Oa Mwanamke mwenye hofu ya Mungu, vinginevyo utateseka

Oa Mwanamke mwenye hofu ya Mungu, vinginevyo utateseka

Older mnaokimbiliaa ndoa

Bora uchelewe kuoa ukimwomba Mungu akupe mwenye hofu yake

Mwanamke pekee atakayeishi kwa upendo nidhamu na hekima

Ni yule aliye na hofu na Mungu

Haya makanjanjaaa yamejazana ibdan yanaotea kama betting usijichanganye kizembee utakufaà

Ukishayaoaa yanageuka kuwa mbwa mwitu mpendwa acha tu
Asikudanganye mtu, hao "hao akina namkanyaga shetani nao ni pasua kichwa tu" mke mwema ni malezi alikotoka
 
Hofu Mungu ndio kufanyaje?

Anakuwa anamuhofia sana mungu au?
Yaani kila alitendalo akilini mwake anakuwa aware kwamba Mungu asiyesinzia wala kulala anamuona. Hii ndio Hofu ya Mungu ambayo mtu akiikosa anajifanyia mambo kama mnyama tu!.
 
KILA LA KHERI MWANANDOA MTARAJIWA UNAAAENDA KUFUNGA NDOA KESHO

MUNGU AKUPE FURAHA AMANI KTK NDOA YAKO
NAJUA KWA WEWE TOO LTE MZIGO LAZIMA UVUKE MTO KESHO

ZIDISHA MAOMBI UENDAKOO
MUOMBE MUNGU AKUPE MKE BORA ILA HAO MNASEME MWENYEOFU YA MUNGU NDIO WAKE BOLA WOTE TUNGEENDA KUOA ZILIPO AZISWA DINI
 
Acheni kujidanganya nyie hakuna cha hofu ya Mungu wala nini binadamu akiamua kugeuka atageuka tu!, si Mungu si shetani atamsimamia binadamu ni utashi wake binafsi leo anaweza kusema ndio kesho anaweza kusema sio!.

Kama unaoana na mtu kisa anahofu ya kitu fulani basi jua bado unasafari ndefu!, maana hofu ya hicho kitu ikiondoka utasaga meno!.
Kwa kiumbe kinachoitwa binadamu hakuna kitu permanent siri ya vitu anavyovitaka yeye maishani ni siri yake tu!.
Ishini mguu ndani mguu nje, mkifanikisha malengo yeni hiyo ni heri kwenu.

Ukweli ambao hamtaki kuusikia ni huu "Binadamu hababaishwi na kitu kinachoitwa hofu ya Mungu, akiamua ku kengeuka atakengeuka tu".
Hiyo
Acheni kujidanganya nyie hakuna cha hofu ya Mungu wala nini binadamu akiamua kugeuka atageuka tu!, si Mungu si shetani atamsimamia binadamu ni utashi wake binafsi leo anaweza kusema ndio kesho anaweza kusema sio!.

Kama unaoana na mtu kisa anahofu ya kitu fulani basi jua bado unasafari ndefu!, maana hofu ya hicho kitu ikiondoka utasaga meno!.
Kwa kiumbe kinachoitwa binadamu hakuna kitu permanent siri ya vitu anavyovitaka yeye maishani ni siri yake tu!.
Ishini mguu ndani mguu nje, mkifanikisha malengo yeni hiyo ni heri kwenu.

Ukweli ambao hamtaki kuusikia ni huu "Binadamu hababaishwi na kitu kinachoitwa hofu ya Mungu, akiamua ku kengeuka atakengeuka tu"
Mtu kama anampuuza Mungu muumba wake sembuse wewe?. Hoja ya hofu ya Mungu haina sub!
Ukilipuuzia hili lazima utaingia kwenye kujipa mateso ya kuishi na Mtu mguu ndani mguu nje!
 
MUOMBE MUNGU AKUPE MKE BORA ILA HAO MNASEME MWENYEOFU YA MUNGU NDIO WAKE BOLA WOTE TUNGEENDA KUOA ZILIPO AZISWA DINI
Ukiomba bira anakupanwa kufanana nae
Sasa kama malaya tegemeakuoamalaya
Kamamwiziutapatamwizimwenzio
 
Ila sio hawa waliokoka ukubwani,ambao wanatafuta ndoa kwa nguvu huku wakisahau kurekebisha tabia zao zilizo wafanya wachelewe kuolewa.
Kaka hii ni bonge ya fact, nje wanaonekana wameokoka, lakini hawataki kuacha tabia mbovu
 
Hiyo

Mtu kama anampuuza Mungu muumba wake sembuse wewe?. Hoja ya hofu ya Mungu haina sub!
Ukilipuuzia hili lazima utaingia kwenye kujipa mateso ya kuishi na Mtu mguu ndani mguu nje!
hapo ndipo upeo wako ulipoishia!
 
Older mnaokimbiliaa ndoa

Bora uchelewe kuoa ukimwomba Mungu akupe mwenye hofu yake

Mwanamke pekee atakayeishi kwa upendo nidhamu na hekima

Ni yule aliye na hofu na Mungu

Haya makanjanjaaa yamejazana ibdan yanaotea kama betting usijichanganye kizembee utakufaà

Ukishayaoaa yanageuka kuwa mbwa mwitu mpendwa acha tu

Una kipimo gani ndugu yangu cha kuwapima tununue?
 
Older mnaokimbiliaa ndoa

Bora uchelewe kuoa ukimwomba Mungu akupe mwenye hofu yake

Mwanamke pekee atakayeishi kwa upendo nidhamu na hekima

Ni yule aliye na hofu na Mungu

Haya makanjanjaaa yamejazana ibdan yanaotea kama betting usijichanganye kizembee utakufaà

Ukishayaoaa yanageuka kuwa mbwa mwitu mpendwa acha tu
Wameolewa hadi watawa na ndoa hazikuwork sembuse hawa wapakwa mafuta ya mwampisa? Omba Mungu akupe akili ili uoe.
 
Hivi watu wanafanya Mema sababu ni Wema au wanafanya hivyo kwa kumwogopa Mungu ?

Binafsi mimi watu hawa wanafiki ninawaogopa sababu hawachelewi kuota kwamba una mapepo hivyo Mungu wao kawaambia wakumalize..., Au watoto wao wasijifunze hiki au kile sababu wanakufuru...
 
Back
Top Bottom