Oa Mwanamke mwenye hofu ya Mungu, vinginevyo utateseka

Oa Mwanamke mwenye hofu ya Mungu, vinginevyo utateseka

Kabisa ,mwanamke anayejiheshimu ndoa itadumu.
Mwanamke ndiye ajiheshimu ! Mwanaume je? Kwahiyo hata asiejielewa ila mke awe anajiheshimu basi, mwanamke ndiye muhitaji wa ndoa peke, yaani watu ni wabnafsi hasa wewe!
 
Mwanamke ndiye ajiheshimu ! Mwanaume je? Kwahiyo hata asiejielewa ila mke awe anajiheshimu basi, mwanamke ndiye muhitaji wa ndoa peke, yaani watu ni wabnafsi hasa wewe!

imeandikwa mwanamke mpumbavu huivunja ndoa kwa mikono yake mwenyewe.

Somo amepewa zaidi mwanamke maana ni rahisi sana kudanganyika.
 
Kabisa ,mwanamke anayejiheshimu ndoa itadumu.
Mwanamke ndiye ajiheshimu ! Mwanaume je? Kwahiyo hata asiejielewa ila mke awe anajiheshimu basi, mwanamke ndiye muhitaji wa ndoa peke, yaani watu ni wabnaf
imeandikwa mwanamke mpumbavu huivunja ndoa kwa mikono yake mwenyewe.

Somo amepewa zaidi mwanamke maana ni rahisi sana kudanganyika.
Endelea tu kumnyanyasa mkeo, siku akichoka ndiyo utamjua mwanamke hanaga kugeuka nyuma
 
Hofu ipi unaizungumzia na huku ndani mmejaa mijianaume mi nafki , michovu , mizee na michawi hata shetani anawaogopa ndio nani awape mwanamke mwenye hofu , ushindwe ulegee usituchoshe unachart na mtu anakulia timing tu atafaidika nanini humu nawashangaa ga watu wanasema na tafuta mume humu wehu tu
Mbona umebonyoka bonyoka mrembo
 
Hatakisikianduguzakoo wala wazazi wakoo

Utaimbaa pooooooo utase a hili Kimbolaaaa nimelipata wapi
Hili kimba la aina hii liko kigamboni halitaki ndugu wa mume shit

Huku kila tukifungua.status tunaouta mistari ya biblia na nyimbo za injili.
 
Acheni kujidanganya nyie hakuna cha hofu ya Mungu wala nini binadamu akiamua kugeuka atageuka tu!, si Mungu si shetani atamsimamia binadamu ni utashi wake binafsi leo anaweza kusema ndio kesho anaweza kusema sio!.

Kama unaoana na mtu kisa anahofu ya kitu fulani basi jua bado unasafari ndefu!, maana hofu ya hicho kitu ikiondoka utasaga meno!.
Kwa kiumbe kinachoitwa binadamu hakuna kitu permanent siri ya vitu anavyovitaka yeye maishani ni siri yake tu!.
Ishini mguu ndani mguu nje, mkifanikisha malengo yeni hiyo ni heri kwenu.

Ukweli ambao hamtaki kuusikia ni huu "Binadamu hababaishwi na kitu kinachoitwa hofu ya Mungu, akiamua ku kengeuka atakengeuka tu".
Weka herufi kubwa
 
Older mnaokimbiliaa ndoa

Bora uchelewe kuoa ukimwomba Mungu akupe mwenye hofu yake

Mwanamke pekee atakayeishi kwa upendo nidhamu na hekima

Ni yule aliye na hofu na Mungu

Haya makanjanjaaa yamejazana ibdan yanaotea kama betting usijichanganye kizembee utakufaà

Ukishayaoaa yanageuka kuwa mbwa mwitu mpendwa acha tu
Mwenye hofu ya Mungu ila anamwamin mchungaji than his husband
 
Acheni kujidanganya nyie hakuna cha hofu ya Mungu wala nini binadamu akiamua kugeuka atageuka tu!, si Mungu si shetani atamsimamia binadamu ni utashi wake binafsi leo anaweza kusema ndio kesho anaweza kusema sio!.

Kama unaoana na mtu kisa anahofu ya kitu fulani basi jua bado unasafari ndefu!, maana hofu ya hicho kitu ikiondoka utasaga meno!.
Kwa kiumbe kinachoitwa binadamu hakuna kitu permanent siri ya vitu anavyovitaka yeye maishani ni siri yake tu!.
Ishini mguu ndani mguu nje, mkifanikisha malengo yeni hiyo ni heri kwenu.

Ukweli ambao hamtaki kuusikia ni huu "Binadamu hababaishwi na kitu kinachoitwa hofu ya Mungu, akiamua ku kengeuka atakengeuka tu".


Fraud ❌
 
Keep focusing on money, food and hobbies. Marriage is a scam
 
Older mnaokimbiliaa ndoa

Bora uchelewe kuoa ukimwomba Mungu akupe mwenye hofu yake

Mwanamke pekee atakayeishi kwa upendo nidhamu na hekima

Ni yule aliye na hofu na Mungu

Haya makanjanjaaa yamejazana ibdan yanaotea kama betting usijichanganye kizembee utakufaà

Ukishayaoaa yanageuka kuwa mbwa mwitu mpendwa acha tu
Well said
 
Hofu ya mungu inaanza kwako wewe kichwa cha familia.
 
Hofu ipi unaizungumzia na huku ndani mmejaa mijianaume mi nafki , michovu , mizee na michawi hata shetani anawaogopa ndio nani awape mwanamke mwenye hofu , ushindwe ulegee usituchoshe unachart na mtu anakulia timing tu atafaidika nanini humu nawashangaa ga watu wanasema na tafuta mume humu wehu tu
Yaan humu mwanaume anakuja maishani mwako ili atambue historia ya maisha yako tu.I mean kukuchora...
Sijui huenda wananufaika na hizo data zako
 
tapatalk_1677991808146.jpg
 
Yaan humu mwanaume anakuja maishani mwako ili atambue historia ya maisha yako tu.I mean kukuchora...
Sijui huenda wananufaika na hizo data zako
Eh iko kama maana wanachosha na wanakubadilishia maisha yao yashida wanachukua yakwako ya raha na wao ndio wanamitaji badala wakusaidie wanakumaliza kabisa ila ipo siku nawaanika na maovu yao
 
Eh iko kama maana wanachosha na wanakubadilishia maisha yao yashida wanachukua yakwako ya raha na wao ndio wanamitaji badala wakusaidie wanakumaliza kabisa ila ipo siku nawaanika na maovu yao
Hakika
 
Back
Top Bottom