndeeefu sana ts obvious u look fake hence mi naona hupendezi,enewei
Tena ungejua usingesema au kuandikahivyo ulivyoandikaa hapa.Hehehe!, nawashangaa haswa!
Pilipili ya shamba...
Familia yangu ya kawaida tu ila haina ushamba wa kuiga vitu vya magharibi.Natamani, nione familia yako [yenu] aisee.
Sasa hawa wengine tunawasaidiaje sasa?
Haaa haaaa acha mi nijichekeee, kwanza nitarudi tena...... eti wengine wanakuwa wazeeee zaidi badala ya kuwa warembo!!
Sasa, tuwasaidieje ili waache?
Familia yangu ya kawaida tu ila haina ushamba wa kuiga vitu vya magharibi.
Mwarubaini wa hili swala ni kuwapo na mapinduzi ya kifikra.kufanyike kampeni endelevu ya kujifunza,kuzienzi na kuzipenda tamaduni,mila na asili yetu(zile mila nzuri tu).Viongozi,Wasanii wetu na watu wenye majina na heshima katika jamii wawe wakwanza kuonyesha kwa vitendo kuenzi tamaduni zetu.
Nywele zozote zikitunzwa vizuri bila hata kuziwekea kemikali ama viunganishi bandia hupendeza na kuvutia.tuwape moyo na kuwafunza wanetu,wake zetu na dada zetu wazitunze na kuzibakisha nywele zao katika asili yake.[/QUOTE
Familia yangu ya kawaida tu ila haina ushamba wa kuiga vitu vya magharibi.
Mwarubaini wa hili swala ni kuwapo na mapinduzi ya kifikra.kufanyike kampeni endelevu ya kujifunza,kuzienzi na kuzipenda tamaduni,mila na asili yetu(zile mila nzuri tu).Viongozi,Wasanii wetu na watu wenye majina na heshima katika jamii wawe wakwanza kuonyesha kwa vitendo kuenzi tamaduni zetu.
Nywele zozote zikitunzwa vizuri bila hata kuziwekea kemikali ama viunganishi bandia hupendeza na kuvutia.tuwape moyo na kuwafunza wanetu,wake zetu na dada zetu wazitunze na kuzibakisha nywele zao katika asili yake.
Nimependa hayo maelezo yako. asante.
On a serious note......Fanya tuu random sampling kwa wadada/wanawake unaokutana nao..... Mpaka wiki hii inaisha then lete mrejesho..... kuna ambao wamevaa/ wamesuka hayo manywele na wanaonekana ni wazee kuliko umri wao halisi.....
On a serious note......Fanya tuu random sampling kwa wadada/wanawake unaokutana nao..... Mpaka wiki hii inaisha then lete mrejesho..... kuna ambao wamevaa/ wamesuka hayo manywele na wanaonekana ni wazee kuliko umri wao halisi.....
...Tena, usiombe ukakutana na watoto ambao ni 5 years to 15 years hapo utaiiona dunia ni chungu.
Pole sana aiseee.
Watanifanya nini hao watoto mkuu?!..
N'wayz, nashukuru kwa pole nlishapoa.
Mhhhh kina nani hao,bongo Flava na bongo movies ladies wooote wanaeka malace wig na kusuka rasta,wabunge, watangazaji nkFamilia yangu ya kawaida tu ila haina ushamba wa kuiga vitu vya magharibi.
Mwarubaini wa hili swala ni kuwapo na mapinduzi ya kifikra.kufanyike kampeni endelevu ya kujifunza,kuzienzi na kuzipenda tamaduni,mila na asili yetu(zile mila nzuri tu).Viongozi,Wasanii wetu na watu wenye majina na heshima katika jamii wawe wakwanza kuonyesha kwa vitendo kuenzi tamaduni zetu.
Nywele zozote zikitunzwa vizuri bila hata kuziwekea kemikali ama viunganishi bandia hupendeza na kuvutia.tuwape moyo na kuwafunza wanetu,wake zetu na dada zetu wazitunze na kuzibakisha nywele zao katika asili yake.
Kuna kipicha umeona mbuni akinyofoa wingi/nywele bandiko ya mwanamke sasa watoto saizi hiyo watakuwa wanazivutia juu kuona kama zako ama umebandika. na baada ya hapo utaona mtaa ni mchungu kutembea aiseee
afurahi siku hz kuna baadhi ya watu weusi tumeanza kujitambua na kujua udhalimu wa white supremacy.tunaenda taratibu tutafika tuu.Nashukuru hakuna mwanamke katika familia yetu anayetumia hayo madude,am proud of that.
Tatizo hili ni kubwa kuliko weaving na ma extensions iahu ni kwamba tumejengewa fikra tokea utotoni kuwa wazungu na tamaduni zao ni borakuliko sisi watu weusi,tunajidharau sana na kuona vya kwetu nivibovu na vya kishamba.kuanzia lugha mavazi mpaka vyakula.inasikitisha sana
n
afurahi siku hz kuna baadhi ya watu weusi tumeanza kujitambua na kujua udhalimu wa white supremacy.tunaenda taratibu tutafika tuu.[/QUOTE
hapo safi je, mawazo yako juu ya hizo nywele ni yapi? je nwele hizo ni nzuri ama wewe waona vipi?
binafsi sizipendi,napenda mtu aikubali race yake.kuweka nywele za bandia ni kuibeza race ya mwafrika.tuige yenye manufaa na yasiyo na manufaa tuachane nayo.naona mwanamke anavutia zaid akivipamba/akiviremba vtu vyake natural kuliko kubandika kitu cha bandia cha kuiga kutoka kwenye jamii ya rangi nyingine.pia nahisi mwanamke ambaye yupo natural kiasi flani ni anayejielewa sana kuliko mwanamke ambaye yupo fake almost kwenye kila kitu.hapo safi,