SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Hawa watu ni washirikina hadi unaenda chooni kusaliAsante kwa kujibu, unataka kusema wanachoandika humu ndicho wanachofanya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa watu ni washirikina hadi unaenda chooni kusaliAsante kwa kujibu, unataka kusema wanachoandika humu ndicho wanachofanya?
Mwanamke ndiye ajiheshimu ! Mwanaume je? Kwahiyo hata asiejielewa ila mke awe anajiheshimu basi, mwanamke ndiye muhitaji wa ndoa peke, yaani watu ni wabnafsi hasa wewe!Kabisa ,mwanamke anayejiheshimu ndoa itadumu.
Mwanamke ndiye ajiheshimu ! Mwanaume je? Kwahiyo hata asiejielewa ila mke awe anajiheshimu basi, mwanamke ndiye muhitaji wa ndoa peke, yaani watu ni wabnafsi hasa wewe!
Mwanamke ndiye ajiheshimu ! Mwanaume je? Kwahiyo hata asiejielewa ila mke awe anajiheshimu basi, mwanamke ndiye muhitaji wa ndoa peke, yaani watu ni wabnafKabisa ,mwanamke anayejiheshimu ndoa itadumu.
Endelea tu kumnyanyasa mkeo, siku akichoka ndiyo utamjua mwanamke hanaga kugeuka nyumaimeandikwa mwanamke mpumbavu huivunja ndoa kwa mikono yake mwenyewe.
Somo amepewa zaidi mwanamke maana ni rahisi sana kudanganyika.
Mbona umebonyoka bonyoka mremboHofu ipi unaizungumzia na huku ndani mmejaa mijianaume mi nafki , michovu , mizee na michawi hata shetani anawaogopa ndio nani awape mwanamke mwenye hofu , ushindwe ulegee usituchoshe unachart na mtu anakulia timing tu atafaidika nanini humu nawashangaa ga watu wanasema na tafuta mume humu wehu tu
Hili kimba la aina hii liko kigamboni halitaki ndugu wa mume shitHatakisikianduguzakoo wala wazazi wakoo
Utaimbaa pooooooo utase a hili Kimbolaaaa nimelipata wapi
Weka herufi kubwaAcheni kujidanganya nyie hakuna cha hofu ya Mungu wala nini binadamu akiamua kugeuka atageuka tu!, si Mungu si shetani atamsimamia binadamu ni utashi wake binafsi leo anaweza kusema ndio kesho anaweza kusema sio!.
Kama unaoana na mtu kisa anahofu ya kitu fulani basi jua bado unasafari ndefu!, maana hofu ya hicho kitu ikiondoka utasaga meno!.
Kwa kiumbe kinachoitwa binadamu hakuna kitu permanent siri ya vitu anavyovitaka yeye maishani ni siri yake tu!.
Ishini mguu ndani mguu nje, mkifanikisha malengo yeni hiyo ni heri kwenu.
Ukweli ambao hamtaki kuusikia ni huu "Binadamu hababaishwi na kitu kinachoitwa hofu ya Mungu, akiamua ku kengeuka atakengeuka tu".
JAmani ni kweliMbona umebonyoka bonyoka mrembo
Mwenye hofu ya Mungu ila anamwamin mchungaji than his husbandOlder mnaokimbiliaa ndoa
Bora uchelewe kuoa ukimwomba Mungu akupe mwenye hofu yake
Mwanamke pekee atakayeishi kwa upendo nidhamu na hekima
Ni yule aliye na hofu na Mungu
Haya makanjanjaaa yamejazana ibdan yanaotea kama betting usijichanganye kizembee utakufaà
Ukishayaoaa yanageuka kuwa mbwa mwitu mpendwa acha tu
Acheni kujidanganya nyie hakuna cha hofu ya Mungu wala nini binadamu akiamua kugeuka atageuka tu!, si Mungu si shetani atamsimamia binadamu ni utashi wake binafsi leo anaweza kusema ndio kesho anaweza kusema sio!.
Kama unaoana na mtu kisa anahofu ya kitu fulani basi jua bado unasafari ndefu!, maana hofu ya hicho kitu ikiondoka utasaga meno!.
Kwa kiumbe kinachoitwa binadamu hakuna kitu permanent siri ya vitu anavyovitaka yeye maishani ni siri yake tu!.
Ishini mguu ndani mguu nje, mkifanikisha malengo yeni hiyo ni heri kwenu.
Ukweli ambao hamtaki kuusikia ni huu "Binadamu hababaishwi na kitu kinachoitwa hofu ya Mungu, akiamua ku kengeuka atakengeuka tu".
Well saidOlder mnaokimbiliaa ndoa
Bora uchelewe kuoa ukimwomba Mungu akupe mwenye hofu yake
Mwanamke pekee atakayeishi kwa upendo nidhamu na hekima
Ni yule aliye na hofu na Mungu
Haya makanjanjaaa yamejazana ibdan yanaotea kama betting usijichanganye kizembee utakufaà
Ukishayaoaa yanageuka kuwa mbwa mwitu mpendwa acha tu
Yaan humu mwanaume anakuja maishani mwako ili atambue historia ya maisha yako tu.I mean kukuchora...Hofu ipi unaizungumzia na huku ndani mmejaa mijianaume mi nafki , michovu , mizee na michawi hata shetani anawaogopa ndio nani awape mwanamke mwenye hofu , ushindwe ulegee usituchoshe unachart na mtu anakulia timing tu atafaidika nanini humu nawashangaa ga watu wanasema na tafuta mume humu wehu tu
Eh iko kama maana wanachosha na wanakubadilishia maisha yao yashida wanachukua yakwako ya raha na wao ndio wanamitaji badala wakusaidie wanakumaliza kabisa ila ipo siku nawaanika na maovu yaoYaan humu mwanaume anakuja maishani mwako ili atambue historia ya maisha yako tu.I mean kukuchora...
Sijui huenda wananufaika na hizo data zako
HakikaEh iko kama maana wanachosha na wanakubadilishia maisha yao yashida wanachukua yakwako ya raha na wao ndio wanamitaji badala wakusaidie wanakumaliza kabisa ila ipo siku nawaanika na maovu yao
Umeona eee yeye awe chaupele, eti mke awe na hofu ya MUNGU? Mwisho wa siku mke ataitwa mchawi na ndugu zakeHofu ya mungu inaanza kwako wewe kichwa cha familia.
Kila mtu na apewe wa kufanana naeUmeona eee yeye awe chaupele, eti mke awe na hofu ya MUNGU? Mwisho wa siku mke ataitwa mchawi na ndugu zake