Mamsosa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2024
- 1,047
- 2,246
Ni kipimo gani utampimia mwenye hofu ya Mungu? Kwa muda gani? Akibadilika baada ya kumuoa utamshitaki Mungu kutompa mafunzo bora ya ndoa?Uoe akili??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kipimo gani utampimia mwenye hofu ya Mungu? Kwa muda gani? Akibadilika baada ya kumuoa utamshitaki Mungu kutompa mafunzo bora ya ndoa?Uoe akili??
Khe! Kwenye hii orodha yako na mimi nimo!!Hofu ipi unaizungumzia na huku ndani mmejaa mijianaume mi nafki , michovu , mizee na michawi hata shetani anawaogopa ndio nani awape mwanamke mwenye hofu , ushindwe ulegee usituchoshe unachart na mtu anakulia timing tu atafaidika nanini humu nawashangaa ga watu wanasema na tafuta mume humu wehu tu
Yuko wapi?Kontoro aliyekudanganya kwamba Mungu haupo nani?
Umekosea kudhani Mimi ni jalala na sio chujio.Yuko wapi?
Tatizo lako ulikutana na wahuni wakakukalilisha ukiwa bado mdogo
AI imekuja kuwaumbua.Umekosea kudhani Mimi ni jalala na sio chujio.
Naunga mkono hoja,kuwa makini na makanjanja,utasikia kila saa "yani kwa uwezo wa Mungu" ili uamini ni mwenzio...Older mnaokimbiliaa ndoa
Bora uchelewe kuoa ukimwomba Mungu akupe mwenye hofu yake
Mwanamke pekee atakayeishi kwa upendo nidhamu na hekima
Ni yule aliye na hofu na Mungu
Haya makanjanjaaa yamejazana ibdan yanaotea kama betting usijichanganye kizembee utakufaà
Ukishayaoaa yanageuka kuwa mbwa mwitu mpendwa acha tu
Endelea kusubiriAI imekuja kuwaumbua.
Hizo system zenu mlizo engineered kuhusu mungu zita collapse
Eh maana wala huonekani wewe si jiniKhe! Kwenye hii orodha yako na mimi nimo!!
Nimeongea ukweli ifikie mahala uongee ukweliMbona umepaniki sana mkuu
Aise naogopaOi mimi sipo hivyo njoo kwangu ufurahi.. mshenga atakuwa Pdidy mpwa mwenyewe
samahani kuuliza, wanaokutongoza humu JF na wa mtaani kwako au katika mazingira yako yanayokuzunguka wote wanafanana au wanatofautiana?Nimeongea ukweli ifikie mahala uongee ukweli
Wa mtaani mie sina mie ujue sipo single ila wa humu wote ndio ninachakuhadithiasamahani kuuliza, wanaokutongoza humu JF na wa mtaani kwako au katika mazingira yako yanayokuzunguka wote wanafanana au wanatofautiana?
😂😂😂😂Utaishia kuwekaa wimbo wa unawezaaa kufanyaa
Unaweza kutendaaa
.amboo makubwaaa zaodi ya nionavyooo x3
Kama alarm yako asbh mchana jion
Asante kwa kujibu, unataka kusema wanachoandika humu ndicho wanachofanya?Wa mtaani mie sina mie ujue sipo single ila wa humu wote ndio ninachakuhadithia
Tuliza kichwa andika vizurim nilikutana na kimbola cha kihaya
kimoja 2005 kilintengeneza nkaona mke ndio huyu angle malaika wa vita wewee nikajaa kansan Nov 5
Dec 5 nkahitimisha yaan nilivyoona kinawaka akipoi nkaenda sehemu wakasema umelogwà nkaoga na chumvi mawe .sabuni.maji ya baraka kama yote nikapata nguvu gafla nkabeba nguo tu nkahitirmisha jarambaa loh
Lakini bot iliishazama sema sio yote wee naoajua hiooo
Shirikinaa noma demu hana wiki ndoan anataka niache kazi ati tupige bussin
.ngastukaaa
Nkashtuka wiki yaa pili anakuletea docs za masters sijui ka apply lini UK ati na sponsors tumepata
Nkamwambia anaijuaa hiooo wewee