Oa Mwanamke mwenye hofu ya Mungu, vinginevyo utateseka

Kabisa ,mwanamke anayejiheshimu ndoa itadumu.
Mwanamke ndiye ajiheshimu ! Mwanaume je? Kwahiyo hata asiejielewa ila mke awe anajiheshimu basi, mwanamke ndiye muhitaji wa ndoa peke, yaani watu ni wabnafsi hasa wewe!
 
Mwanamke ndiye ajiheshimu ! Mwanaume je? Kwahiyo hata asiejielewa ila mke awe anajiheshimu basi, mwanamke ndiye muhitaji wa ndoa peke, yaani watu ni wabnafsi hasa wewe!

imeandikwa mwanamke mpumbavu huivunja ndoa kwa mikono yake mwenyewe.

Somo amepewa zaidi mwanamke maana ni rahisi sana kudanganyika.
 
Kabisa ,mwanamke anayejiheshimu ndoa itadumu.
Mwanamke ndiye ajiheshimu ! Mwanaume je? Kwahiyo hata asiejielewa ila mke awe anajiheshimu basi, mwanamke ndiye muhitaji wa ndoa peke, yaani watu ni wabnaf
imeandikwa mwanamke mpumbavu huivunja ndoa kwa mikono yake mwenyewe.

Somo amepewa zaidi mwanamke maana ni rahisi sana kudanganyika.
Endelea tu kumnyanyasa mkeo, siku akichoka ndiyo utamjua mwanamke hanaga kugeuka nyuma
 
Mbona umebonyoka bonyoka mrembo
 
Hatakisikianduguzakoo wala wazazi wakoo

Utaimbaa pooooooo utase a hili Kimbolaaaa nimelipata wapi
Hili kimba la aina hii liko kigamboni halitaki ndugu wa mume shit

Huku kila tukifungua.status tunaouta mistari ya biblia na nyimbo za injili.
 
Weka herufi kubwa
 
Mwenye hofu ya Mungu ila anamwamin mchungaji than his husband
 


Fraud ❌
 
Keep focusing on money, food and hobbies. Marriage is a scam
 
Well said
 
Hofu ya mungu inaanza kwako wewe kichwa cha familia.
 
Yaan humu mwanaume anakuja maishani mwako ili atambue historia ya maisha yako tu.I mean kukuchora...
Sijui huenda wananufaika na hizo data zako
 
Yaan humu mwanaume anakuja maishani mwako ili atambue historia ya maisha yako tu.I mean kukuchora...
Sijui huenda wananufaika na hizo data zako
Eh iko kama maana wanachosha na wanakubadilishia maisha yao yashida wanachukua yakwako ya raha na wao ndio wanamitaji badala wakusaidie wanakumaliza kabisa ila ipo siku nawaanika na maovu yao
 
Eh iko kama maana wanachosha na wanakubadilishia maisha yao yashida wanachukua yakwako ya raha na wao ndio wanamitaji badala wakusaidie wanakumaliza kabisa ila ipo siku nawaanika na maovu yao
Hakika
 
Hofu ya mungu inaanza kwako wewe kichwa cha familia.
Umeona eee yeye awe chaupele, eti mke awe na hofu ya MUNGU? Mwisho wa siku mke ataitwa mchawi na ndugu zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…